Dedicated to my sweetheart mtoto wa kitanga

Dedicated to my sweetheart mtoto wa kitanga

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ney nimecheka mimi jamani ulivyoongea
Kweli shunie mechoka kupigana vikumbo na wanawake wenzangu, kama kweli anampenda mkewe kwanini asimjali na kumuepushia haya mabalaa ya ugomvi kila mtaa,

Ona sasa nimeambiwa mume wangu sio mchoyo shunie naumia mwenzio basi tuu.

Yaan nikimuangalia mpenzi wangu usoni natamani nilie kwa sauti labda nitapata nafuu
 
Back
Top Bottom