sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,639
- 5,767
Ukiachana na wale watu maarufu, Ukifatilia kwa karibu maisha ya black American wengi sio ya kistaarabu, ni bora watu weusi wanaoenda kwa kufanya kazi kuliko wale waloizaliwa pale pale, wana mambo ya hovyo na yenye kuaibisha black community.
Nadhani wanatamani bora wangechukua latino.
Nadhani wanatamani bora wangechukua latino.