Deep down wazungu wengi wanajuta kuwapeleka watumwa weusi, hasa Marekani

Deep down wazungu wengi wanajuta kuwapeleka watumwa weusi, hasa Marekani

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Ukiachana na wale watu maarufu, Ukifatilia kwa karibu maisha ya black American wengi sio ya kistaarabu, ni bora watu weusi wanaoenda kwa kufanya kazi kuliko wale waloizaliwa pale pale, wana mambo ya hovyo na yenye kuaibisha black community.

Nadhani wanatamani bora wangechukua latino.
 
Ukiachana na wale watu maarufu, Ukifatilia kwa karibu maisha ya black American wengi sio ya kistaarabu, ni bora watu weusi wanaoenda kwa kufanya kazi kuliko wale waloizaliwa pale pale, wana mambo ya hovyo na yenye kuaibisha black community,

Nadhani wanatamani bora wangechukua latino.
Uzuri hao wote uliowataja, ni wahamiaji tu kwenye hilo Bara. Hivyo waendelee tu kuvumiliana.
 
Ukiachana na wale watu maarufu, Ukifatilia kwa karibu maisha ya black American wengi sio ya kistaarabu, ni bora watu weusi wanaoenda kwa kufanya kazi kuliko wale waloizaliwa pale pale, wana mambo ya hovyo na yenye kuaibisha black community,

Nadhani wanatamani bora wangechukua latino.
Ni athari ya ubaguz wanaoganyiwa. Imergine Wana onewa sometimes waziwaz kabisa
 
Ukiachana na wale watu maarufu, Ukifatilia kwa karibu maisha ya black American wengi sio ya kistaarabu, ni bora watu weusi wanaoenda kwa kufanya kazi kuliko wale waloizaliwa pale pale, wana mambo ya hovyo na yenye kuaibisha black community,

Nadhani wanatamani bora wangechukua latino.
Mkuu Latino ni kina nani kwanza?Je unajua kwamba Uchumi wa MArekani Umejengwa kwa jasho na damu ya Mtu mweusi?Je unajua kwamba uchumi wa Ulaya(Western Civilization yote imejengwa na jasho na damu ya mtu mweusi?

Biashara ya Utumwa Ilipeleka Pesa Ulaya na Labour Force USA.
So hawa wazungu wa sasa ambao unasema wanajut sema wanatamani wangekuwa na namna ya kuwaondosha baada ya kujaa ila sasa ndo hivyo wanazaliana kama nzi.
 
Ukiachana na wale watu maarufu, Ukifatilia kwa karibu maisha ya black American wengi sio ya kistaarabu, ni bora watu weusi wanaoenda kwa kufanya kazi kuliko wale waloizaliwa pale pale, wana mambo ya hovyo na yenye kuaibisha black community.

Nadhani wanatamani bora wangechukua latino.
Wakiwaza hivyo huo ni unafiki wa hali ya juu
 
Hakuna nchi isiyo na mwenyewe
Na wenye nchi ni wahindi wekundu , wazungu, waarabu , waafirika ,waasia walio jazana USA wote ni wahamiaji hakuna mwenye haki ya kumsimanga mwenzake na jamii zote hizo zina mchango mkubwa katika maendeleo ya USA,watu weupe waache tabia wa kuwadharau watu weusi.
 
Ukiachana na wale watu maarufu, Ukifatilia kwa karibu maisha ya black American wengi sio ya kistaarabu, ni bora watu weusi wanaoenda kwa kufanya kazi kuliko wale waloizaliwa pale pale, wana mambo ya hovyo na yenye kuaibisha black community.

Nadhani wanatamani bora wangechukua latino.
Watu weusi sio Wastaarabu japo wapo waliofundishwa na kuiga ustaarabu kutoka kwa Wazungu, Wahindi na Waarabu tangu kale

Ushahidi ni life style yao mpaka sasahivi, kwa mfano :-

- Ukimkabidhi Mtu mweusi silaha kwaajili ya kujilinda, yeye atatumia kutishia watu na kuua mpaka wenzie kwa sifa

- Ukimtengenezea Mtu mweusi choo kwaajili ya kujisaidia basi atakitumia lakini pia atakiharibu au kukiacha kichafu kisha wengine hawataweza kutumia tena

- Tazama udereva wa magari wa Black community huko USA halafu angalia rekodi ya ajali za barabarani kati yao na Watu weupe (Wazungu)

- Hata hapa nchini, ni nadra sana kukuta ajali ya gari iliyosababishwa na Mzungu

-Pia ni Waropokaji na Wajuaji sana ingawa si wote

Watu weusi ni Waharibifu na wanavyoviharibu hawawezi kuvitengeneza

Hence, nakubaliana na wewe huenda Wazungu wanajuta sana ku interact na Blacks
 
Hao wazungu wenyewe ni wahamiaji, USA haina mwenyewe,free country
Hao Wazungu ndio walioiendeleza USA, hata Australia originally ni ya Aboriginal ambao ni watu weusi tii

Unafikiri wangebaki hapo bila wazungu hao watu weusi wangefanya nini?
 
Hao Wazungu ndio walioiendeleza USA, hata Australia originally ni ya Aboriginal ambao ni watu weusi tii

Unafikiri wangebaki hapo bila wazungu hao watu weusi wangefanya nini?
Acha ujinga na kitukuza wazungu kila jamii iliyo ndani ya Marekani ina mchango mkubwa katika maendeleo ya taifa hilo.
 
Back
Top Bottom