We mzee hivi mtu kama "Birdman" apewe elimu iliyo bora kweli!? [emoji1787]Wawape Elimu tena iliyo bora
Uzuri hao wote uliowataja, ni wahamiaji tu kwenye hilo Bara. Hivyo waendelee tu kuvumiliana.Ukiachana na wale watu maarufu, Ukifatilia kwa karibu maisha ya black American wengi sio ya kistaarabu, ni bora watu weusi wanaoenda kwa kufanya kazi kuliko wale waloizaliwa pale pale, wana mambo ya hovyo na yenye kuaibisha black community,
Nadhani wanatamani bora wangechukua latino.
Ni athari ya ubaguz wanaoganyiwa. Imergine Wana onewa sometimes waziwaz kabisaUkiachana na wale watu maarufu, Ukifatilia kwa karibu maisha ya black American wengi sio ya kistaarabu, ni bora watu weusi wanaoenda kwa kufanya kazi kuliko wale waloizaliwa pale pale, wana mambo ya hovyo na yenye kuaibisha black community,
Nadhani wanatamani bora wangechukua latino.
Yale yanapewaga hadi voucher ya msosi foodstamp ya 3000 usd na flats apartments za sarikali lakini waapii. Lakini wapo walioenda shule wako poa kimaisha wanajichanganya kwenye white neighborhoods.Wawape Elimu tena iliyo bora
Mkuu Latino ni kina nani kwanza?Je unajua kwamba Uchumi wa MArekani Umejengwa kwa jasho na damu ya Mtu mweusi?Je unajua kwamba uchumi wa Ulaya(Western Civilization yote imejengwa na jasho na damu ya mtu mweusi?Ukiachana na wale watu maarufu, Ukifatilia kwa karibu maisha ya black American wengi sio ya kistaarabu, ni bora watu weusi wanaoenda kwa kufanya kazi kuliko wale waloizaliwa pale pale, wana mambo ya hovyo na yenye kuaibisha black community,
Nadhani wanatamani bora wangechukua latino.
Hakuna nchi isiyo na mwenyeweHao wazungu wenyewe ni wahamiaji, USA haina mwenyewe,free country
Wakiwaza hivyo huo ni unafiki wa hali ya juuUkiachana na wale watu maarufu, Ukifatilia kwa karibu maisha ya black American wengi sio ya kistaarabu, ni bora watu weusi wanaoenda kwa kufanya kazi kuliko wale waloizaliwa pale pale, wana mambo ya hovyo na yenye kuaibisha black community.
Nadhani wanatamani bora wangechukua latino.
Na wenye nchi ni wahindi wekundu , wazungu, waarabu , waafirika ,waasia walio jazana USA wote ni wahamiaji hakuna mwenye haki ya kumsimanga mwenzake na jamii zote hizo zina mchango mkubwa katika maendeleo ya USA,watu weupe waache tabia wa kuwadharau watu weusi.Hakuna nchi isiyo na mwenyewe
Wapo, Wahindi Wekundu ambao walikuwa wenyeji wa Bara la MarekaniHao wazungu wenyewe ni wahamiaji, USA haina mwenyewe,free country
Watu weusi sio Wastaarabu japo wapo waliofundishwa na kuiga ustaarabu kutoka kwa Wazungu, Wahindi na Waarabu tangu kaleUkiachana na wale watu maarufu, Ukifatilia kwa karibu maisha ya black American wengi sio ya kistaarabu, ni bora watu weusi wanaoenda kwa kufanya kazi kuliko wale waloizaliwa pale pale, wana mambo ya hovyo na yenye kuaibisha black community.
Nadhani wanatamani bora wangechukua latino.
Hao Wazungu ndio walioiendeleza USA, hata Australia originally ni ya Aboriginal ambao ni watu weusi tiiHao wazungu wenyewe ni wahamiaji, USA haina mwenyewe,free country
Acha ujinga na kitukuza wazungu kila jamii iliyo ndani ya Marekani ina mchango mkubwa katika maendeleo ya taifa hilo.Hao Wazungu ndio walioiendeleza USA, hata Australia originally ni ya Aboriginal ambao ni watu weusi tii
Unafikiri wangebaki hapo bila wazungu hao watu weusi wangefanya nini?