Deep down wazungu wengi wanajuta kuwapeleka watumwa weusi, hasa Marekani

Acha ujinga na kitukuza wazungu kila jamii iliyo ndani ya Marekani ina mchango mkubwa katika maendeleo ya taifa hilo.
Ujinga unao wewe usiyetaka kukubali Ukweli

Mchango walio nao watu weusi Marekani na ulaya ni wa ulinzi jeshini na sports ambao umeasisiwa, kuratibiwa na unaongozwa na Wazungu...kwny politics wapo kama wazugaji tu

Dunia ya sshv maendeleo yanabase kwny science & technology

Acha unyani
 
Ngozi nyeusi bado tunashida mahali katika kufikiria mambo kwa upana na ufanisi, kuthibitisha hili hatujaweza kupiga hatua ya maendeleo yoyote katika bara letu japokuwa lina rasilimali lukuki.yale tunayoyaita ni maendeleo hatujayasababisha sisi bali wazungu.
 
Mm naona hatukuwa na SABABU ya kupata uhuru mwaka 1961 tulitakiwantutawaliwe Hadi 1990
 
Ndio maana nimekuita mjinga kwa hiyo Marekani na Ulaya zimeanza kujengwa sasa hivi kwenye sayansi na tiknolojia?

Ulaya na Marekani zimeanza kujengwa kwa karne kadhaa zilizo pita na waafrika ndo walikuwa wana fanya kazi za viwandani ,mashambani ambapo pesa zake ndo zimezitajirisha nchi hizo, na pia watu weusi ndo walikuwa wajenzi wakubwa wa miundo mbinu mizuri ambayo unaiona Marekani leo hii ,na mbaya zaidi walikuwa hawalipwi zaidi ya kupewa chakula ili wasife.

Alafu nchi Marekani wabunifu wakubwa wa tekinolojia hata sio wazungu, wabunifu wakubwa wa tekinolojia nchi Marekani ni Wayahudi,Waajemi, na waasia hata muanzilishi wa kampuni kubwa na tajiri ya kiteknolojia nchini Marekani yaani [emoji519] (Apple) ni mwarabu mwenye asili ya Syria.

Hivyo tambua kila jamii iliyoko Marekani ina mchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi hiyo.
Alafu punguza kushobokea wazungu.
 
Muite mwenzako Bwana Utam akusaidie
 
Mwanzilishi wa apple mama yake ni myahudi aliyekuwa ujerumani

Baba yake uarabu wake unautata kwa kuwa wayahudi wengi walikuwa katika shinikizo kipindi hicho wengi walikuwa hawajitambulishi

Mwarabu zake tende
 
Wewe ni muongo

Watu weusi wanzaliana km nzi kwa vigezo gani?

USA Black population haifikii hata robo ya USA population
 
Mwafrika ni Alama ya Uharibifu, fujo, wizi, uncivilization

Tazama serikali za kiafrika jinsi viongozi wanavyoiba mali za Umma nchini mwao na kwenda kula starehe ulaya huku wakiacha Raia na umaskini wa Kutupwa.
 
Uwanja wa taifa unafanyiwa ukarabati wa billion of tsh haujakamika mtu mweusi ameanza kuvunja vitu sasa huo ni ustarabu mbona kwa mwenzetu timu inakandwa hata goli saba hakuna anayevunja kiti kwani Kuna uhusiano gani wa kiti na kufungwa kwa timu. Mtu mweusi Ana shida mahali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…