Ujinga unao wewe usiyetaka kukubali UkweliAcha ujinga na kitukuza wazungu kila jamii iliyo ndani ya Marekani ina mchango mkubwa katika maendeleo ya taifa hilo.
Mzee hao wahindi wekundu ni tofauti na wale wahindi Wala pili pili wa bara ya Asia.Wapo, Wahindi Wekundu ambao walikuwa wenyeji wa Bara la Marekani
Mm naona hatukuwa na SABABU ya kupata uhuru mwaka 1961 tulitakiwantutawaliwe Hadi 1990Ukiachana na wale watu maarufu, Ukifatilia kwa karibu maisha ya black American wengi sio ya kistaarabu, ni bora watu weusi wanaoenda kwa kufanya kazi kuliko wale waloizaliwa pale pale, wana mambo ya hovyo na yenye kuaibisha black community.
Nadhani wanatamani bora wangechukua latino.
Ndio maana nimekuita mjinga kwa hiyo Marekani na Ulaya zimeanza kujengwa sasa hivi kwenye sayansi na tiknolojia?Ujinga unao wewe usiyetaka kukubali Ukweli
Mchango walio nao watu weusi Marekani na ulaya ni wa ulinzi jeshini na sports ambao umeasisiwa, kuratibiwa na unaongozwa na Wazungu...kwny politics wapo kama wazugaji tu
Dunia ya sshv maendeleo yanabase kwny science & technology
Acha unyani
Ni tofauti kabisa. Wengi wao waliuawa na hao wazungu katika harakati zao za kulitwaa eneo lao hilo.Mzee hao wahindi wekundu ni tofauti na wale wahindi Wala pili pili wa bara ya Asia.
Muite mwenzako Bwana Utam akusaidieNa wenye nchi ni wahindi wekundu , wazungu, waarabu , waafirika ,waasia walio jazana USA wote ni wahamiaji hakuna mwenye haki ya kumsimanga mwenzake na jamii zote hizo zina mchango mkubwa katika maendeleo ya USA,watu weupe waache tabia wa kuwadharau watu weusi.
Kwa hiyo ww unaona ni sahihi kusema watu weusi hawana faida na hawana mchango wowote kwenye maendeleo ya Marekani?Muite mwenzako Bwana Utam akusaidie
Ndio maana nimekuita mjinga kwa hiyo Marekani na Ulaya zimeanza kujengwa sasa hivi kwenye sayansi na tiknolojia?
Ulaya na Marekani zimeanza kujengwa kwa karne kadhaa zilizo pita na waafrika ndo walikuwa wana fanya kazi za viwandani ,mashambani ambapo pesa zake ndo zimezitajirisha nchi hizo, na pia watu weusi ndo walikuwa wajenzi wakubwa wa miundo mbinu mizuri ambayo unaiona Marekani leo hii ,na mbaya zaidi walikuwa hawalipwi zaidi ya kupewa chakula ili wasife.
Alafu nchi Marekani wabunifu wakubwa wa tekinolojia hata sio wazungu, wabunifu wakubwa wa tekinolojia nchi Marekani ni Wayahudi,Waajemi, na waasia hata muanzilishi wa kampuni kubwa na tajiri ya kiteknolojia nchini Marekani yaani [emoji519] (Apple) ni mwarabu mwenye asili ya Syria.
Hivyo tambua kila jamii iliyoko Marekani ina mchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi hiyo.
Alafu punguza kushobokea wazungu.
Mkuu Latino ni kina nani kwanza?Je unajua kwamba Uchumi wa MArekani Umejengwa kwa jasho na damu ya Mtu mweusi?Je unajua kwamba uchumi wa Ulaya(Western Civilization yote imejengwa na jasho na damu ya mtu mweusi?
Biashara ya Utumwa Ilipeleka Pesa Ulaya na Labour Force USA.
So hawa wazungu wa sasa ambao unasema wanajut sema wanatamani wangekuwa na namna ya kuwaondosha baada ya kujaa ila sasa ndo hivyo wanazaliana kama nzi.
Mwafrika ni Alama ya Uharibifu, fujo, wizi, uncivilizationUkiachana na wale watu maarufu, Ukifatilia kwa karibu maisha ya black American wengi sio ya kistaarabu, ni bora watu weusi wanaoenda kwa kufanya kazi kuliko wale waloizaliwa pale pale, wana mambo ya hovyo na yenye kuaibisha black community.
Nadhani wanatamani bora wangechukua latino.