Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Kitambo sanaSi kina Kingunge hao, walijitoa na kwenda kufa.
Nadhani mzee huyo angelikuwa hai angelikuwa keaharudi Ccm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitambo sanaSi kina Kingunge hao, walijitoa na kwenda kufa.
Nadhani mzee huyo angelikuwa hai angelikuwa keaharudi Ccm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hako kazee kanatengeneza Zebra maporini kwenye barabara la vumbi, hakuna uchochoro wa mpita njia, ndiyo kanani hako!
Hapa ndiyo umetumia ubongo siyo. Anyway ni mawazo yako lakini, kwahiyo yabaki kama yalivyo.Deep state = UVCCM
Hao kina Heri James, Kanani Kihongosi, Sabaya n.k
Kabla ya kuleta uzi tumia ubongo sio masaburi.
Mkuu pole yako kama uliandika kitu sensitive kama hichi pia wakatia kapuni. Moods na wenyewe wanapaswa kulinda kampuni yao inawalisha kila siku, kwahiyo siku unapoandika mambo nyeti, ujitahidi kufunga uzi wako kwa taswira, hiyo inasaidia kulinda kampuni na moods nyuzi zako watakuwa wanazipandisha. Lakini ukiuachia wazi kabisa uzi wako na umeandika mambo nyeti, uzi wako sidhani kama utapandishwa.Uzi wangu huu!nilipost Mods wakatia kapuni!!
Hujui kugoogle?
Mbona alipokua hoi hospitali na Mwendazake alipoenda kumtembelea alitoa kauli thabit. Alisema moyo wake upo CCM! Mwenda zake akamuuliza tena kama vile hajasikia vizuri na jibu likawa kama la mwanzo. Hakika angekua hai hadi leo, Mzee KNM angesharudi studio zetu Pugu RoadSi kina Kingunge hao, walijitoa na kwenda kufa.
Nadhani mzee huyo angelikuwa hai angelikuwa keaharudi Ccm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimependa angle ya habari yako japo bado sio muarobaini wa kile tunachokihitaji kama Taifa.Kwanza kabisa niwapongeze "deep state" kwa kazi nzito na iliyotukuka mliyoifanya tangu Tanzania ipate uhuru hadi leo, mumekuwa muhimili muhimu kuhakikisha Tanzania inavuka salama katika nyakati zote ngumu, huku mukihakikisha kuwa amani ya nchi haichezewi wala kutiwa doa na mtu yeyote.
Kijani hii imetawala tangu tupate uhuru hadi leo ni miaka 60 sasa ,Ila ni dhahiri shahiri imeshindwa kutuvusha kama nchi kutoka kwenye lindi la umasikini, rushwa n.k, katika miaka 60 ya uhuru Tanzania bado afya, umeme, maji, elimu, miundombinu, yamekuwa matatizo yasiyo tibika kama cancer.
Ni wazi kwamba "elites" wa chama hichi cha kijani mawazo yao yamegota na sera zao zimekosa vision kabisa na zimepitwa na wakati, taifa halieleweki linaelekea wapi, hivyo hawawezi kutuvusha tena hapa, ni wamefika mwisho kisera, kifikra, kimkakati na kimbinu.
"Deep state" ni wakati wenu mwingine sasa kuandaa chama kingine kimkakati ili kushika dola, chama ambacho kitakuja na sera mpya, hali mpya na vision mpya ya kuliongoza taifa letu, chama ambacho kitatufanya kutoka hapa tulipo gota na kwenda kule watanzania wengi wanapokuota.
Najua mumejitahidi sana kuandaa na bado mnaendelea kuwaandaa baadhi ya viongozi kwenye chama cha kijani na nchi kwa ujumla kwa nia yenu nzuri tu ya kulivusha taifa ila wamewaangusha kutokana na sera mbovu za chama cha kijani, hivyo siyo vibaya sasa tujaribu na chama kingine tuone kitatufikisha wapi, kwani sera za chama cha kijani zimeshindwa kabisa kutuvusha.
Watanzania ni ngumu sana kujichukulia sheria mkononi kutokana na historia ya nchi hii, hivyo ni ngumu sana watanzania kuandamana au kufanya vurugu wakidai haki yao ya mageuzi kama nchi zingine, kwani nchi hii, haijawahi kuwa na migogoro ya ndani, kwahiyo hata wenzetu kupandikiza mamluku Tanzania kuchochea harakati za mabadiliko ni ngumu sana.
"Deep state" mumehepusha mengi na kufanya makubwa na mazuri zaidi, hivyo naamini nyinyi ndiyo watu wa kwanza ambao mnaweza kuleta "transformation" katika taifa hili na mkihamua kwanza, basi na watanzania watafuata.
Katiba mpya na iliyo bora ni muhimu sana na kupitia katiba mpya , mnaweza sasa kuandaa chama kingine kwa ajili ya kuliongoza taifa hili, kwani kwa sasa hamna chama chenye ubavu wa kuishinda kijani iliyo ota mizizi kila sehemu, lakini naamini mkiamua itawezekana kwani hakuna linaloshindikana mbele yenu.
Tambueni ya kwamba kwa "nature" ya taifa letu ni ngumu sana wananchi kudai mageuzi ya kiutawala kwa nyakati hizi hata wapitie katika kipindi kigumu kiasi gani, Ila nyinyi mkihamua kuanza kuleta hayo mageuzi hata wananchi watafuata pia, kwahiyo ni vyema mkaandaa chama kingine na kuwagroom viongozi wengine wapya kwa ajili ya kushika dola kwa wakati ujao, ili tuone kama tutavuka hapa ilipotufikisha kijani.
Kwa sasa si KIJANI wanaoweza kutufikisha pale tunapopakusudia kama taifa kwani wameishiwa na wamefika mwisho kifikra, bali ni nyinyi tu "deep state" wenye maamuzi ya juu zaidi yaliyobeba mustakabali na dira ya taifa letu.
Hakuna deep state Tanzania wewe,usidanganyweKwanza kabisa niwapongeze "deep state" kwa kazi nzito na iliyotukuka mliyoifanya tangu Tanzania ipate uhuru hadi leo, mumekuwa muhimili muhimu kuhakikisha Tanzania inavuka salama katika nyakati zote ngumu, huku mukihakikisha kuwa amani ya nchi haichezewi wala kutiwa doa na mtu yeyote.
Kijani hii imetawala tangu tupate uhuru hadi leo ni miaka 60 sasa ,Ila ni dhahiri shahiri imeshindwa kutuvusha kama nchi kutoka kwenye lindi la umasikini, rushwa n.k, katika miaka 60 ya uhuru Tanzania bado afya, umeme, maji, elimu, miundombinu, yamekuwa matatizo yasiyo tibika kama cancer.
Ni wazi kwamba "elites" wa chama hichi cha kijani mawazo yao yamegota na sera zao zimekosa vision kabisa na zimepitwa na wakati, taifa halieleweki linaelekea wapi, hivyo hawawezi kutuvusha tena hapa, ni wamefika mwisho kisera, kifikra, kimkakati na kimbinu.
"Deep state" ni wakati wenu mwingine sasa kuandaa chama kingine kimkakati ili kushika dola, chama ambacho kitakuja na sera mpya, hali mpya na vision mpya ya kuliongoza taifa letu, chama ambacho kitatufanya kutoka hapa tulipo gota na kwenda kule watanzania wengi wanapokuota.
Najua mumejitahidi sana kuandaa na bado mnaendelea kuwaandaa baadhi ya viongozi kwenye chama cha kijani na nchi kwa ujumla kwa nia yenu nzuri tu ya kulivusha taifa ila wamewaangusha kutokana na sera mbovu za chama cha kijani, hivyo siyo vibaya sasa tujaribu na chama kingine tuone kitatufikisha wapi, kwani sera za chama cha kijani zimeshindwa kabisa kutuvusha.
Watanzania ni ngumu sana kujichukulia sheria mkononi kutokana na historia ya nchi hii, hivyo ni ngumu sana watanzania kuandamana au kufanya vurugu wakidai haki yao ya mageuzi kama nchi zingine, kwani nchi hii, haijawahi kuwa na migogoro ya ndani, kwahiyo hata wenzetu kupandikiza mamluku Tanzania kuchochea harakati za mabadiliko ni ngumu sana.
"Deep state" mumehepusha mengi na kufanya makubwa na mazuri zaidi, hivyo naamini nyinyi ndiyo watu wa kwanza ambao mnaweza kuleta "transformation" katika taifa hili na mkihamua kwanza, basi na watanzania watafuata.
Katiba mpya na iliyo bora ni muhimu sana na kupitia katiba mpya , mnaweza sasa kuandaa chama kingine kwa ajili ya kuliongoza taifa hili, kwani kwa sasa hamna chama chenye ubavu wa kuishinda kijani iliyo ota mizizi kila sehemu, lakini naamini mkiamua itawezekana kwani hakuna linaloshindikana mbele yenu.
Tambueni ya kwamba kwa "nature" ya taifa letu ni ngumu sana wananchi kudai mageuzi ya kiutawala kwa nyakati hizi hata wapitie katika kipindi kigumu kiasi gani, Ila nyinyi mkihamua kuanza kuleta hayo mageuzi hata wananchi watafuata pia, kwahiyo ni vyema mkaandaa chama kingine na kuwagroom viongozi wengine wapya kwa ajili ya kushika dola kwa wakati ujao, ili tuone kama tutavuka hapa ilipotufikisha kijani.
Kwa sasa si KIJANI wanaoweza kutufikisha pale tunapopakusudia kama taifa kwani wameishiwa na wamefika mwisho kifikra, bali ni nyinyi tu "deep state" wenye maamuzi ya juu zaidi yaliyobeba mustakabali na dira ya taifa letu.
Deep State yetu iko ughaibuni (Mabeberu). Huko ndo wanatuamulia kwa kutumia watu wao walioko huku. Itoshe tu kusema nakubaliana na wewe.Hakuna deep state Tanzania wewe,usidanganywe
Labda nikwambie tu kwamba operations za kijeshi za Tanzania waga ni za kimkakati na ufanisi wa hali juu, JWTZ wapo Msumbiji muda mrefu, lakini usitarajie kusikia matangazo kama Rwanda.Deep State ambayo haikuiona Dowans, meremeta, kagoda, escrow, deep state ambayo haiweki ulinzi madhubuti mipakani ambapo kwa sasa kuna tishio la ugaidi, yaani nchi pekee ambayo mgeni anaweza kuingia kupitia mipakani asikaguliwe hata na ditecta, deep state ambayo inaangalia CCM wakipora na kuvuruga uchaguzi, deep state ambayo inaruhusu Rwanda avuke na jeshi aende msumbiji aweke kambi huko anatarajia kukaa miaka minne hadi mitano huku akifanya ujasusi na mataifa mengine kama huko Tanzania, hiyo deep state haipo makini nadhani haipo kabisa
Hiyo kamati upewa majina matatu maalumu na hao watu, kwenye hayo majina ni kuhakikisha mmoja wapo anapitishwa.Deep state ya nchi hii ni kamati kuu ya ccm, hiko ndio chombo chenye nguvu zaidi nchi hii
Mkuu huo wizi ndio unaleta mzunguko wa hela mtaani watu wananeemeka tena sana tu!!!Wewe unafikiri bila upigaji hapa mjini hela itazungukaje sasa???!!Deep State ambayo haikuiona Dowans, meremeta, kagoda, escrow, deep state ambayo haiweki ulinzi madhubuti mipakani ambapo kwa sasa kuna tishio la ugaidi, yaani nchi pekee ambayo mgeni anaweza kuingia kupitia mipakani asikaguliwe hata na ditecta, deep state ambayo inaangalia CCM wakipora na kuvuruga uchaguzi, deep state ambayo inaruhusu Rwanda avuke na jeshi aende msumbiji aweke kambi huko anatarajia kukaa miaka minne hadi mitano huku akifanya ujasusi na mataifa mengine kama huko Tanzania, hiyo deep state haipo makini nadhani haipo kabisa
Nyie vipi swala apeleke taarifa kwa simba huku akijua simba yupo mawindoniDeep State ambayo haikuiona Dowans, meremeta, kagoda, escrow, deep state ambayo haiweki ulinzi madhubuti mipakani ambapo kwa sasa kuna tishio la ugaidi, yaani nchi pekee ambayo mgeni anaweza kuingia kupitia mipakani asikaguliwe hata na ditecta, deep state ambayo inaangalia CCM wakipora na kuvuruga uchaguzi, deep state ambayo inaruhusu Rwanda avuke na jeshi aende msumbiji aweke kambi huko anatarajia kukaa miaka minne hadi mitano huku akifanya ujasusi na mataifa mengine kama huko Tanzania, hiyo deep state haipo makini nadhani haipo kabisa