Artificial intelligence
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 1,265
- 2,252
- Thread starter
- #61
Kiukweli kuendelea kuitegemea kijani ni sawa na kusubiri muujiza.Mkuu wamekusikia chama cha umoja party ndio suluhisho pekee kimeandaliwa ki take over!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli kuendelea kuitegemea kijani ni sawa na kusubiri muujiza.Mkuu wamekusikia chama cha umoja party ndio suluhisho pekee kimeandaliwa ki take over!!
Hao hamna kitu, hata wenyewe wanapelekeshwa tu.Deep state ya akina zero, msoga na diwani😂😂😂😂😂
Ndani ya jeshi kuna kitu kinaitwa MI [emoji16] (Military Intelligence) ukiwajua hawa, ndio uanze kubwabwaja humu, mana naona wengi tunatoa comments ambazo ni ubashiri tuu