"Deep state" huu ni wakati wa kuandaa chama kingine kushika dola, kijani imeshindwa kutufikisha

Deep state = UVCCM

Hao kina Heri James, Kanani Kihongosi, Sabaya n.k

Kabla ya kuleta uzi tumia ubongo sio masaburi.
 
Uzi wangu huu!nilipost Mods wakatia kapuni!!
Mkuu pole yako kama uliandika kitu sensitive kama hichi pia wakatia kapuni. Moods na wenyewe wanapaswa kulinda kampuni yao inawalisha kila siku, kwahiyo siku unapoandika mambo nyeti, ujitahidi kufunga uzi wako kwa taswira, hiyo inasaidia kulinda kampuni na moods nyuzi zako watakuwa wanazipandisha. Lakini ukiuachia wazi kabisa uzi wako na umeandika mambo nyeti, uzi wako sidhani kama utapandishwa.
 
Si kina Kingunge hao, walijitoa na kwenda kufa.

Nadhani mzee huyo angelikuwa hai angelikuwa keaharudi Ccm.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona alipokua hoi hospitali na Mwendazake alipoenda kumtembelea alitoa kauli thabit. Alisema moyo wake upo CCM! Mwenda zake akamuuliza tena kama vile hajasikia vizuri na jibu likawa kama la mwanzo. Hakika angekua hai hadi leo, Mzee KNM angesharudi studio zetu Pugu Road
 
Nimependa angle ya habari yako japo bado sio muarobaini wa kile tunachokihitaji kama Taifa.

Hili Taifa halina watu ambao wako committed, obligated, countable na akitokea mtu akawa na sifa hizo anajikuta kazungukwa na wachumia tumbo na wasio na malengo.

MTAZAMO WANGU
Tunapaswa kutenga miaka 20 kutoka muda wowote tutakaokuwa tayari ndipo tutaona mafanikio katika nyanya zote;

KIVIPI
Kwanza ni lazima Kila mtanzania atakaye kuwa na miaka 20 wakati huo awe na elimu ya kidato cha nne: Sababu kubwa ni kwamba miaka hii 14 yaani kindagaten 3+7+4, itakua ni filter ya kupata watu ambao wameppikwa kutokana na vipawa vyao kwa ajili ya kutake over hii nchi.

NINI KIFANYIKE
Serikali iandae mtaala wa muendelezo (continuous assessment) na sio wa kumtathmini mtahiniwa kwa single sitting baada ya kuhitimu miaka 3, 7, 4.

Mtaala upanue wigo wa fani ikianza na Sanaa zote, vipaji vingine kama uongozi, ukakamavu nk kuliko kukomea hapa kwenye HGK, HKL PGM and the likes.

PROFILING
Maafisa Usalama wachukue wigo huo kwa ajili ya kuandika historia za matendo ya vijana na kujua progress zao ndani na nje ya shule ili kudhibiti matendo ya kihalifu.

PROFILING inasaidia sana pale unapotokea uhalifu wanavuta kumbukumbu na kuanza ku narrow search kitu ambacho kitaondoa hizi mambo za vyombo vya usalama kutumia mateso kwa ajili ya ku retrieve info wakati profile yake ingeweza saidia.

Aidha mtaala unatakiwa kuwa na kipengele cha mazoezi kama utamaduni kwa ajili ya kuwa na Taifa la watu wakakamavu.

Wasalaam
 
Hakuna deep state Tanzania wewe,usidanganywe
 
Deep State ambayo haikuiona Dowans, meremeta, kagoda, escrow, deep state ambayo haiweki ulinzi madhubuti mipakani ambapo kwa sasa kuna tishio la ugaidi, yaani nchi pekee ambayo mgeni anaweza kuingia kupitia mipakani asikaguliwe hata na ditecta, deep state ambayo inaangalia CCM wakipora na kuvuruga uchaguzi, deep state ambayo inaruhusu Rwanda avuke na jeshi aende msumbiji aweke kambi huko anatarajia kukaa miaka minne hadi mitano huku akifanya ujasusi na mataifa mengine kama huko Tanzania, hiyo deep state haipo makini nadhani haipo kabisa
 
Hakuna deep state Tanzania wewe,usidanganywe
Deep State yetu iko ughaibuni (Mabeberu). Huko ndo wanatuamulia kwa kutumia watu wao walioko huku. Itoshe tu kusema nakubaliana na wewe.
 
Labda nikwambie tu kwamba operations za kijeshi za Tanzania waga ni za kimkakati na ufanisi wa hali juu, JWTZ wapo Msumbiji muda mrefu, lakini usitarajie kusikia matangazo kama Rwanda.
 
kuna vitu unapaswa kuvijua kwanza...

Nani ni dip state..
CCM ni nani.
Malengo ya dip state ni nini kwa Tanzania.
Dip state anategemea nini kutoka kwa CCM..

tafuta uprofesa kwanza na hivyo vitu vinne, japo unaweza kuishia njiani, either kwa kuwa chizi ukawa kama dr shika au rev mtikila au ukafa kwa deppression kama sio elimination..
 
Mkuu huo wizi ndio unaleta mzunguko wa hela mtaani watu wananeemeka tena sana tu!!!Wewe unafikiri bila upigaji hapa mjini hela itazungukaje sasa???!!
 
N
Nyie vipi swala apeleke taarifa kwa simba huku akijua simba yupo mawindoni
 
Ndani ya jeshi kuna kitu kinaitwa MI [emoji16] (Military Intelligence) ukiwajua hawa, ndio uanze kubwabwaja humu, mana naona wengi tunatoa comments ambazo ni ubashiri tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…