music mimi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 485
- 876
Chatgpt version ya mchina.Ni app ya nini kwan
Basi unajiona mtu smart ukaandika hivi 🤓We mtumiaji subiria wa bara la giza tyulia , inawezekana unatumia demo.. Kiufupi hujui chochote maana huna akili hata ya kutengeneza boxer Yako.
Sasa wewe unajua nn? Siwezi kumsikiliza my African kweny teknolojia hata siku moja.Basi unajiona mtu smart ukaandika hivi 🤓
Una msongoSasa wewe unajua nn? Siwezi kumsikiliza my African kweny teknolojia hata siku moja.
Sawa mchina kachemsha, wewe yenu iliyo tengenezwa chato iko wapi?Nimeitumia deepseek nafikiri mimi ni mmoja wa watumiaji wa mwanzoni. Ilikuwa vizuri na ipo fasta. Lakini baada ya kuanza kelele kila muda inashindwa kufanya kazi server zao ni ndogo mchina katepeta mapema sana.
Umejaa ujinga kichwani. Very stupid!Sawa mchina kachemsha, wewe yenu iliyo tengemezwa chato iko wapi?
Mbona sioni sababu ya kumtusi huyoo mwamba.. amekuuliza swali zuri sana na la kimkakati..Yenu watu weusi mliotengeza hata kushindana na hiyo iko wapi? Mtu mweusi kazi yake kutumia tu vya watu..wenyewe hata kujenga choo tu hadi msubiri mjapani awape pesa za ujenzi kupitia JICAUmejaa ujinga kichwani. Very stupid!
Hawana kelele wao wameachia model tena open source unaweza kuidownload ukaitumia locally kwenye pc yako, ukaitune na kuifanyia madikodiko kwenye code kwa mapenzi yako.Nimeitumia deepseek nafikiri mimi ni mmoja wa watumiaji wa mwanzoni. Ilikuwa vizuri na ipo fasta. Lakini baada ya kuanza kelele kila muda inashindwa kufanya kazi server zao ni ndogo mchina katepeta mapema sana.
Pole sana kwa depression unayopitia.Umejaa ujinga kichwani. Very stupid!