Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wanasema mtikisiko wake huko US umeyumbisha masoko kwa zaidi ya USD 1.2tr karibu sawa na uchumi wa Urusi umekuwa wiped out inaweza kuwa takataka Chief?Takataka hiyo
Mambo ya Tech huyawezi, wewe andelea kujadili mambo ya akina baba levoHii AI ikiulizwa masuala ya siasa za China zenye utata inapatwa kigugumuzi cha ghafla.
View attachment 3220782
Swali lenyewe sasa 🤣Hii AI ikiulizwa masuala ya siasa za China zenye utata inapatwa kigugumuzi cha ghafla.
View attachment 3220782
Ipo sahihi.Hii AI ikiulizwa masuala ya siasa za China zenye utata inapatwa kigugumuzi cha ghafla.
View attachment 3220782
Acha dharau kucopy bila akili ni ujinga wachina wako vzr Empire ya US inaenda down..Mchina kwa kucopy na kupaste vitu vya watu. Yupo makini 100%.
Mchina anasubiri watu watengeneze, yeye a-copy. Hongera
Acha dharau kucopy bila akili ni ujinga wachina wako vzr Empire ya US inaenda down..
Wong Fei 你好吗?Pole sana mchina mweusi. Mchina kumpoteza US usahau wala haitatokea.
Kuna jirani yangu hapa alinunua iPhone. Kuja kuangalia ni copy ya mchina tena ni Mediatek na unaistall application zenye .apk. Kanunua sawa na bei ya iPhone OG ya IOS😁😁😁
Bila mzungu kutengeneza AI. Unafikiri wachina wangeteneneza hiyo Deepseek? Thubutu
Dunia ya Mungu, vitu vya mzungu
Wew ni akili mgando unaamini kila kitu wazungu wame invent acha ujingaa yan unadhani wazungu ndo wenye akili tu 😁😁😁Pole sana mchina mweusi. Mchina kumpoteza US usahau wala haitatokea.
Kuna jirani yangu hapa alinunua iPhone. Kuja kuangalia ni copy ya mchina tena ni Mediatek na unaistall application zenye .apk. Kanunua sawa na bei ya iPhone OG ya IOS😁😁😁
Bila mzungu kutengeneza AI. Unafikiri wachina wangeteneneza hiyo Deepseek? Thubutu
Dunia ya Mungu, vitu vya mzungu
Kwa kuwa wewe na mchina wako mna akili mgando. Unafikiri wote tupo hivyo. Mchina katengeneza nini hapa 👇Wew ni akili mgando unaamini kila kitu wazungu wame invent acha ujingaa yan unadhani wazungu ndo wenye akili tu 😁😁😁
Wong Fei 您上次离开中国是什么时候?这是否意味着您已经忘记了一切?你不能认真 Wong Fei 自从您离开中国以来,您一直在写类似的东西。你已经成为白痴,你是祖国的叛徒Kwa kuwa wewe na mchina wako mna akili mgando. Unafikiri wote tupo hivyo. Mchina katengeneza nini hapa 👇
Angalia mambo ya wenye akili👇
Weka ya Operating ya mchina uone inatumia nini?
- Blackberry OS
- Nokia Symbian
- Nokia Windows phone
- Android
- iOS (iphone)
Mchina katengeneza operating system inayotumia application za android😸😸😸😸😸😀😀😀😀😀
- Windows
- Linux
- Mac OS
Nasikia mchina katoa copy za JBL😀😀😀😀
Mchina kwa kucopy na kupaste huwa hakopeshi mulele 100%
昆貝·巴多·烏納圖瓦扎·薩納
真可惜昆貝·巴多·烏納圖瓦扎·薩納
台湾是中国的一部分说是阿切尼愚蠢