Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini na Russia wasichapishe Rubu tu??Sidhani kama ni ngumu kwao kupata hizo fedha, hasa kwa mbinu yao tukutu ya kuchapisha yale makaratasi yao kwa wingi.
Kwa sababu wenzio hawapendi kuishi maisha ya kuiga-iga, hasa maigizo ambayo mwishowe ni kujiangamiza mwenyewe.Kwa nini na Russia wasichapishe Rubu tu??
Kwahiyo Marekani inaprint hela hadi California inaendana kwa GDP na Russia?😂Kwa sababu wenzio hawapendi kuishi maisha ya kuiga-iga, hasa maigizo ambayo mwishowe ni kujiangamiza mwenyewe.
By printing and printing and printing again the currency, US has been shooting her own foot all along.
Elezea kwa kuprinti pesa US wanajiangamizaje wenyewe?Kwa sababu wenzio hawapendi kuishi maisha ya kuiga-iga, hasa maigizo ambayo mwishowe ni kujiangamiza mwenyewe.
By printing and printing and printing again the currency, US has been shooting her own foot all along.
ndo maana wako vitani na uchumi unakua...ingekuwa vitu ni dolar sie wa Titye zamani tungesha kufa kwa njaaKwa nini na Russia wasichapishe Rubu tu??
Uchumi unapimwa na kiasi unachouza na kununua kwa dola.Sasa kwa sie ambao chai yetu inabei zero mbele ya dola tutalingana vipi kiuchumi na wenye bei nzuri?ila kila leo twanywa Chai.Kwahiyo Marekani inaprint hela hadi California inaendana kwa GDP na Russia?😂
Okay, South Korea inaizidi uchumi Russia kisa wanaprint sana hela?
Kwamba South Africa inaizidi Tanzania uchumi kwa kuprint saba Rand?
Hawawezi, sababu sifa kuu ya dollar inakubalika mno duniani Sasa nani anahitaji hizo rubleKwa nini na Russia wasichapishe Rubu tu??
...thamani ya pesa inabebwa na uzalishaji mali.ila wao wanailinda kwa bundukiElezea kwa kuprinti pesa US wanajiangamizaje wenyewe?
Mataifa mengine huwa yanaprinti pesa mara moja tu?
ingekuwa ivo wangekaa kwa kutuli Calfonia.Sasa wanafanya nini Guantamo Bay.wenzio Jeshi liko kufanya bihashara, vita zao zote ni zakukuza uchumi wao. Hawafanyi vita za kugombania mipaka kama Putiniii
Nitajie nchi ya kwanza inayoongoza kwa uzalishaji wa mafuta duniani,...thamani ya pesa inabebwa na uzalishaji mali.ila wao wanailinda kwa bunduki
Trade kati ya nchi na nchi ni nafuu kuliko kutumia dolar .....ikiwa utanijibu ni kwa nini ni nafuu kununua bidhaa Uganda kuliko kenya.basi siku ikiyajua ya ruble utayaacha ya dollarHawawezi, sababu sifa kuu ya dollar inakubalika mno duniani Sasa nani anahitaji hizo ruble
Kama sio mchumi hauwezi mwelewa jamaaKwahiyo Marekani inaprint hela hadi California inaendana kwa GDP na Russia?😂
Okay, South Korea inaizidi uchumi Russia kisa wanaprint sana hela?
Kwamba South Africa inaizidi Tanzania uchumi kwa kuprint saba Rand?
Kama ingekuwa rahis hivyo, why hatuchapishi ya kwetu kwa wingi? Or why nchi zingine hazifanyi hivyo?Sidhani kama ni ngumu kwao kupata hizo fedha, hasa kwa mbinu yao tukutu ya kuchapisha yale makaratasi yao kwa wingi.
Hi ni uwongo sita amini hata siku moja hakuna nchi inaweza kukupa ukweli wake hapo.View attachment 3018477
Marekani wamejizatiti Sana na waki serious.
Unachanganya nchi tano kubwa, bado jamaa wako juu.
Uchapishe shilingi kwa wingi halafu uipeleke wapi?Kama ingekuwa rahis hivyo, why hatuchapishi ya kwetu kwa wingi? Or why nchi zingine hazifanyi hivyo?
NI vema kutofautisha trade volume na mwenye bidhaa.. je umesoma agenda za mkutano wa G7 Italy ... kulikuwa na haja gani ya kugombana na Huawei na 5G tech.Nitajie nchi ya kwanza inayoongoza kwa uzalishaji wa mafuta duniani,
Nitajie nchi ya kwanza inayoongoza kwa kuuza chakula kwa mataifa mengine duniani.
Nitajie nchi ya kwanza inayoongoza kwa biashara za IT na software
Nitajie nchi inayovuna pesa nyingi zaidi kwa bidhaa za utamaduni za filamu na muziki.
Nitajie nchi inayovuna pesa nyingi zaidi kwa bidhaa na huduma za elimu kama vyuo na vitabu