Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Kobazi wanakuja kuusagia kunguni huu uzi wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa Hazard na Oxford sioKama sio mchumi hauwezi mwelewa jamaa
Ile Nchi ni ya Kibepari jeshi linanunua huduma zote kwa makampuni binafsi tofauti na. Russia au China Jeshi ndio linamiliki viwanda vya silaha na huduma zote za Kijeshi hawanunui ndio maana bajeti zao zinakua chini.Marekani wamejizatiti Sana na waki serious.
Unachanganya nchi tano kubwa, bado jamaa wako juu.
View attachment 3018477
Ni kampuni gani kubwa ya silaha ya Urusi inamilikiwa na jeshi. Haipo.Ile Ile Nchi ni ya Kibepari jeshi linanunua huduma zote kwa makampuni binafsi tofauti na. Russia au China Jeshi ndio linamiliki viwanda vya silaha na huduma zote za Kijeshi hawanunui ndio maana bajeti zao zinakua chini.
Tuletee takwimu zinazo onesha S.korea kuizidi Urusi kiuchumi au umekalili.Kwahiyo Marekani inaprint hela hadi California inaendana kwa GDP na Russia?😂
Okay, South Korea inaizidi uchumi Russia kisa wanaprint sana hela?
Kwamba South Africa inaizidi Tanzania uchumi kwa kuprint sana Rand?
Pale ni kama unamdhibiti kichaa tu cz hata akiwa na jiwe haangaliinsehem ya kulirushaingekuwa ivo wangekaa kwa kutuli Calfonia.Sasa wanafanya nini Guantamo Bay.
Ndiyo maana Marekani hapendi amani duniani ili auze silaha
Kukiwa na amani atamuuzia nani silaha?Ndiyo maana Marekani hapendi amani duniani ili auze silaha
Binadamu wameanza kupigana kabla Marekani haijawepo duniani,Ndiyo maana Marekani hapendi amani duniani ili auze silaha
Kwa vile Russia wao wako smart na wanatambua nini hasa chenye thamani zaidi.Kwa nini na Russia wasichapishe Rubu tu??
Umeelewa hoja inayozungumziwa?Binadamu wameanza kupigana kabla Marekani haijawepo duniani,
Urusi na China wamekuwa wanapigana vita mbalimbali kabla Marekani haijawepo kama taifa.
Japan, Singapore, Korea Kusini, Switzerland, Taiwan na Israel ni tajiri kuliko DRC/Congo,The real money is not the coins and the bank notes that people seem to adore. Pesa halisi ni rasilimali.
Unataka nikueleweshe?Umeelewa hoja inayozungumziwa?
Naona haujaelewa akichozungumzia. Jamaa kazungumzia uuzaji wa silaha.Unataka nikueleweshe?
Nimemjibu aliyesema Marekani hapendi amani ili auze silaha.Naona haujaelewa akichozungumzia. Jamaa kazungumzia uuzaji wa silaha.
Sasa hizo vita za China na Russia kabla Marekani halijawa taifa vinahusinaje.
Kwa hiyo inahusianaje na vita vilivyowahi kupiganwa na China na Urusi miaka ya zamani?Nimemjibu aliyesema Marekani hapendi amani ili auze silaha.