Mbepo yamba
JF-Expert Member
- Aug 5, 2012
- 1,262
- 1,773
Mwanamke 🤔Hivi unajua nani alianza kwenda mwezini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke 🤔Hivi unajua nani alianza kwenda mwezini
Tutajie bidhaa za Russia zilizofukuzwa kwenye soko la dunia na Marekani.Umeona sasa? Marekani yeye anatumia maguvu ili kulazimisha bidhaa zake zinunulike duniani.
Yeyote anayeonekana mpinzani, anapambana naye ili kumwondoa. Ndiyo maana hawapatani kabisa na China, kwa mfano.
Hakuna soko huria kama wanavyotuaminisha. Kuna kuhodhi soko kwa nguvu.
Kila nchi inayojaribu kuinuka kiuchumi hugeuka kuwa adui wa Marekani, isipokuwa ikiridhia kufuata sera za kuongozwa na Amerika.
Angalia nchi zote zenye utajiri wa mafuta, gesi na madini na rasilimali zingine, namna zilivyovurugwa na Marekani. Hiyo ni data halisi, ambayo ni sera ya Marekani hadi kesho kutwa.
Si ajabu vita vya Ukreni ni jitihada za Marekani kumdhoofisha Russia kiuchumi ili asinufaike na soko kubwa la Ulaya.
Nchi inayoanzisha vita ili kunufaika na mauzo hazina ya silaha zake, au hata kusambaza kimakusudi magonjwa ya mlipuko, taifa kama hilo limefilisika kisiasa, kiuchumi na kimaadili, na ni adui namba moja as dunia.
Na nani wa kwanza kukanyaga mwezini (binadamu).Hivi unajua nani alianza kwenda mwezini
Unataka tuanze hapa kujadili tena sababu ya vita vya Ukreni? Bado unang'ang'ana kwamba Urusi ndiye chanzo?Tutajie bidhaa za Russia zilizofukuzwa kwenye soko la dunia na Marekani.
Taja mfano ni kampuni ipi ya simu kutoka Urusi ilikuwa inauza ika Marekani ikakataza kusudi wabaki Wamarekani tu.
Au ni kampuni ipi ya kuunda ndege ya Urusi ilipigwa marufuku na Wamarekani isiuze duniani wabaki Boeing.
Vita ya Ukraine kaanzisha Urusi ili Marekani iidhoofishe Urusi? Hii inaingia akilini?
Yaani Urusi kavamia Crimea 2014, katoka kavamia Ukraine nzima kwa fronts mbili 2022. Then unasema ni njama za Marekani kuidhoofisha Urusi.
Ina maana Urusi ni wapumbavu kiasi kwamba wanatumia jeshi lao kutimiza matakwa ya Marekani. Ndio hiyo nchi mnaishindanisha na Marekani wakati inaichezesha kanyaboya?
Hakuna mwanadamu aliyewahi kukanyaga mwezini. Hizo ni stori tu ambazo hata Wamarekani wenyewe hawaziamini.Na nani wa kwanza kukanyaga mwezini (binadamu).
USSR ndio ya kwanza kutuma chombo kwenye space (sio mwezini). Jambo la kutuma chombo mwezini Russia hawajui. Wanafeli wamezidiwa hata na India iliyofanikiwa first time mwaka jana.
Msikilize Putin mwenyewe:Vita ya Ukraine kaanzisha Urusi ili Marekani iidhoofishe Urusi? Hii inaingia akilini?
Yaani Urusi kavamia Crimea 2014, katoka kavamia Ukraine nzima kwa fronts mbili 2022.
Na Hamas watakuwa wameuziwa na Us sio?Ndiyo maana Marekani hapendi amani duniani ili auze silaha
Hao wapo kishabiki mkuu kuliko uhalisia na simulizi za vijiweni,komaa hapo hapo bidhaa za Russia ziko wapi ?magari yao Lada niva na kamaz utayakuta kwenye nchi za hovyo kama north korea,cuba,belarus....yatawezaje kushindana na hyundai,toyota,ford...kuna sehemu niliona kumbe hata kamaz zile za rally dakar injini ni mercedes!South Korea wanaunda meli kubwa kabisa za kisasa. Wana vifaa vya ujenzi. Home appliances nyingi. Vifaa vya mawasiliano. Vifaa vya matibabu hospitalini.
Urusi hasahasa ana maliasili ambazo hajaunda bali kazikuta. Ni kama Congo, Saudi Arabia au Qatar.
Satellite hata North Korea na Iran wamejaribu, na hawana cameras kwenye soko la dunia. Hata India.
Kumiliki market share kwenye soko la digital cameras kama Canon, Sony, Nikon, Fujifilm ni vigumu kuliko kurusha satellite angani.
Alafu Marekani akiongoza kiuchumi mnasema anaprint dola[emoji23]
Bidhaa zinaonekana kwenye market share ya industry kwenye soko la dunia. Hizo bidhaa za Urusi ziko wapi mbona kama gesi na mafuta mnataja, kwamba mfano Lada inashindana na soko la Toyota, Ford, RR ama Hyundai?
Ni sera zake za hovyo na marafiki wa hovyo wanamponza.Itoke huko kwenye ant-democratic governance,corruption,mismanagement of the economy na upuuzi mwingine.Umeona sasa? Marekani yeye anatumia maguvu ili kulazimisha bidhaa zake zinunulike duniani.
Yeyote anayeonekana mpinzani, anapambana naye ili kumwondoa. Ndiyo maana hawapatani kabisa na China, kwa mfano.
Hakuna soko huria kama wanavyotuaminisha. Kuna kuhodhi soko kwa nguvu.
Kila nchi inayojaribu kuinuka kiuchumi hugeuka kuwa adui wa Marekani, isipokuwa ikiridhia kufuata sera za kuongozwa na Amerika.
Angalia nchi zote zenye utajiri wa mafuta, gesi na madini na rasilimali zingine, namna zilivyovurugwa na Marekani. Hiyo ni data halisi, ambayo ni sera ya Marekani hadi kesho kutwa.
Si ajabu vita vya Ukreni ni jitihada za Marekani kumdhoofisha Russia kiuchumi ili asinufaike na soko kubwa la Ulaya.
Nchi inayoanzisha vita ili kunufaika na mauzo hazina ya silaha zake, au hata kusambaza kimakusudi magonjwa ya mlipuko, taifa kama hilo limefilisika kisiasa, kiuchumi na kimaadili, na ni adui namba moja as dunia.
Ndiyo maana mbadala pekee unaokubalika kwa sasa katika kudumisha amani duniani ni sera za umoja wa BRICS.
Ni wazi katika karne hii ya 21, Marekani angali akiishi kwa kutegemea mbinu ya zama za giza, ambao utawala wenye nguvu uliangamiza mashamba au maghala ya hifadhi za tawala zingine ili zijisalimishe na kutawaliwa.
Unajua kwa nini nchi kama Venezuela inaishi katika umaskini wa kutupwa, licha ya utajiri mkubwa sana wa mafuta? Sababu ni Marekani.
Marekani anaiuzia IsraelNa Hamas watakuwa wameuziwa na Us sio?
Umeleta blah blah.G8 haimaanishi direct kwamba ni nchi nane kubwa kwa GDP wakati huo, huwa zinakaa sana kubadilika.
Kwa mwaka huu Brazil inaizidi Russia kwa GDP. India ni ya 5 kwa GDP ila haipo G8. Wakati wa mdororo wa uchumi kwenye 2010s Spain, Ugiriki na Italy zilikuwa hatarini zikakopeshwa na EU hasa kina UK na Ujerumani na zikaishi kwa tabu lakini wakati huohuo bado Italy ilikuwa kwenye G8.
Kwanza Russia haikuwa na vigezo vya kuwa G8, iliitwa tu. Tena kipindi kile ina njaa inauza hata siri za silaha kwa bei ya hasara kwa Wachina. Hivyo hata kufukuzwa ilitolewa sehemu ambapo haistahili kuwepo.
Hapo saudia anafanya nini naona anajihami zaidi maana ameshaahisi mambo yanaweza kuwa mabayaMarekani wamejizatiti Sana na waki serious.
Unachanganya nchi tano kubwa, bado jamaa wako juu.
View attachment 3018477
Pia wanashreria za kuwalinda wafnayakazi ..hasa kwenye ujira ni lazima hizo gharam serikali iZibeba na ndo maana product inakuwa juu ..unakuta mfanyakaz wa kawaidai akifsnya kazi Lisaa moja la ziada unamlipa 22usd dollar wwkati nchi nyingine ni makubaliano tuKuweka makambi ya jeshi kwenye nchi za wenzako lazima mfuko upasuke,,,,na pia jamaa silaha zao wananunua kutoka makampuni binafsi na ukiangalia bei ya silaha za viwanda vya marekani ni kubwa kuliko wanavyozalisha warusi na wachina hawa unakuta jeshi/serikali ndo inamiliki viwanda vya kuzalisha hizo silaha tofauti na marekani anaenunua silaha kwenye viwanda binafsi,,hapo lazima gharama ziwe kubwa
Na hiki ndo kinachowaumiza raia wengi ww marekani na makampuni mengi kushindwa kuwekeza hukoKombora moja ndani ya jeshi la Marekani linagharimu bilioni moja wakati la kiwango kile kile kwa wenzao ni milioni mia moja au chini. Lazima wawe na bajeti ya kutisha.
So what?Marekani wamejizatiti Sana na waki serious.
Unachanganya nchi tano kubwa, bado jamaa wako juu.
View attachment 3018477
Russia ni watu wazima na wanajua kutafuta hela ki utu uzima ndo maana wameanzisha Dedolarization ili hayo makaratasi wanayochapisha wavutie bangeKwa nini na Russia wasichapishe Rubu tu??
Ndo wampeleke Helena,wamepankKwamba haujui kwamba pale Guantanamo US amekodishwa na Cuba tangu 1903? Au unafikiri amevamia tu?
Nyambizi aweze tengeneza urusi afu marekani ashindwe wafuasi wa mudi nani kawalogaNyambizi ya Urusi iliyofika kule Havana Cuba gharama yake ni US$ 2.5 bilioni ingekuwa imetengenezwa na US kwa viwango vilevile na kwa uwezo uleule (ingawa kwa sasa US hawana huo ubavu) wangesema gharama yake ni trilioni Bilioni elfu saba US dollar, na kama kuna jambo limemuudhi US tangu kuumbwa kwao ni huu mpango kabambe wa DEDOLLARIZATION maanq anajua hiyo mikaratsi itaishia kutumiwa na akina SNOOP mbwambwa kuvutia gozo