Defense budget ya Marekani ni kubwa sana

Defense budget ya Marekani ni kubwa sana

Sidhani kama ni ngumu kwao kupata hizo fedha, hasa kwa mbinu yao tukutu ya kuchapisha ile mikaratasi yao kwa wingi.
Kwa nini na wengine wasichapishe hiyo mikaratasi?
Mi nadhani hata bongo tuna mikaratasi yetu tunaweza kuchapisha tuu.
 
Unataka tuanze hapa kujadili tena sababu ya vita vya Ukreni? Bado unang'ang'ana kwamba Urusi ndiye chanzo?

Kuhusu Marekani kuhodhi soko la dunia kwa nguvu, hilo liko wazi. Si tu kwamba Urusi, bali taifa lolote linalojaribu kuleta upinzani kwa Marekani kiuchumi anageuka kuwa adui mkubwa.

Niambie kwa nini Bush alienda kuivamia Iraki? Je ni kweli zilikuwepo silaha za maangamizi kule?

Vipi kuhusu Venezuela? Kwa nini Marekani hakati kupeleka pua yake pale?

Hilo huoni???

Marekani ina tatizo la superiority complex, na inaiona kila nchi duniani kama koloni lake halali.

Lakini sasa kwa hiki anachomfanyia Mrusi na washirika wake, ni wazi muda wake wa kujidai unahesabika.
Venezuela na Iraq ziliwahi kuwa hata top 20 ya nchi tajiri duniani?

Na Urusi kuvamia Ukraine na Georgia ni wivu wa kiuchumi?
Hapo saudia anafanya nini naona anajihami zaidi maana ameshaahisi mambo yanaweza kuwa mabaya
Saudia Arabia tangu avamiwe na Saddam Hussein akakimbilia kuiita Marekani ije imsaidie. Tangu hapo akaapa kukuza jeshi lake ili asitokee kichaa yeyote akajisikia kumvamia.

Zamani Saudi Arabia alikuwa na jeshi la kawaida sana baadae wakajishtukia hawako salama.
 
Msikilize Putin mwenyewe:

^In the West, the prevailing narrative is that Russia initiated the war with its special military operation and is therefore the aggressor, so it is allowed to attack the Russian territory using Western weaponry.

It is argued that Ukraine is merely defending itself, and is justified in doing so.

I want to reiterate: Russia did not start the war.

It was the Kiev regime that initiated hostilities, following the declaration of independence by residents of certain parts of Ukraine in accordance with international law, and continues to do so.

If we do not recognise the right of these peoples to declare their independence, then this is indeed aggression.

Those who have supported the Kiev regime’s war machine over the years are, therefore, accomplices to this aggression.

Back in 2014, the residents of Donbass refused to surrender.

Militia units stood their ground, repelled the punitive forces, and eventually pushed them back from Donetsk and Lugansk.

We hoped this would bring those who initiated the violence to their senses.

To halt the bloodshed, Russia made its customary appeals for negotiations.

Talks began, involving Kiev and representatives of the Donbass republics, with the support of Russia, Germany, and France.

The talks were not easy, but ultimately led to the conclusion of the Minsk Agreements in 2015.

We took their implementation very seriously, hoping to resolve the situation within the framework of the peace process and international law.

There was hope that this would lead to the recognition of the legitimate interests and demands of Donbass, including enshrining the special status of these regions and ensuring the fundamental rights of the people living there, all while maintaining Ukraine’s territorial integrity.

We were prepared for this and sought to persuade the residents of these territories to resolve issues through such means.

We proposed various compromises and solutions multiple times.

However, Kiev ultimately rejected everything and simply discarded the Minsk Agreements.

As representatives of the Ukrainian elite later confessed, none of the articles in these documents satisfied them; they simply lied and evaded as much as possible.

The former Chancellor of Germany and the former President of France, who were essentially co-authors and purported guarantors of the Minsk Agreements, later openly admitted that the implementation was never their intention.

Instead, they claimed it was a tactic to stall while they bolstered Ukrainian armed groups, supplied weapons and equipment.

It was another instance of them playing a trick on us and deceiving us once again.

Instead of fostering a genuine peace process and pursuing policies of reintegration and national reconciliation, as Kiev often claimed, Donbass endured eight years of relentless shelling, terrorist attacks, murders, and severe blockade.

Throughout these years, the residents of Donbass – women, children, and the elderly – were dehumanised, labelled as 'second-class' or 'subhuman,' and threatened with retaliation, with promises of settling scores with everyone.

What else can this be if not genocide in the heart of Europe in the 21st century?

Meanwhile, in Europe and the US they pretended that nothing was happening and nobody was noticing anything.^
Kura za kubumba za Donbass zilianza tiyari Urusi iliishavamia.

Alafu unamsikiliza Putin aliyeua wapinzani. Aliyevamia ndio unamsikiliza. Umecopy porojo nyingi ila point ya msingi hujui, ndio maana USSR lilivunjika. Linchi kubwa jinga ilikuwa hata haki za founding states hamna, baadae Marekani inapeta mnadai inaprint dola.

Print na nyinyi si makaratasi na materials mnayo. Print makontena ya ruble tuone uchumi wenu unapaa
 
Venezuela na Iraq ziliwahi kuwa hata top 20 ya nchi tajiri duniani?

Na Urusi kuvamia Ukraine na Georgia ni wivu wa kiuchumi?

Saudia Arabia tangu avamiwe na Saddam Hussein akakimbilia kuiita Marekani ije imsaidie. Tangu hapo akaapa kukuza jeshi lake ili asitokee kichaa yeyote akajisikia kumvamia.

Zamani Saudi Arabia alikuwa na jeshi la kawaida sana baadae wakajishtukia hawako salama.
Saudia wamesema hawaendelezi tena mkataba wa PDS, unalizungumziaje hili?
 
Kura za kubumba za Donbass zilianza tiyari Urusi iliishavamia.

Alafu unamsikiliza Putin aliyeua wapinzani. Aliyevamia ndio unamsikiliza. Umecopy porojo nyingi ila point ya msingi hujui, ndio maana USSR lilivunjika. Linchi kubwa jinga ilikuwa hata haki za founding states hamna, baadae Marekani inapeta mnadai inaprint dola.

Print na nyinyi si makaratasi na materials mnayo. Print makontena ya ruble tuone uchumi wenu unapaa
Stupid! Jifunzen uchumi wa dunia unavyokwenda muwe mna comment, kuliko kutia aibu.
 
Na hiki ndo kinachowaumiza raia wengi ww marekani na makampuni mengi kushindwa kuwekeza huko
Basi hapo raia wa Urusi wamewekeza kwao hadi nchi yao ni ha kwanza kiuchumi duniani. Mrusi wa kwanza kwa utajiri anaishi na kaupatia utajiri Marekani, hao wengine wanabangaiza kwa kuuza gesi, madini na mafuta ila hawamfikii hata nusu. Angeishi Urusi uko mifumo ya kiserikali isingemruhusu.

Mabilionea kadhaa wa Urusi wamejazana Uingereza, Israel na nchi nyingine hawataki kunuka shida na kunyanyasika na gubu la nchi yao.
Nchi hata inazidiwa na Brazil kwa GDP nyinyi mmekomaa kuilinganisha na Marekani.
 
Basi hapo raia wa Urusi wamewekeza kwao hadi nchi yao ni ha kwanza kiuchumi duniani. Mrusi wa kwanza kwa utajiri anaishi na kaupatia utajiri Marekani, hao wengine wanabangaiza kwa kuuza gesi, madini na mafuta ila hawamfikii hata nusu. Angeishi Urusi uko mifumo ya kiserikali isingemruhusu.

Mabilionea kadhaa wa Urusi wamejazana Uingereza, Israel na nchi nyingine hawataki kunuka shida na kunyanyasika na gubu la nchi yao.
Nchi hata inazidiwa na Brazil kwa GDP nyinyi mmekomaa kuilinganisha na Marekani.
anaitwa nani na utajiri wake ni kiasi gani?

Kumuwekea vikwazo Russia ni kumuogopa kama ana uchumi mdogo sasa vikwazo vya nini?, Russia ndo nchi yenye uchumi mkubwa Ulaya interms of PPP.

Licha ya vikwazo zaidi ya 17,000 bado West wanashindwa kumuangusha Russia, hapa ndo naamini Russia sio kama tunavyoambiwa hawa jamaa wako vizuri sana.
 
Huo uchumi wa kuchapisha hela utakua ulisomea chuo cha madrasa
Huwezi ilewa wewe soma hapa chini trump anachosema mna elimu za HKL mnakuja kusumbua hapa jukwaani




Trump: Marekani haitawahi kushindwa kulipa deni ‘kwa sababu mnachapisha fedha’
Donald Trump alisema Jumatatu kwamba Marekani haitawahi kushindwa kulipa deni "kwa sababu mnachapisha fedha," wakati akijaribu kufafanua mkakati wake wa kudhibiti deni la kitaifa.
Trump alisisitiza kwamba hakuwahi kusema Marekani inapaswa kushindwa kulipa deni au kujaribu kujadiliana tena na wadai, kama ilivyoripotiwa. "Watu walisema nataka kununua deni na kushindwa kulipa deni, na namaanisha, hawa watu ni wazimu. Hii ni serikali ya Marekani," Trump aliiambia Chris Cuomo wa CNN kwenye kipindi cha “New Day.” “Kwanza kabisa, hutawahi kushindwa kulipa kwa sababu mnachapisha fedha, sipendi kuwaambia, sawa?”
Mgombea urais wa Republican alielezea kuwa angejikita katika kununua deni tena ikiwa na wakati viwango vya riba vikipanda.
“Nilisema kama tunaweza kununua deni la serikali kwa punguzo, kwa maneno mengine, kama viwango vya riba vikiongezeka na tunaweza kununua bondi kwa punguzo – kama tuna ukwasi wa kutosha kama nchi, tunapaswa kufanya hivyo,” Trump alisema. “Kwa maneno mengine, tunaweza kununua deni tena kwa punguzo.”
Alirudia pia madai yake kwamba yeye ni "mfalme wa deni."
“Ninaelewa deni vizuri kuliko labda mtu yeyote. Najua jinsi ya kushughulika na deni vizuri sana. Napenda deni – lakini unajua, deni ni hatari na ni hatari, na lazima uwe mwangalifu na lazima ujue unachofanya,” Trump alisema.
 
Huo uchumi wa kuchapisha hela utakua ulisomea chuo cha madrasa

Soma hiyo​

The Dark Side of Money Printing:​

Introduction:​

The United States has been regarded as a world leader in the global economy. However, recent reports suggest that the country's monetary policy has been causing damage to the world economy. The US Federal Reserve has been printing money for decades, resulting in the inflation of the US dollar. While this may benefit the US economy, the rest of the world bears the brunt of this policy. In this essay, we will discuss how the US's money-printing strategy is killing the world economy.

Problem Statement:​

The US Federal Reserve's money printing policy has led to the devaluation of the US dollar. As a result, other countries have been forced to bear the consequences of this policy. The devaluation of the US dollar has led to a rise in inflation and has made imports from other countries more expensive. Developing countries, in particular, have been hit hard by this policy. Many developing countries rely on exports for their economic growth. However, the devaluation of the US dollar has made their products more expensive, leading to a decline in demand for their exports.

Solution:​

The US Federal Reserve needs to adopt a more sustainable monetary policy that does not rely on money printing. The government needs to focus on reducing its budget deficit, which is one of the main reasons for the country's money-printing policy. Additionally, the US needs to work with other countries to find a solution to the problem of currency devaluation. One possible solution could be the adoption of a global currency, which would eliminate the need for countries to rely on their currencies.
 
Kuwa na budget kubwa au ndogo kwenye jeshi inategemea na program za kijeshi, ukubwa wa Jeshi, na hali ya usalama(wako vitani au la).

Hivyo majeshi makubwa sio lazima budget kubwa. Marekani ana Kambi zaidi ya 753 sehemu mbalimbali duniani wakati hayo ya nchi zingine hawana Kambi zaidi ya 30 nje ya nchi zao.

Lakini pia kuingilia nchi zingine na kuangushwa (colour revolution) nchi zingine kunahitaji fedha n.k
 
Kwa sababu wenzio hawapendi kuishi maisha ya kuiga-iga, hasa maigizo ambayo mwishowe ni kujiangamiza mwenyewe.

By printing and printing and printing again the currency, US has been shooting her own foot all along.
Wewe ubongo wako umejaa manii,kamasi na kinyesi cha mbwa kibichi, unadhani Ku print Pesa ndo kuwa na uchumi mkubwa?
Mobutu ali print Pesa nyingi mno matokeo yake uchumi ukafa, lijinga sana wewe boya,
 
Kwa sababu wenzio hawapendi kuishi maisha ya kuiga-iga, hasa maigizo ambayo mwishowe ni kujiangamiza mwenyewe.

By printing and printing and printing again the currency, US has been shooting her own foot all along.
Wewe ubongo wako umejaa manii,kamasi na kinyesi cha mbwa kibichi, unadhani Ku print Pesa ndo kuwa na uchumi mkubwa?
Mobutu ali print Pesa nyingi mno matokeo yake uchumi ukafa, lijinga sana wewe boya,
 

Soma hiyo​

The Dark Side of Money Printing:​

Introduction:​

The United States has been regarded as a world leader in the global economy. However, recent reports suggest that the country's monetary policy has been causing damage to the world economy. The US Federal Reserve has been printing money for decades, resulting in the inflation of the US dollar. While this may benefit the US economy, the rest of the world bears the brunt of this policy. In this essay, we will discuss how the US's money-printing strategy is killing the world economy.

Problem Statement:​

The US Federal Reserve's money printing policy has led to the devaluation of the US dollar. As a result, other countries have been forced to bear the consequences of this policy. The devaluation of the US dollar has led to a rise in inflation and has made imports from other countries more expensive. Developing countries, in particular, have been hit hard by this policy. Many developing countries rely on exports for their economic growth. However, the devaluation of the US dollar has made their products more expensive, leading to a decline in demand for their exports.

Solution:​

The US Federal Reserve needs to adopt a more sustainable monetary policy that does not rely on money printing. The government needs to focus on reducing its budget deficit, which is one of the main reasons for the country's money-printing policy. Additionally, the US needs to work with other countries to find a solution to the problem of currency devaluation. One possible solution could be the adoption of a global currency, which would eliminate the need for countries to rely on their currencies.
unadhani Ku print Pesa ndo kuwa na uchumi mkubwa?
I hope you can read, Mr. The Whistleblower.

Hakuna haja ya kufurusha matusi, iwapo unaamini kwamba hoja yako inajitosheleza. You ought to be better than that.
 
South Korea wanaunda meli kubwa kabisa za kisasa. Wana vifaa vya ujenzi. Home appliances nyingi. Vifaa vya mawasiliano. Vifaa vya matibabu hospitalini.

Urusi hasahasa ana maliasili ambazo hajaunda bali kazikuta. Ni kama Congo, Saudi Arabia au Qatar.

Satellite hata North Korea na Iran wamejaribu, na hawana cameras kwenye soko la dunia. Hata India.

Kumiliki market share kwenye soko la digital cameras kama Canon, Sony, Nikon, Fujifilm ni vigumu kuliko kurusha satellite angani.

Alafu Marekani akiongoza kiuchumi mnasema anaprint dola😂

Bidhaa zinaonekana kwenye market share ya industry kwenye soko la dunia. Hizo bidhaa za Urusi ziko wapi mbona kama gesi na mafuta mnataja, kwamba mfano Lada inashindana na soko la Toyota, Ford, RR ama Hyundai?
Sasa mbona hiyo S.korea haiwezi kutengeneza ndege na Helicopter ,Nyambizi ,bunduki kama anavyo fanya Urusi?
Kila nchi ikitengeneza kamera na simu nani atanunua za mwenzake?
Kila nchi inawekeza kwenye kitu ambacho inaona kina faida kwake na sio ilimradi tu.
Dunia ina watu zaidi ya bilion 8 hivyo ww kutotumia bidhaa za Urusi haimaanishi kuwa hazipo.
Urusi ndo muuzaji makubwa wa bidhaa za viwandani kwenye nchi za Asia ya kati baada ya China.
Acha kukalili.
 
Sasa mbona hiyo S.korea haiwezi kutengeneza ndege na Helicopter ,Nyambizi ,bunduki kama anavyo fanya Urusi?
Kai Lah Helicopters
KSS-III Submarines
K2 assault rifle
 
Back
Top Bottom