Defense budget ya Marekani ni kubwa sana

Defense budget ya Marekani ni kubwa sana

Kama ambavyo Marekani makampuni ya teknolojia yanamilikiwa na watu binafsi na bidhaa zao tunaziona sokoni, na hadi hapa umetype kwa kuzitumia.
Urusi bidhaa zake za bei ndogo ziko wapi sokoni.

Iko wapi internet ya Urusi, operating system yao (US ana Android na iOS). Wakati US ana HP na Dell mnazosema ni za watu binafsi na za bei kali, za Urusi za serikali na za bei nafuu ziko wapi. US aweke Pixel, Sony, Motorola, iPhone na wengine mezani Urusi yeye ataweka kina nani wa ubora kuzidi Marekani ila ana quality zaidi na cheap.

Ushindwe kubobea kwenye civilian technology uje uweze military tech? Camera, simu, ndege za raia hujui eti uje uwe bora kwenye fighter jets na electronics za kivita.
S.korea na Japan wenye makampuni ya kutengeneza simu unaweza kunitajia aina ya ndege wanayo itengeneza ukilinganisha na Urusi?

Ww ungesema kuwa Urusi hajawekeza sana kwenye teknolojia ya kiraia ungeeleweka na sio kusema eti haiwezi kutengeneza.
Ya kwamba mtu aweze kutengeneza Satalaiti alafu ashindwe kutengeneza kamera?
Urusi saa nyingine anabweteka kutokana na mabilion ya $ anayo yapata bila jasho kutoka kwenye rasilimali alizo nazo.

Alafu kingine ww kutoona bidhaa za Urusi sokoni haimanishi kuwa hazipo maana dunia ni kubwa sana na inawatu wengi sana.
 
Hizi zote state owned enterprises nazijua kina Chengdu, Shenyang, DongFeng na nyingine. Hata Urusi zipo zikiongozwa na ROSTEC.

Nimeuliza wanitajie kampuni za kutengeneza silaha zinazomilikiwa na jeshi hapo China au Urusi. Unanitajia kampuni zinazomilikiwa na serikali. Kwamba tofauti ya jeshi na serikali hujui?
Hapa naina umeamua kuachana na point ya msingi aliyoiwasilisha jamaa kwasababu tu hajatenganisha jeshi na serikali..ambavyo kimsingi hajakosea.Lengo lake ni kuonesha kwa nini gharama zinakua tofauti sana mengine yako tu.
 
Sawa sawa ni maoni yako. Hata mimi naweza sema Marekani wanaunda silaha kwa faida hivyo kampuni zao zina uwezo wa kufanya research and development zenyewe bila kutegemea state. Na zina uwezo wa kufanya mass production sababu zinapata faida.

Kwenye WW2 makampuni ya Marekani ilizalisha silaha hizi hapa ikawapa USSR waliokuwa wana state owned enterprises, mbona USSR walifeli kuzalisha silaha kwa wingi kama kigezo ni silaha kuzalishwa na serikali? View attachment 3018883
Kwani hapa swala ni nini mzee naona unashift tu ili kuprove point ambayo haikuepo
Swala na ulinganifu wa gharama unapingana nalo ama vip?kuzalisha kitu china na marekani wapi gharama ipo chini?wapi wafanyakazi wanalipwa gharama ndogo?wapi wana rasilimali zitumikazo kwa wingi?naona unahama point ya msingi sijui hata unaelekea wapi.
 
Kwahiyo Marekani inaprint hela hadi California inaendana kwa GDP na Russia?😂

Okay, South Korea inaizidi uchumi Russia
kisa wanaprint sana hela?

Kwamba South Africa inaizidi Tanzania uchumi kwa kuprint sana Rand?
Mzee baba G8 maana yake ni nini? Nini kilitokea Hadi ikabadilika na kuwa G7?
Ukijibu hayo maswali justify hiyo kauli yako niliyoibold vinginevyo inatulisha matango pori.
 
Kama ambavyo Marekani makampuni ya teknolojia yanamilikiwa na watu binafsi na bidhaa zao tunaziona sokoni, na hadi hapa umetype kwa kuzitumia.
Urusi bidhaa zake za bei ndogo ziko wapi sokoni.

Iko wapi internet ya Urusi, operating system yao (US ana Android na iOS). Wakati US ana HP na Dell mnazosema ni za watu binafsi na za bei kali, za Urusi za serikali na za bei nafuu ziko wapi. US aweke Pixel, Sony, Motorola, iPhone na wengine mezani Urusi yeye ataweka kina nani wa ubora kuzidi Marekani ila ana quality zaidi na cheap.

Ushindwe kubobea kwenye civilian technology uje uweze military tech? Camera, simu, ndege za raia hujui eti uje uwe bora kwenye fighter jets na electronics za kivita.
Hivi unajua nani alianza kwenda mwezini
 
Tangu mmejifunza kuwa kuna neno Print basi mmeamua kuzigotesha akili. Hamuoni chochote zaidi ya ku print.
Hao mnaosema wana print hela hivi mmewahi kufika kwao mkaona jinsi kuanzia raia wanavyozitafuta hizo hela?
Au mnajua vigezo vya ku print hela?
Tatizo lako wewe ni kwamba unabishana na data za kweli. Ungekuwa unaijua Marekani hata kiduchu ungefumba kinywa chako.
 
Tatizo lako wewe ni kwamba unabishana na data za kweli. Ungekuwa unaijua Marekani hata kiduchu ungefumba kinywa chako.
Hujui ukiongeacho, data za kweli unazoziongelea ni zipi hizo? Yaani unacho comment humu ndiyo wewe kujifanya unaijua Marekani?
Wewe umayeijua Marekani mbona sijaona hata kimoja ambacho kinaskisi kuwa unaijua Marekani? Angalau nisiyeijua niijue kupitia wewe?
 
Hujui ukiongeacho, data za kweli unazoziongelea ni zipi hizo? Yaani unacho comment humu ndiyo wewe kujifanya unaijua Marekani?
Wewe umayeijua Marekani mbona sijaona hata kimoja ambacho kinaskisi kuwa unaijua Marekani? Angalau nisiyeijua niijue kupitia wewe?
Nonsense
 
Kwa sababu wenzio hawapendi kuishi maisha ya kuiga-iga, hasa maigizo ambayo mwishowe ni kujiangamiza mwenyewe.

By printing and printing and printing again the currency, US has been shooting her own foot all along.
Imeelezwa bajeti inayobadilika na kuwa vitu halisi vya kushikika na kutumika.Siyo uchapishaji wa noti.Tofautisha na bajeti ya Mwigulu.
 
Kwa sababu wenzio hawapendi kuishi maisha ya kuiga-iga, hasa maigizo ambayo mwishowe ni kujiangamiza mwenyewe.

By printing and printing and printing again the currency, US has been shooting her own foot all along.
Hizi akili za madrasa kabisa pale tandika
 
Kwahiyo Marekani inaprint hela hadi California inaendana kwa GDP na Russia?😂

Okay, South Korea inaizidi uchumi Russia kisa wanaprint sana hela?

Kwamba South Africa inaizidi Tanzania uchumi kwa kuprint sana Rand?
Hii nchi kuna muda naona ccm waendelee kutawala make akili bado ni ndogo sana
 
Marekani wamejizatiti Sana na waki serious.

Unachanganya nchi tano kubwa, bado jamaa wako juu.

View attachment 3018477
United States anamiliki army bases kwa zaidi ya nchi 30 duniani. Pesa nyingi hutumika kuwapa wanajeshi maisha bora kazini, kufadhili vita na kununua vifaa vya kuvita kwa ajili ya wanajeshi wao vitani. Ni nchi ya kichoko. Kufa vitani kwa wanajeshi kuna wastani sio chini ya 60% ya wanajeshi. Popote, muda wowote majanga yanaweza kuwakuta. Wanajeshi wetu wana raha, wanakunywa hadi double kiki😂😂
 
S.korea na Japan wenye makampuni ya kutengeneza simu unaweza kunitajia aina ya ndege wanayo itengeneza ukilinganisha na Urusi?
South Korea wanaunda meli kubwa kabisa za kisasa. Wana vifaa vya ujenzi. Home appliances nyingi. Vifaa vya mawasiliano. Vifaa vya matibabu hospitalini.

Urusi hasahasa ana maliasili ambazo hajaunda bali kazikuta. Ni kama Congo, Saudi Arabia au Qatar.
Ww ungesema kuwa Urusi hajawekeza sana kwenye teknolojia ya kiraia ungeeleweka na sio kusema eti haiwezi kutengeneza.
Ya kwamba mtu aweze kutengeneza Satalaiti alafu ashindwe kutengeneza kamera?
Satellite hata North Korea na Iran wamejaribu, na hawana cameras kwenye soko la dunia. Hata India.

Kumiliki market share kwenye soko la digital cameras kama Canon, Sony, Nikon, Fujifilm ni vigumu kuliko kurusha satellite angani.
Urusi saa nyingine anabweteka kutokana na mabilion ya $ anayo yapata bila jasho kutoka kwenye rasilimali alizo nazo.
Alafu Marekani akiongoza kiuchumi mnasema anaprint dola😂
Alafu kingine ww kutoona bidhaa za Urusi sokoni haimanishi kuwa hazipo maana dunia ni kubwa sana na inawatu wengi sana.
Bidhaa zinaonekana kwenye market share ya industry kwenye soko la dunia. Hizo bidhaa za Urusi ziko wapi mbona kama gesi na mafuta mnataja, kwamba mfano Lada inashindana na soko la Toyota, Ford, RR ama Hyundai?
 
South Korea wanaunda meli kubwa kabisa za kisasa. Wana vifaa vya ujenzi. Home appliances nyingi. Vifaa vya mawasiliano. Vifaa vya matibabu hospitalini.

Urusi hasahasa ana maliasili ambazo hajaunda bali kazikuta. Ni kama Congo, Saudi Arabia au Qatar.

Satellite hata North Korea na Iran wamejaribu, na hawana cameras kwenye soko la dunia. Hata India.

Kumiliki market share kwenye soko la digital cameras kama Canon, Sony, Nikon, Fujifilm ni vigumu kuliko kurusha satellite angani.

Alafu Marekani akiongoza kiuchumi mnasema anaprint dola😂

Bidhaa zinaonekana kwenye market share ya industry kwenye soko la dunia. Hizo bidhaa za Urusi ziko wapi mbona kama gesi na mafuta mnataja, kwamba mfano Lada inashindana na soko la Toyota, Ford, RR ama Hyundai?
Umeona sasa? Marekani yeye anatumia maguvu ili kulazimisha bidhaa zake zinunulike duniani.

Yeyote anayeonekana mpinzani, anapambana naye ili kumwondoa. Ndiyo maana hawapatani kabisa na China, kwa mfano.

Hakuna soko huria kama wanavyotuaminisha. Kuna kuhodhi soko kwa nguvu.

Kila nchi inayojaribu kuinuka kiuchumi hugeuka kuwa adui wa Marekani, isipokuwa ikiridhia kufuata vigezo na masharti yanayofuata mrengo wa Amerika.

Angalia nchi zote zenye utajiri wa mafuta, gesi na madini na rasilimali zingine, namna zilivyovurugwa na Marekani. Hiyo ni data halisi, ambayo ni sera ya Marekani hadi kesho kutwa.

Si ajabu vita vya Ukreni ni jitihada za Marekani kumdhoofisha Russia kiuchumi ili asinufaike na soko kubwa la Ulaya.

Nchi inayoanzisha vita ili kunufaika na mauzo ya hazina ya silaha zake, au hata kusambaza kimakusudi magonjwa ya mlipuko, taifa kama hilo limefilisika kisiasa, kiuchumi na kimaadili, na ni adui namba moja wa dunia.

Ndiyo maana mbadala pekee unaokubalika kwa sasa katika kudumisha amani duniani ni sera za umoja wa BRICS.

Ni wazi katika karne hii ya 21, Marekani angali akiishi kwa kutegemea mbinu ya zama za giza, ambapo utawala fulani wenye nguvu uliangamiza mashamba au maghala ya hifadhi ya vyakula vya tawala zingine ili zijisalimishe na kutawaliwa.

Unajua kwa nini nchi kama Venezuela inaishi katika umaskini wa kutupwa, licha ya utajiri mkubwa sana wa mafuta? Sababu pekee ni Marekani.
 
Mzee baba G8 maana yake ni nini? Nini kilitokea Hadi ikabadilika na kuwa G7?
Ukijibu hayo maswali justify hiyo kauli yako niliyoibold vinginevyo inatulisha matango pori.
G8 haimaanishi direct kwamba ni nchi nane kubwa kwa GDP wakati huo, huwa zinakaa sana kubadilika.

Kwa mwaka huu Brazil inaizidi Russia kwa GDP. India ni ya 5 kwa GDP ila haipo G8. Wakati wa mdororo wa uchumi kwenye 2010s Spain, Ugiriki na Italy zilikuwa hatarini zikakopeshwa na EU hasa kina UK na Ujerumani na zikaishi kwa tabu lakini wakati huohuo bado Italy ilikuwa kwenye G8.

Kwanza Russia haikuwa na vigezo vya kuwa G8, iliitwa tu. Tena kipindi kile ina njaa inauza hata siri za silaha kwa bei ya hasara kwa Wachina. Hivyo hata kufukuzwa ilitolewa sehemu ambapo haistahili kuwepo.
 
Back
Top Bottom