Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Amani haijawahi kuwepo duniani hata kabla ya Marekani na biashara ya silaha kuwepo.Kwa hiyo inahusianaje na vita vilivyowahi kupiganwa na China na Urusi miaka ya zamani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amani haijawahi kuwepo duniani hata kabla ya Marekani na biashara ya silaha kuwepo.Kwa hiyo inahusianaje na vita vilivyowahi kupiganwa na China na Urusi miaka ya zamani?
Ungesema pia nini sababu ya utajiri wao.Japan, Singapore, Korea Kusini, Switzerland, Taiwan na Israel ni tajiri kuliko DRC/Congo,
Korea Kusini na Japan pia ni tajiri kuliko Urusi.
Ni kama umeamua kukomaza kichwa hiv mkuu..Yan ni kama hujaelewa au umegoma kuelewa ila point iko clear kabisaNi kampuni gani kubwa ya silaha ya Urusi inamilikiwa na jeshi. Haipo.
Kampuni gani kubwa ya silaha ya China inamilikiwa na jeshi. Haipo.
Na nani kakwambia Urusi au China hawanunui silaha na huduma za kijeshi? Tenders za silaha, ugavi, ukarabati, design na mengine wanatoa kwa enterprises. Hawachukui bure sio maji yale kwamba unachota tu. Wangekuwa wanachukua bure, wangepata bure kwa nani.
Ni rasilimali yao ya AKILI, ukiwa na akili za kuuendesha ulimwengu hata kama hauna madini, misitu, ardhi kubwa, mafuta n.k bado utaishi vizuri tu.Ungesema pia nini sababu ya utajiri wao.
Je ni mapesa mengi waliyochapisha au kuna rasilimali zingine?
Jibu kisomi pls.
Basi jibu maswali yangu mawili.Ni kama umeamua kukomaza kichwa hiv mkuu..Yan ni kama hujaelewa au umegoma kuelewa ila point iko clear kabisa
Marekani iliifanya pesa yake itumike kimataifa hasa kwenye biashara ya mafuta petrodollar ndio maana inaprint hovyo hela zake.Kwa nini na Russia wasichapishe Rubu tu??
Haujaelewa kilichozungumziwaAmani haijawahi kuwepo duniani hata kabla ya Marekani na biashara ya silaha kuwepo.
China silaha zinatengenezwa na state owned companies kwa asilimia kubwaBasi jibu maswali yangu mawili.
Kampuni gani kubwa ya silaha inamilikiwa na jeshi, iwe Russia au China?
Je, Urusi au China zinachukua silaha bure tu kwenye enterprises zao?
Ukiachana na hayo yote pia ni swala lipo wazi,labda kaba lengo lako sio constructive criticism bali kujitoa ufahamu tu kua gharama za uzaliahaji bidhaa china na Russia zipo chini sanaa ukilinganisha na Europe na USA hivyo kulinganisha numbers za bajeti haireflect situation ya majeshi yao.USA akitumia gharama kama za china basi atakua na jeshi dhaifu.Basi jibu maswali yangu mawili.
Kampuni gani kubwa ya silaha inamilikiwa na jeshi, iwe Russia au China?
Je, Urusi au China zinachukua silaha bure tu kwenye enterprises zao?
Hizi zote state owned enterprises nazijua kina Chengdu, Shenyang, DongFeng na nyingine. Hata Urusi zipo zikiongozwa na ROSTEC.China silaha zinatengenezwa na state owned companies kwa asilimia kubwa
Mfano Chengdu Aerospace inamilikiwa na AVIC wanatengeneza ndege J series
Anyway mim kuandika sana siwezi jifunze zaidi mtandaoni ila baadhi ya hints hizi hapa
Hizi corporation zinamiliki dozens of subsidiaries za kuzalisha meli,ndege,mabomu na research mbalimbali.
View attachment 3018868
Sawa sawa ni maoni yako. Hata mimi naweza sema Marekani wanaunda silaha kwa faida hivyo kampuni zao zina uwezo wa kufanya research and development zenyewe bila kutegemea state. Na zina uwezo wa kufanya mass production sababu zinapata faida.Ukiachana na hayo yote pia ni swala lipo wazi,labda kaba lengo lako sio constructive criticism bali kujitoa ufahamu tu kua gharama za uzaliahaji bidhaa china na Russia zipo chini sanaa ukilinganisha na Europe na USA hivyo kulinganisha numbers za bajeti haireflect situation ya majeshi yao.USA akitumia gharama kama za china basi atakua na jeshi dhaifu.
Tangu mmejifunza kuwa kuna neno Print basi mmeamua kuzigotesha akili. Hamuoni chochote zaidi ya ku print.Kwa sababu wenzio hawapendi kuishi maisha ya kuiga-iga, hasa maigizo ambayo mwishowe ni kujiangamiza mwenyewe.
By printing and printing and printing again the currency, US has been shooting her own foot all along.
Kama ambavyo Marekani makampuni ya teknolojia yanamilikiwa na watu binafsi na bidhaa zao tunaziona sokoni, na hadi hapa umetype kwa kuzitumia.Kuwa na bajeti kubwa sio lazima uwe na uwezo mkubwa mfano nchi za kiarabu.
Marekani makampuni makubwa ya kuzalisha silaha yanamilikiwa na watu binafsi tofauti na nchi Kama Urusi mashirika ya silaha yanamilikiwa na serikali.
Kwamba haujui kwamba pale Guantanamo US amekodishwa na Cuba tangu 1903? Au unafikiri amevamia tu?ingekuwa ivo wangekaa kwa kutuli Calfonia.Sasa wanafanya nini Guantamo Bay.
Waitake Urusi nayo iprint Ruble waone kama hatujazifungia maandazi na kuzibeba kwenye matoroli tukienda bureau de changeTangu mmejifunza kuwa kuna neno Print basi mmeamua kuzigotesha akili. Hamuoni chochote zaidi ya ku print.
Hao mnaosema wana print hela hivi mmewahi kufika kwao mkaona jinsi kuanzia raia wanavyozitafuta hizo hela?
Au mnajua vigezo vya ku print hela?
Africa tuache kujipa umuhimu as if mataifa mengine hayana rasilimali kabisa.Resources za Africa ndio chimbuko la utajiri wao.
Kiufupi uchumi tayari wanao ila wanatumia pesa kuulinda na pia kujitanua.
Ukiachana na silaha kama bunduki, pesa ni silaha ambayo huwa ina matokeo mazuri tu.
Namna viongozi wetu wa kiafrika wanavyohongwa na kuuza rasilimali utaona faida yake.