Dege Village, Kigamboni, waliokula na kuufisadi mradi huu hawajulikani, mradi umebaki magofu!

Dege Village, Kigamboni, waliokula na kuufisadi mradi huu hawajulikani, mradi umebaki magofu!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
20240410_114858.jpg
20240410_114656.jpg

Mradi huu ni wa serikali kwa kupitia Taasisi zake.

Aliyeufisadi hajulikani.

Na mwenye mradi hajulikani, lakini fedha zilizotumika ni za Watanzania.

Sikumbuki kama kuna mtu yeyote aliyechukuliwa hatua kwa kufeli mradi huu.

Bunge lipo na Spika wake, na mwenye mradi serikalini yupo.

Pia, kuna hii story Malipo ya Kampuni zinazodai kwenye Mradi wa Dege Eco Village yalivyopigwa juu kwa juu - Imevuja! - 1
 
Nasikia mwendazake alijaribu kuuchunguza kila akiingiza pua anamuona mzee wa kutabsamu yupo nyuma yake, Basi mwendazake akaamua kuuacha kutia pesa na kudeal na issue zake ili kumkomoa mzee wa kufurahi na sio hayo majengo pekee hata yale ya moroco aligoma kutoa pesa , mbaya zaidi akahamisha makao kupeleka dom na matokeo yake miradi mingi imegeuka kuwa ni magofu au majengo mengine yamekosa wapangaji.
 
Nasikia mwendazake alijaribu kuuchunguza kila akiingiza pua anamuona mzee wa kutabsamu yupo nyuma yake, Basi mwendazake akaamua kuuacha kutia pesa na kudeal na issue zake ili kumkomoa mzee wa kufurahi na sio huo majengo mengi hata yake ya moroco mbaya zaidi akahamisha makao kupeleka dom na matokeo yake miradi mingi imegeuka kuwa ni magofu au majengo mengine yamekosa wapangaji.
Alikuwa na visasi

Acheni Mungu aitwe Mungu.
 

Mradi huu ni wa serikali kwa kupitia Taasisi zake.

Aliyeufisadi hajulikani.

Na mwenye mradi hajulikani, lakini fedha zilizotumika ni za Watanzania.

Sikumbuki kama kuna mtu yeyote aliyechukuliwa hatua kwa kufeli mradi huu.

Bunge lipo na Spika wake, na mwenye mradi serikalini yupo.
Kwani chama gani kipo madarakani? Nani anaongoza serikali? Hebu tuache kuzunguka sana mbuyu ndio mana tunashindwa kutatua matatizo yetu kwakujifanya hatujui chanzo
 
Nasikia mwendazake alijaribu kuuchunguza kila akiingiza pua anamuona mzee wa kutabsamu yupo nyuma yake, Basi mwendazake akaamua kuuacha kutia pesa na kudeal na issue zake ili kumkomoa mzee wa kufurahi na sio hayo majengo pekee hata yale ya moroco aligoma kutoa pesa , mbaya zaidi akahamisha makao kupeleka dom na matokeo yake miradi mingi imegeuka kuwa ni magofu au majengo mengine yamekosa wapangaji.
Duhh..watu hawatosheki na hata vile vikubwa vya halali wanavyopata.
 
Back
Top Bottom