Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Huo mradi ni zsidi ya bilioni 200.Tulia uandike vizuri. Mradi ni wa milioni mbili au mia mbili?
Alikuwa na visasiNasikia mwendazake alijaribu kuuchunguza kila akiingiza pua anamuona mzee wa kutabsamu yupo nyuma yake, Basi mwendazake akaamua kuuacha kutia pesa na kudeal na issue zake ili kumkomoa mzee wa kufurahi na sio huo majengo mengi hata yake ya moroco mbaya zaidi akahamisha makao kupeleka dom na matokeo yake miradi mingi imegeuka kuwa ni magofu au majengo mengine yamekosa wapangaji.
Angemalizia sifa zisingekuwa zake aliona aanzishe yake ili asifiwe ..sasa Samia angekuwa kama yeye sijui ingekuwaje??Alikuwa na visasi
Acheni Mungu aitwe Mungu.
Halaumiwi tena aliyefisidi, analaumiwa Magufuli. Wewe ni shetaniAlikuwa na visasi
Acheni Mungu aitwe Mungu.
Kwani chama gani kipo madarakani? Nani anaongoza serikali? Hebu tuache kuzunguka sana mbuyu ndio mana tunashindwa kutatua matatizo yetu kwakujifanya hatujui chanzo
Mradi huu ni wa serikali kwa kupitia Taasisi zake.
Aliyeufisadi hajulikani.
Na mwenye mradi hajulikani, lakini fedha zilizotumika ni za Watanzania.
Sikumbuki kama kuna mtu yeyote aliyechukuliwa hatua kwa kufeli mradi huu.
Bunge lipo na Spika wake, na mwenye mradi serikalini yupo.
Jakaya Mrisho wa Msoga akibembelezwa atasema.
Mradi huu ni wa serikali kwa kupitia Taasisi zake.
Aliyeufisadi hajulikani.
Na mwenye mradi hajulikani, lakini fedha zilizotumika ni za Watanzania.
Sikumbuki kama kuna mtu yeyote aliyechukuliwa hatua kwa kufeli mradi huu.
Bunge lipo na Spika wake, na mwenye mradi serikalini yupo.
Duhh..watu hawatosheki na hata vile vikubwa vya halali wanavyopata.Nasikia mwendazake alijaribu kuuchunguza kila akiingiza pua anamuona mzee wa kutabsamu yupo nyuma yake, Basi mwendazake akaamua kuuacha kutia pesa na kudeal na issue zake ili kumkomoa mzee wa kufurahi na sio hayo majengo pekee hata yale ya moroco aligoma kutoa pesa , mbaya zaidi akahamisha makao kupeleka dom na matokeo yake miradi mingi imegeuka kuwa ni magofu au majengo mengine yamekosa wapangaji.
Hatuichukii CCM, lakini kutfuartilia mambo kama haya ni udhaifu mkubwa sana.Ila kutokuchukuliwa HATUA kwa waliofisidi huu mradi,ni UDHAIFU mwingine wa CCM..na vitu kama hivi ndivyo hufanya tuichukie CCM
Kama Jakaynhusika, asemwe tu, maana hata yeye huko aliko dhamira lazima itamsuta.Jakaya Mrisho wa Msoga akibembelezwa atasema.