witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Na ndo soko sasa hivi la ajira linatakaKuna fani nyingine GPA sio dili....Dili ni kwamba una nini cha kuiwezesha taasisi/kampuni kumove on.
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndo soko sasa hivi la ajira linatakaKuna fani nyingine GPA sio dili....Dili ni kwamba una nini cha kuiwezesha taasisi/kampuni kumove on.
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Ebu ni shauri ndugu wewe ulikuwa unaona ningefanya nini,We Dogo bado mno kwa akili hizi
Shukrani sana ndugu. Hii comment ingekuwa pinned kule juu ili kila anaepita hapa aioneKwanza nikupongeze kwa uamuzi mzuri sana uliochukua
Mim nimepiga chuo moja cha ufundi kikubwa hapa tz,najivunia kua fundi!
Fani uliyoichagua ni nzuri na NGUMU mno
Tumia hiyo smartphones yako kikamilifu upande wa kusoma soma
Watu wengi hidhani umeme wa magari ni kuwasha taa za gari ,indicator na kushusha vioo hapana
Sasahivi magarimengi yanatumia mfumo wa umeme sehemu kalibu zote!
Nkupe kimfano kidogo
Kuna jamaa yangu mmja gari yake ilikua full controllable na radio ya gari japo redio ilikua ina display kichina
Yaan Ac na mazaga yooote yanafanyika humo
Siku moja katika serves akachomoa terminal betri! Kuja kurudishia ile radio ikawa inadai kode ambazo zinatolewa na pioneer wenyewe kwa kulipia 6000 tu zakibongo!
Wale mafundi kwakua hawakua watafiti walijikuta wanalalua ile dashboard yooote
Na walishindwa!!!
Jamaa akashakua amekata tamaa kupona akiaminishwa kua kuna hitilafu ndani!!!
Akiwa amekata tamaa alikutana na jamaa mmja kama finally trying
Jamaa aka translate tu maandishi akalipia akapata code akajaza kitu imoooo
Sasa basi nachotakaka kukushauli mkuu hiyo fani jitoe sana sana sana kuisoma na ku i practise
Uzuri mambo mengi yapo mtandaoni
Me nlisoma umeme wa nyumbn
Eee mkuu kidg huku hakuna competition na hata ukiajiriwa kwa vyet vya degree yako utaitumia lesen kuendesha gar lako ... interview nyingi za udereva ni practical , mabos skuhz hawana bra bra na connection nyingi....pia magar ni mengi yaan ni ajira ambayo mtu anaacha Kaz ki urahs na mwingine anapewa Kaz kiurahs , sio selikarin et mbaka mtu afe shame au apande cheo ndio upate nafas, Ila changamoto ipo kwenye lesen kupata E moja kwa moja ni changamoto unahtaj miaka karbuni mitat, Ila unaweza ipata lesen hyo kwa namna flan flan hv , nazan unaelewNdugu asante sana kwa ushauri mzuri, naahidi nitaufanyia kazi nisijeingia tena mtegoni
Kwann,maana alkosa ajira ikabid ajiongeze fasta,angechelewa kdogo tu angesoma Co na bado angeendelea kuwepo mtaan kama ilivyo sasaUko SUA alichukua degree ya nini?
Sema nini uyo jamaa yako ni kiazi sana