Deeply from the bottom of my strong rough heart.....nmeumizwa na ukosefu wa ajira...but unaji underrate Sana mkuu hyo hyo kaz unayosomea unaenda ku compete Tena mtaan tena pengine competition ni kubwa kuliko katka degree . May be huna exposure....mm nlipo maliza form 4 baba alihisi nitafeli shule akanipeleka chuo Cha utukutu garage pale pale makambako...niliyoyaona huko ni kuwa hata huo umeme wa magari ni vigumu kukuingzia kipato usipo kuwa makini, let's move to the topic....now nasoma bachelor of science in computer science hapa iringa katka chuo x ..na nmeamua kusoma coz za udereva na nna lesen Ina madaraja mengi ikiwemo heavy duty vehicles driving E...huko ni rahsi Sana kuajiriwa ...narudia ni rahisi ..Ila umeme wa magari Kuna wahuni kibao kitaa wanapga Kaz na wanakosa deal sometimes naww unaenda hko, siongei tu from no where ,nmedeal na magar pia nmeish garage mama fundi baba suka...kijana unaenda ku compete tafta lesen, ni rahs kuajiriwa kuendesha semi na ukala posho ndefu kuliko bachelor uliyosomea Tena hata Mara mbili....NB dereva Makin anaingiza pesa Mara tatu au nne ya mwalimu mwenye degree Ila tu kilichonifanya nisiwe dereva licha ya kuwa najua Kuna pesa nyingi kuliko taaluma nnayosomea ni mfumo wa maisha wa madereva, kusafiri mda mrefu,Ila nimeweka udereva Kama plan B na ipo activated , na baba hajui kuwa nmesomea udereva na huwa anagomba Sana kuwa napoteza mda shule , so nmeuweka kuwa plan b, kwasababu najua kuwa jobless is real, pole mkuu.kama unaweza change your mind , usiwaze kuhusu ajira udereva ndio Kaz ambayo bado ipo open sana