Degree ya Pharmacy ndo kozi yenye mchongo kuliko zingine zote kwa Tanzania

Degree ya Pharmacy ndo kozi yenye mchongo kuliko zingine zote kwa Tanzania

Msiba wa Taifa

Senior Member
Joined
Nov 3, 2016
Posts
128
Reaction score
53
Naomba kutanguliza shukrani za dhati kwenu.

Je, mnajua kwamba Pharmacy ndo kozi ngumu pia ndiyo inayoongoza kwa michongo ya kujiajiri na kuajiriwa bongo.

Cheti cha pharmacy kinaweza kukuingiza si chini ya milion3 kwa mwez ukisimamia maduka ya madawa ya wazungu na wachina pale KARIAKOO/MWANZA MJINI/DODOMA/MOROGORO.

Hapo bado unapiga mishahara Serikalini 1.3millions sawa na Dr.
Pia Mpharmacia mwenyewe unafungua maduka yako binafsi halafu dawa zile unazouza huzinunui bali unaiba tu hospitalini.

PHARMACY IS DA BEST IN DA WORLD
[emoji28][emoji28][emoji28]
MWENYE NYONGEZA PLEASE ONGEZEA .
SITAKI MATUSI.
 
Ww bwana mdogo uli lia lia hapa na Heslb wee,Mpaka ukabahatikana kupata mkopo lot ya mwisho leo uko chuo unaanza kutambiana sasa ww komaa hio miaka minne au mitano uje mtaani uone maisha yalivo na mpaka unamaliza utakuta system ni kujitafutia kazi
 
Wewe ulikuwa unalia mkopo,sasa umepata...kaa soma ukimaliza hapo ndo utajua.ach kujifariji wakt una miaka ming tuu ya kusoma na hujui mbeleni...mwombe Mungu unachokiota kitimie.
 
Naomba kutanguliza shukrani za dhati kwenu.
Je mnajua kwamba Pharmacy ndo kozi ngumu pia ndyo inayoongoza kwa michongo ya kujiajiri na kuajiriwa bongo.
Cheti cha pharmacy kinaweza kukuingiza si chini ya milion3 kwa mwez ukisimamia maduka ya madawa ya wazungu na wachina pale KARIAKOO/MWANZA MJINI/DODOMA/MOROGORO.
Hapo bado unapiga mishahara serikalini 1.3millions sawa na Dr.
Pia Mpharmacia mwenyew unafungua maduka yako binafsi halafu dawa zile unazouza uzinunui bali unaiba tuu hospitalini.
PHARMACY IS DA BEST IN DA WORLD
[emoji28][emoji28][emoji28]
MWENYE NYONGEZA PLEASE ONGEZEA .
SITAKI MATUSI.

Ndio akili yako wameiachia kiasi kidogo hivyo? Waambie wailegeze kidogo.
 
mwakani namaliza masomo yang ya ufamasia lkn ajira hazipo kama huyo anavyosema pia hiyo ishu ya kusimamia duka ulipwe sio km unavyosema embu kasome Pharmacy Act 2002 itakuelewesha,pitia pia section ya 16 mpaka ya 24 utaelewa bwana mdogo
 
Uto
Naomba kutanguliza shukrani za dhati kwenu.
Je mnajua kwamba Pharmacy ndo kozi ngumu pia ndyo inayoongoza kwa michongo ya kujiajiri na kuajiriwa bongo.
Cheti cha pharmacy kinaweza kukuingiza si chini ya milion3 kwa mwez ukisimamia maduka ya madawa ya wazungu na wachina pale KARIAKOO/MWANZA MJINI/DODOMA/MOROGORO.
Hapo bado unapiga mishahara serikalini 1.3millions sawa na Dr.
Pia Mpharmacia mwenyew unafungua maduka yako binafsi halafu dawa zile unazouza uzinunui bali unaiba tuu hospitalini.
PHARMACY IS DA BEST IN DA WORLD
[emoji28][emoji28][emoji28]
MWENYE NYONGEZA PLEASE ONGEZEA .
SITAKI MATUSI.
Kua kwanza.
 
Naomba kutanguliza shukrani za dhati kwenu.
Je mnajua kwamba Pharmacy ndo kozi ngumu pia ndyo inayoongoza kwa michongo ya kujiajiri na kuajiriwa bongo.
Cheti cha pharmacy kinaweza kukuingiza si chini ya milion3 kwa mwez ukisimamia maduka ya madawa ya wazungu na wachina pale KARIAKOO/MWANZA MJINI/DODOMA/MOROGORO.
Hapo bado unapiga mishahara serikalini 1.3millions sawa na Dr.
Pia Mpharmacia mwenyew unafungua maduka yako binafsi halafu dawa zile unazouza uzinunui bali unaiba tuu hospitalini.
PHARMACY IS DA BEST IN DA WORLD
[emoji28][emoji28][emoji28]
MWENYE NYONGEZA PLEASE ONGEZEA .
SITAKI MATUSI.
Ndo maana hospital zetu hazina madawa kumbee mnatuibia nyie
ofcourse ni kozi nzur kwa vijana wetu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaan huyu anaonekana kabisa ni mwanafunzi. Maliza mdogo angu uje kitaa huku, hata siye tulikuwa hivyo hivyo. [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]. Tooooooooo!!! Ambitious [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Naomba kutanguliza shukrani za dhati kwenu.
Je mnajua kwamba Pharmacy ndo kozi ngumu pia ndyo inayoongoza kwa michongo ya kujiajiri na kuajiriwa bongo.
Cheti cha pharmacy kinaweza kukuingiza si chini ya milion3 kwa mwez ukisimamia maduka ya madawa ya wazungu na wachina pale KARIAKOO/MWANZA MJINI/DODOMA/MOROGORO.
Hapo bado unapiga mishahara serikalini 1.3millions sawa na Dr.
Pia Mpharmacia mwenyew unafungua maduka yako binafsi halafu dawa zile unazouza uzinunui bali unaiba tuu hospitalini.
PHARMACY IS DA BEST IN DA WORLD
[emoji28][emoji28][emoji28]
MWENYE NYONGEZA PLEASE ONGEZEA .
SITAKI MATUSI.
We DoGo hujui kitu kabisa, dawa za MSD zikikutwa kwenye private pharmacy ni Kesi ya jinai
 
Naomba kutanguliza shukrani za dhati kwenu.
Je mnajua kwamba Pharmacy ndo kozi ngumu pia ndyo inayoongoza kwa michongo ya kujiajiri na kuajiriwa bongo.
Cheti cha pharmacy kinaweza kukuingiza si chini ya milion3 kwa mwez ukisimamia maduka ya madawa ya wazungu na wachina pale KARIAKOO/MWANZA MJINI/DODOMA/MOROGORO.
Hapo bado unapiga mishahara serikalini 1.3millions sawa na Dr.
Pia Mpharmacia mwenyew unafungua maduka yako binafsi halafu dawa zile unazouza uzinunui bali unaiba tuu hospitalini.
PHARMACY IS DA BEST IN DA WORLD
[emoji28][emoji28][emoji28]
MWENYE NYONGEZA PLEASE ONGEZEA .
SITAKI MATUSI.
Hebu endelea kusoma pharmacy yako hiyo baadae utaelewa mfumo upoje
 
Back
Top Bottom