Upo sawa mkuuu mi nipo afya...kwa hapo umenenaDegree pharmacy, medical lab,Nursing wote ni TGS C 980000tsh ,medical doctor TGS D 1480000 TGS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sawa mkuuu mi nipo afya...kwa hapo umenenaDegree pharmacy, medical lab,Nursing wote ni TGS C 980000tsh ,medical doctor TGS D 1480000 TGS
BMLS [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji122] [emoji122]Degree pharmacy, medical lab,Nursing wote ni TGS C 980000tsh ,medical doctor TGS D 1480000 TGS
BMLSPharmacy [emoji739] medical laboratory which is the course for your future success
Uko vema,wengi hawaelewi yanayojiri duniani,wamekalia kukariri madesa.Anasema pharmacy ni ngumu,kuliko kozi gani?Degree pharmacy, medical lab,Nursing wote ni TGS C 980000tsh ,medical doctor TGS D 1480000 TGS
Naomba kutanguliza shukrani za dhati kwenu.
Je mnajua kwamba Pharmacy ndo kozi ngumu pia ndiyo inayoongoza kwa michongo ya kujiajiri na kuajiriwa bongo.
Cheti cha pharmacy kinaweza kukuingiza si chini ya milion3 kwa mwez ukisimamia maduka ya madawa ya wazungu na wachina pale KARIAKOO/MWANZA MJINI/DODOMA/MOROGORO.
Hapo bado unapiga mishahara serikalini 1.3millions sawa na Dr.
Pia Mpharmacia mwenyew unafungua maduka yako binafsi halafu dawa zile unazouza uzinunui bali unaiba tuu hospitalini.
PHARMACY IS DA BEST IN DA WORLD
[emoji28][emoji28][emoji28]
MWENYE NYONGEZA PLEASE ONGEZEA .
SITAKI MATUSI.
Ukiwa mwanachuo halafu ndio first year ndoto huwa ni nyingi sana.
[emoji120] [emoji120]We nae kumbe hujui chochote
Hizi hapa ni basic salaries
MD 1,480,000
Bpharm 1,215,000
Medical Lab/Nursing 980,000
Pamoja na kuwa pharmacist anaweza kusimamia pharmacy(kama akipata) na akalipwa kuanzia 1M na kuendelea hiyo haimfanyi kuwa bora... Mafanikio ni individualised ufamasia au udaktari sio kigezo cha wewe kuwa tajiri n afterall nani katajirika kwa kupokea million mwisho wa mwezi
Nani kakwambia mpharmacia anafanya kazi ya kuuza dawa[emoji15] [emoji15] [emoji15]Dogo usidhani pharamacy umeanza kuisoma wewe tushapita huko sisi na bado tumejiegesha kuuza viduka vya watu yani duka la dawa muhimu pharmacia uhitaji wetu sio mwingi kama unavofikiri sipatai picha kama uko first year 2021 sijui utaanza kuzunguka na paracetamol mtaani
Nawewe BMLS ndo nini?BMLS [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji122] [emoji122]
Naomba kutanguliza shukrani za dhati kwenu.
Je mnajua kwamba Pharmacy ndo kozi ngumu pia ndiyo inayoongoza kwa michongo ya kujiajiri na kuajiriwa bongo.
Cheti cha pharmacy kinaweza kukuingiza si chini ya milion3 kwa mwez ukisimamia maduka ya madawa ya wazungu na wachina pale KARIAKOO/MWANZA MJINI/DODOMA/MOROGORO.
Hapo bado unapiga mishahara serikalini 1.3millions sawa na Dr.
Pia Mpharmacia mwenyew unafungua maduka yako binafsi halafu dawa zile unazouza uzinunui bali unaiba tuu hospitalini.
PHARMACY IS DA BEST IN DA WORLD
[emoji28][emoji28][emoji28]
MWENYE NYONGEZA PLEASE ONGEZEA .
SITAKI MATUSI.