Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mawazo ya kizamani kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna aisee ukweli utabaki kuwa ukweli tuu.Jinga jinga nyingi sana hasa ukiwa first year
za ovyo ovyo ndo zipi hizo?Hamna aisee ukweli utabaki kuwa ukweli tuu.
Mtu ukisoma kozi za ovyo ovyo huwaga hamtaki kuambiwa ukweli .
Naonaga thread humu mnajifariji eti kila kozi inalipa.
Tatizo story za vijiweni tena kutoka kwa watu mnaolingana uelewa zinawaingiza chaka sana!Salary shingap [emoji28][emoji28][emoji28]
1.25 million bila makato.
Na hapo kwa anayeanza kazi after 6yrs anachukua kama 2million.
Hakuna kozi ya ovyo ovyo muhimu ni kupata Chanel zinazolipa baada ya kumaliza shule! Hautaamini yule anayesoma kozi unayoiona ni ya ovyo ovyo anakupa madili ya kumfanyia kazi!Hamna aisee ukweli utabaki kuwa ukweli tuu.
Mtu ukisoma kozi za ovyo ovyo huwaga hamtaki kuambiwa ukweli .
Naonaga thread humu mnajifariji eti kila kozi inalipa.
Kwani ww unajua mshahara wa MD ni shingap?Tatizo story za vijiweni tena kutoka kwa watu mnaolingana uelewa zinawaingiza chaka sana!
Kwa afya MD ndio wanaweza kusema wana mshahara wa juu! Lakini hata wao take home hawajafikia hela unayoiwazia kuchukuliwa na Pharmacist!
First year wengi kozi zinawazuzua na kuwa na matarajio yasiendana na uhalisia!
Karibu kundini!
Source ya info ni ipi sijui kwa huyu jamaaHa ha ha mkuu angalia tena source yako
Pharmacist hajawahi kulingana na nurse au medical lab
Uko mwaka wa ngapi bwana mdogo?[emoji28][emoji28][emoji28] nani aliwaambia kuna koz za afya huwaga wanakosaga hajira,, makubwaaa
[emoji28][emoji28][emoji28] mimi nijuavyo kozi zote za afya zinasoko zikiongozwa na babalao pharmacy.
Muda si mrefu pharmacy itakuwa si chochote hapa Tanzania in term of kuajiriwa kwani hospital zinahitaji wafamasia wachache zaidi kuliko madaktari na wauguzi by the way famasi kazi Yake kugawa madawa kazi ambayo hata nurse anaweza Fanya vizuri tu cozi amesoma pharmacology, Pharmacy ilikuwa na dili enzi za JK sio enzi hizi za Magufuli iba dawa uone kama hajatubuliwa na pharmacy yako hewa na kukupeleka kwenye mahakama ya mafisadi na majizi, Lakini pia kuna anguko kubwa la PHARMACY laja kwani utatikanaji wa dawa mhimu kufkia mwakani utakuwa wa UHAKIKA katika hospitality za umma hivyo Pharmacy nyingi mitaani zitafungwa na wafamasia wanagraduate wengi kila kukicha hivyo tutawalipa hata laki NNE kwa kusimamia famasi kama hataki si wapo wengi ambao wanasubri ajira
Kwani ww unajua mshahara wa MD ni shingap?
Doctor of medicine 1.48millions
Doctor of pharmacy 1.25millions
Other course health related 980K
Including nursing and laboratory
Na hapo ni kwa wanaoanza kazi .
Nnachomaanishaa Pharmacy anazidiwa laki2 na MD pia anaweza tumia cheti chake kufungulia maduka ya madawa.
pia mtu yeyote akifungua hodpital lazima awe na chet cha mtu wa aliesoma pharmacy.
Mkuu rekebisha kauli , mfamasia sio mgawa dawa...Hakuna mjinga anaweza kukaa darasani 4; years asome kugawa dawa.
We JAMAA ujielewiii kabisaa Mimi natengeneza kidonge pia ntaajiriwa MSD.Muda si mrefu pharmacy itakuwa si chochote hapa Tanzania in term of kuajiriwa kwani hospital zinahitaji wafamasia wachache zaidi kuliko madaktari na wauguzi by the way famasi kazi Yake kugawa madawa kazi ambayo hata nurse anaweza Fanya vizuri tu cozi amesoma pharmacology, Pharmacy ilikuwa na dili enzi za JK sio enzi hizi za Magufuli iba dawa uone kama hajatubuliwa na pharmacy yako hewa na kukupeleka kwenye mahakama ya mafisadi na majizi, Lakini pia kuna anguko kubwa la PHARMACY laja kwani utatikanaji wa dawa mhimu kufkia mwakani utakuwa wa UHAKIKA katika hospitality za umma hivyo Pharmacy nyingi mitaani zitafungwa na wafamasia wanagraduate wengi kila kukicha hivyo tutawalipa hata laki NNE kwa kusimamia famasi kama hataki si wapo wengi ambao wanasubri ajira
Mimi na Degree yangu siwez kugawa dawa dogoooo.Mfamasia wa bongo anafanya nini? Si mgawa dawa tu?
Pharmacy degree inatolewa na vyuo vichacheee sanaaa pia degree ya pharmacy kila mwaka wanaitimu wachache ukiikompare na MD .Muda si mrefu pharmacy itakuwa si chochote hapa Tanzania in term of kuajiriwa kwani hospital zinahitaji wafamasia wachache zaidi kuliko madaktari na wauguzi by the way famasi kazi Yake kugawa madawa kazi ambayo hata nurse anaweza Fanya vizuri tu cozi amesoma pharmacology, Pharmacy ilikuwa na dili enzi za JK sio enzi hizi za Magufuli iba dawa uone kama hajatubuliwa na pharmacy yako hewa na kukupeleka kwenye mahakama ya mafisadi na majizi, Lakini pia kuna anguko kubwa la PHARMACY laja kwani utatikanaji wa dawa mhimu kufkia mwakani utakuwa wa UHAKIKA katika hospitality za umma hivyo Pharmacy nyingi mitaani zitafungwa na wafamasia wanagraduate wengi kila kukicha hivyo tutawalipa hata laki NNE kwa kusimamia famasi kama hataki si wapo wengi ambao wanasubri ajira
mkuu waulize wenzio wa walimaliza mwaka huu[emoji28][emoji28][emoji28] nani aliwaambia kuna koz za afya huwaga wanakosaga hajira,, makubwaaa
[emoji28][emoji28][emoji28] mimi nijuavyo kozi zote za afya zinasoko zikiongozwa na babalao pharmacy.
nyie wanafunzi someni kwanza ndio mje hapa ...[emoji2]Kachezeeni dawa mwisho nakuja kukagua mahesabu yenu katika manunuzi na matumizi then nakupiga mkwanja mreeefu maana naweza kukusababishia kuondolewa kazini... AUDITING ndo Baba lao...