Msiba wa Taifa
Senior Member
- Nov 3, 2016
- 128
- 53
- Thread starter
- #121
Sup3 nazisoma mkuu ni balaaa.Hadi ukafike bpharm four huenda hata hayo mavyeti watakua hawatundiki tena.. Punguza mbwembwe MUHAS sup 3 kwenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sup3 nazisoma mkuu ni balaaa.Hadi ukafike bpharm four huenda hata hayo mavyeti watakua hawatundiki tena.. Punguza mbwembwe MUHAS sup 3 kwenu
Tumia busara na acha tambo mitandaoni,Yani first year unatambia taaluma na hata dalili za kumaliza chuo huna...Au ndio ugeni wa chuoSup3 nazisoma mkuu ni balaaa.
Ivi kati ya izo pharmacy vs medical laboratory ipi ina ajira to be honestmwakani namaliza masomo yang ya ufamasia lkn ajira hazipo kama huyo anavyosema pia hiyo ishu ya kusimamia duka ulipwe sio km unavyosema embu kasome Pharmacy Act 2002 itakuelewesha,pitia pia section ya 16 mpaka ya 24 utaelewa bwana mdogo
Soma kichwa cha uzi mkuu.Ivi kati ya izo pharmacy vs medical laboratory ipi ina ajira to be honest
Ivi kati ya izo pharmacy vs medical laboratory ipi ina ajira to be honest
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Zote hazina ajira.Hujasikia serikali imesitisha ajira kwanza?
Labda kwenye kampuni ya baba ako. Vijana jifunzeni kupambanua majira time is changing huu upepo wa Magufuli nani akulipe 4 millions na kwa uzuri gani ulionaoSoma kichwa cha uzi mkuu.
unauliza naakati majibu tumeshayatoa.
lab analipwa laki9
pharmacy analipwa zaid ya million4 permonth. Na mshahara juu..
au kunakingne uliitaji kujua.
Sahivi tuu sijamaliza ata mwaka wa kwanza nalipwaa million1.6 na hospitali ya KCMC wanataka gamba langu na GPA ya 4.7 ndo wanahiitajii.Labda kwenye kampuni ya baba ako. Vijana jifunzeni kupambanua majira time is changing huu upepo wa Magufuli nani akulipe 4 millions na kwa uzuri gani ulionao
Sahivi tuu sijamaliza ata mwaka wa kwanza nalipwaa million1.6 na hospitali ya KCMC wanataka gamba langu na GPA ya 4.7 ndo wanahiitajii.
Kazi kwangu kupiga shulee.
Duh kweli we ni Msiba wa Dunia sio Taifa tenaSahivi tuu sijamaliza ata mwaka wa kwanza nalipwaa million1.6 na hospitali ya KCMC wanataka gamba langu na GPA ya 4.7 ndo wanahiitajii.
Kazi kwangu kupiga shulee.
Taaluma ya pharmacy haina mtu kama w.....[emoji16][emoji16]Sahivi tuu sijamaliza ata mwaka wa kwanza nalipwaa million1.6 na hospitali ya KCMC wanataka gamba langu na GPA ya 4.7 ndo wanahiitajii.
Kazi kwangu kupiga shulee.
Hakuna mfamasia analipwa hiyo hela kwa kufanya kazi hospital hata mmjaLabda kwenye kampuni ya baba ako. Vijana jifunzeni kupambanua majira time is changing huu upepo wa Magufuli nani akulipe 4 millions na kwa uzuri gani ulionao
Naona umejazwa upepo ukasome certificate ya Pharmacy Pole kwa Kufeli Maana waliuofaulu Hawaendi Certificate!Naomba kutanguliza shukrani za dhati kwenu.
Je mnajua kwamba Pharmacy ndo kozi ngumu pia ndiyo inayoongoza kwa michongo ya kujiajiri na kuajiriwa bongo.
Cheti cha pharmacy kinaweza kukuingiza si chini ya milion3 kwa mwez ukisimamia maduka ya madawa ya wazungu na wachina pale KARIAKOO/MWANZA MJINI/DODOMA/MOROGORO.
Hapo bado unapiga mishahara serikalini 1.3millions sawa na Dr.
Pia Mpharmacia mwenyew unafungua maduka yako binafsi halafu dawa zile unazouza uzinunui bali unaiba tuu hospitalini.
PHARMACY IS DA BEST IN DA WORLD
[emoji28][emoji28][emoji28]
MWENYE NYONGEZA PLEASE ONGEZEA .
SITAKI MATUSI.
Kichwa kibovu kama hiki kiko muhas duuuh!Hadi ukafike bpharm four huenda hata hayo mavyeti watakua hawatundiki tena.. Punguza mbwembwe MUHAS sup 3 kwenu
Vipi ushamaliza degree yako au ulishadisco [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naomba kutanguliza shukrani za dhati kwenu.
Je mnajua kwamba Pharmacy ndo kozi ngumu pia ndiyo inayoongoza kwa michongo ya kujiajiri na kuajiriwa bongo.
Cheti cha pharmacy kinaweza kukuingiza si chini ya milion3 kwa mwez ukisimamia maduka ya madawa ya wazungu na wachina pale KARIAKOO/MWANZA MJINI/DODOMA/MOROGORO.
Hapo bado unapiga mishahara serikalini 1.3millions sawa na Dr.
Pia Mpharmacia mwenyew unafungua maduka yako binafsi halafu dawa zile unazouza uzinunui bali unaiba tuu hospitalini.
PHARMACY IS DA BEST IN DA WORLD
[emoji28][emoji28][emoji28]
MWENYE NYONGEZA PLEASE ONGEZEA .
SITAKI MATUSI.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji3][emoji3]Vipi ushamaliza degree yako au ulishadisco [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna taasisi serikalini diploma anaanza na 1,800,000/- hivyo hiyo 1M ni posho.
Maana alipost 2016 akiwa first year so huu mwaka 2020 ilibidi awe ashamaliza abaki tu kusubiria internship [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji3][emoji3]
Kwanini unamuuliza hivi mkuu!!?
Hakika Ufamasia ni fani unayolipwa mishahara miwili(kwa cheti na kwa leseni) kimbembe ni kufikia hapo toka shule mpaka kwenye leseni!!
Mimi pia nakomaa nayo bado mmoja!