Dejan kawakosea nini? Mashabiki mbona mna mambo ya hovyo sana. Huo ni ubaguzi wa wazi michezoni, FIFA haitaki hayo mambo

Dejan kawakosea nini? Mashabiki mbona mna mambo ya hovyo sana. Huo ni ubaguzi wa wazi michezoni, FIFA haitaki hayo mambo

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Dejan ni straika mpya wa Simba ,ni straika kweli kama umefuatilia timu alizochezea na magoli aliyofunga. Kacheza timu kubwa Ulaya na anafunga magoli mazuri sana, lakini mashabiki wa nchi hii wana mambo ya kitoto sana.

Hicho mnachomfanyia Dejan sio ushabiki ni upumbavu ,na ni ubaguzi wa rangi Racism. Ligi haijaanza bado kacheza mechi Moja ya mashindano na yenyewe kacheza dakika 27, siku ya Simba Day kacheza dakika 16 mnataka afunge hat trick?

Acheni kumpa presha yule ni mtu, hapa kwetu ndiye alikuwa wa mwisho kusajiliwa hajakaa na timu bado hata Misri kule hakuwepo . Wachambuzi nao sijui nani kawaroga wameingia kwenye mkenge wa mashabiki utopolo wa Tanzania.

Chris Mugalu kacheza mechi ngapi bila kufunga nyinyi? John Boko msimu huu kafunga goli ngapi na kacheza mechi ngapi Nyinyi utopwinyo? Nyinyi gongo wazi huyo mayele alishawahi kufunga hat trick hapa TANZANIA nyinyi gongo nyonyo?

Muacheni Dejan acheze Mpira hata Cristiano Ronaldo mechi mbili mpaka tatu anaweza asifunge, mkome kumbagua mzungu wa watu ,endeleeni kukuna Nazi wali upo jikoni
 
Dejan ni straika mpya wa Simba ,ni straika kweli kama umefuatilia timu alizochezea na magoli aliyofunga .kacheza timu kubwa ulaya na anafunga magoli mazuri sana...
Acheni upuuzi nyie viongozi wa Simba sajilini Manzoki.

Kama hajakaa na timu kwa nini alipangwa mechi kubwa?

Mnapokea pesa za udhamini halafu mnaleta uswahili.Jinga sana veve
 
Mimi naona wa kulaumiwa ni Ahmed Ali! Alikuwa na sababu gani ya kumtambulisha kama Mzungu ile siku ya Simba day?

Halafu huna sababu ya kutoka mapovu. Kama huyo Dejan wenu ni mshambuliaji mahiri, ataonekana uwanjani. Na kama ni Mugalu aliye changamka, pia ataonekana tu msimu ukianza.
 
Nyinyi wenyewe makolo mmeshaanza kutomkubali huyo mchezaji wenu Sisi Huyo mzungu wenu anatuhusu nini? Mmeanza kumbagua kwa sababu hawasaidii.Waambie makolo wenzako mipovuu tu imewajaa mmeshapigwa Tulizeni ball😜😜
 
Weka link mkuu
Bonge la ngoma inaweza kuchukua tuzo za muziki mwaka huu ,Link sina ila kuna mdau jana aliweka status labda ukasearch YouTube
IMG_20220815_112023.jpg
 
Mimi siipendi Yanga. So I would obviously root for Simba ila mkuu do not take things so seriously.

Hizi ni banter tu za kawaida kwenye michezo ya aina yoyote. Hata ukicheza draft kuna utani na kejeli ila kikubwa ni kutovuka mipaka tu.

So kama hawajasema kitu kina threaten usalama wake na familia yake au maslahi yake haina shida ni utani wa jadi tu na ni mambo ya kawaida duniani kote. Hata ukiangalia arch rivals kwenye nchi zilizoendelea haya mambo yapo mkuu.


So relax.
Kuimba kupokezana.
 
Dejan ni straika mpya wa Simba ,ni straika kweli kama umefuatilia timu alizochezea na magoli aliyofunga .kacheza timu kubwa ulaya na anafunga magoli mazuri sana...
Tena wamuache kabisa mine wangu huyo
 
Kina video inatembea mashabiki wa Yanga wamebeba sanamu la mzungu (yale ya dukani) wanapita mitaani wanaimba mleteni mzungu hakuna anayekemea kitendo hicho wanacheka nakufurahi.

Hivi hao tunaowaita wazungu wangebeba Sanam jeusi dunia nzima wangelalamika, hivi vitendo vinatakiwa kukemewa hata na vyombo vya dola, dhihaka ya hivi sio nzuri kabisa hata yeye mwenyewe akiona hivi hawezi kufurahia.

Hii kitu ni mbaya Sana katika jamii, kuna.mchezaji alitupiwa ndizi uwanjani, waafrika na jamii ya weusi wengi tulilalamika Ina kasoro gani na hii?

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Acheni upuuzi nyie viongozi wa Simba sajilini Manzoki.

Kama hajakaa na timu kwa nini alipangwa mechi kubwa?

Mnapokea pesa za udhamini halafu mnaleta uswahili.Jinga sana veve
Huyo manzoki unayemtaka anaweza akaja nabado asicheze kama uko alikotoka mkaanza tena kejeli.Wakati mwingine nivyema tukabaki kua mashabiki mambo ya kitaalamu tuwaachie makocha.
 
Katika pitapita zangu nimekutana na huyu mwamba ambaye inasemekana ni yule mzungu wa Simba. Hapa alikuwa katika majukumu yake ya kila siku baada ya kuonesha makali yake. Hongera mtani.
 
Mashabiki wengi wa simba ni watu hovyo sana, nafikiri wengi ni watu wa kijiweni, wanaogozwa na mihemko.

Ukitaka kuwapima hebu tuliweke hivi, huyu mzungu Dejan kama angesajiliwa na Yanga na akaparform hivi, mashabiki wa Yanga wengi wasinge mzodoa wangempa muda, ila angepaata kejeli nyingi tola kwa makolo.
 
Mashabiki wengi wa simba ni watu hovyo sana, nafikiri wengi ni watu wa kijiweni, wanaogozwa na mihemko.

Ukitaka kuwapima hebu tuliweke hivi, huyu mzungu Dejan kama angesajiliwa na Yanga na akaparform hivi, mashabiki wa Yanga wengi wasinge mzodoa wangempa muda, ila angepaata kejeli nyingi tola kwa makolo.
Yanga wako humble sana hata Carlinhos haikuwa na kiwango cha kutisha mechi za kwanza ila mashabiki walimpa kampani hadi mwenyewe akawa anashangaa japo alikuwa akibezwa na upande wa pili lakini mashabiki wa Yanga walisimama nae kidete.
 
Back
Top Bottom