Dejan wa Simba SC afunga goli huku akiwa amefumba macho

Goli Mzungu amefunga baada ya kipa wa Kagera kugongana na mchezaji. Golini hakukuwa na Kipa. Na refa hakusimamisha mchezo. Haikuwa Fair Play. Ila Simba afanyiwe hicho kitendo Afungwe yeye sasa. Utaskia Mwamuzi kafungiwa, CEO karopoka, Visipika Karopoka, Wachambuzi wa mchongo wana ropoka. Ila kwa wengine Fresh tu.
 
Goli kama hilo limefungwa na watu watatu tu mpaka sasa hivi.

1. Sadio mane vs bayern mumich
2. mimi mwenyewe MAKAVELI10
3.na jana ndio kafunga MDHUNGU,

hata pele hajawahi kufunga vile katika magoli yake buku na ushehe[emoji23][emoji1787]
Kipaji icho,kama wewe uliwai kufunga kwa nama hiyo una kipaji mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…