Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Huyu Dejan ana balaa afunga goli huku akiwa amefumba macho, kama viungo wa simba watamlisha haswa atafanya makubwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo aliyelala vp tena
Wabongo! Ndio maana Mwiguru anatupatia.Juzi mlikuwa mnasema kwa mzungu mmepigwa
Sema tu hakuna full caption walilala kifudi fudi watatu wakikwepa kasi ya shoot kali la mserbia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo aliyelala vp tena
Sie wabongo mashabiki lia lia wanafiki sanaJuzi mlikuwa mnasema kwa mzungu mmepigwa
Anadai aliona nyuki wanapita juuHahah...kuna mwamba kaamua ajilaze kabisa
Lewandoski wa SimbaKajipa assist mwenyewe kafunga mwenyewe, kama ronaldo vile
Baada ya kufunga hako kagoli kamoja, huwezi kuwasikia tena wakimtaja yule mshambuliaji wao Manzoki!Juzi mlikuwa mnasema kwa mzungu mmepigwa
Maendeleo hayana chamaHahah...kuna mwamba kaamua ajilaze kabisa
Kipaji icho,kama wewe uliwai kufunga kwa nama hiyo una kipaji mkuu.Goli kama hilo limefungwa na watu watatu tu mpaka sasa hivi.
1. Sadio mane vs bayern mumich
2. mimi mwenyewe MAKAVELI10
3.na jana ndio kafunga MDHUNGU,
hata pele hajawahi kufunga vile katika magoli yake buku na ushehe[emoji23][emoji1787]
Kipaji, kilikuwepo mzee tena kikubwa tu.Kipaji icho,kama wewe uliwai kufunga kwa nama hiyo una kipaji mkuu.