General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Mkuu hizi chick huwa zina mambo ya kishamba sana, yan imekaa kimbeya sana.Samehe mkuu.....
UmenipataImekaa kihisia flani hivi amazing
afu mbona unakuwa na mambo ya kiswazi?hahahahah nimecheka tu! mie hapo najaa alone... vululu vululu
Mkuu hizi chick huwa zina mambo ya kishamba sana, yan imekaa kimbeya sana.
Mwanamke mwenye majungu ya kishenzi na mind sana.
Afu nina stress zangu yy ananileteaa maungesee.
Poa faza, ngoja nilale zange joh!!
Sent From Ikulu-Magogoni street
Onyo la mwisho, nitaleta PM zako ww mla ugoro
Washa penzi kama moto demi$connor
afu mbona unakuwa na mambo ya kiswazi?
Umeniboa sanaa leo
Sent From Ikulu-Magogoni street
Na ww una nyege tu. Toa ugoro wako hapa. Nenda kwa mangi ukale ugoroJE ushawah pima afya yako demi...
Kichwa cha familia ni baba.Katika family nini imani yako kuhusu kichwa cha familia je ni baba au mama
Unamsaport vipi mumeo
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali halikuuliza kujiuza.
Asante kwa kuwa muelewa Amigo.Mkuu hizi chick huwa zina mambo ya kishamba sana, yan imekaa kimbeya sana.
Mwanamke mwenye majungu ya kishenzi na mind sana.
Afu nina stress zangu yy ananileteaa maungesee.
Poa faza, ngoja nilale zange joh!!
Sent From Ikulu-Magogoni street
Diamond Na Ali kiba ni yupi ni msanii Na yupi ni mwanamziki?Umenipata
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]braza pambana na masikini wenzio, acha shoboo
Sent From Ikulu-Magogoni street
Wewe nikupe sh ngap unipe mzigoSwali limekuja kutokana na jibu lako. Kuna kiasi ukipewa utagawa mzigo, ndio nauliza je unajiuza?
hahhahaNenda ukanye uko unampiga biti nani sasa
puto la kimeru ww
Washa penzi kama moto demi$connor
Na ww una nyege tu. Toa ugoro wako hapa. Nenda kwa mangi ukale ugoro
Washa penzi kama moto demi$connor
Mimi sio mtu wa siasa sana lakini naona si sahihi maana uongozi wa nchi si tu kwa baadhi ya makabila bali kwa mtanzania yeyote mwenye uwezo na anaye kubalika.
Afya una maanisha kupima ukimwi?JE ushawah pima afya yako demi...
Umeshawahi nunua au tazama video ya ngonoKichwa cha familia ni baba.
Namsapoti mume wangu kwa kumpa moyo,kumjali, kutompa kero ili afanye kazi vizuri na kuhudumia familia financially pale ninapoweza.