Demi live on muosha rungu TV show!!

seriously ? Hujawahi kosa chochote, certainly uliishi kama malaika.
Unafikiri umekosea wapi sasa hadi mwanao kukosa yote hayo hali wewe ulipata yote ulohitaji.

Nikiwa under 10 na hata under 20 sijawahi kukosa kitu.
Mpk sasa mwanangu ana 13yrs, kakosa mengi lakini nitafix. Bahati nzuri ananielewa na anayo akili ya maisha.
 
Sikukurupuka nilimaanisha. Pia nazungumzia hela ya maana kidogo kama 5m na kuendelea.
Kupiga picha za uchi kwa pesa labda nivae mask..na sura yangu hii sithubutu
Jambo lipi unajutia kulifanya katika maamuz yako magumu
Lipi unajivunia
Je umenufaika nalo vipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
seriously ? Hujawahi kosa chochote, certainly uliishi kama malaika.
Unafikiri umekosea wapi sasa hadi mwanao kukosa yote hayo hali wewe ulipata yote ulohitaji.
Sikuishi kama malaika lakini nilipata vitu vyote muhimu kwa wakati, na pia nilipewa malezi sahihi. Sina malalamiko yoyote.
.
.
Mwanangu kukosa vitu muhimu ni uzembe wangu. Mapenzi yamechangia.
 
Sikukurupuka nilimaanisha. Pia nazungumzia hela ya maana kidogo kama 5m na kuendelea.
Kupiga picha za uchi kwa pesa labda nivae mask..na sura yangu hii sithubutu


Jumamosi tuna shoot demi, mask na kila kitu utakachohitaji vipo, mkwanja maelewano, upo tayari for further negotiation ?
 
Jambo lipi unajutia kulifanya katika maamuz yako magumu
Lipi unajivunia
Je umenufaika nalo vipi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sitaweza kuliweka wazi ila nilishawahi kufanya maamuzi magumu ambayo sasa hivi nahisi kama nilikosea. Sijivunii kwa hilo, hakuna nilichonufaika zaidi ya hasara hasa upande wa mtoto.
 
Jumamosi tuna shoot demi, mask na kila kitu utakachohitaji vipo, mkwanja maelewano, upo tayari for further negotiation ?
Acha tabia za kishetani mla ugoro ww

Libaba lizima linawaza kuangalia watu lisilowajua uchi. Si umuangalie mtoto wako

Hela yenyew huna una ya kununulia ugoro to

Washa penzi kama moto demi$connor
 
Pamoja na pocket money..YES


Imagine baada ya kutoka ukakutana na mark zuckerberg akafall in love kwa demi najua uko tayari kumuacha mumeo 4 him, can you abandon your daughter for him regarding you get anything you need in this piece of shit "earth" .
 
Sitaweza kuliweka wazi ila nilishawahi kufanya maamuzi magumu ambayo sasa hivi nahisi kama nilikosea. Sijivunii kwa hilo, hakuna nilichonufaika zaidi ya hasara hasa upande wa mtoto.
Asante demi kwa ushirikiano mzuri Na nakutakia kila la kheri pia nisamehe ikiwa nilikukwaza mahali
Natumai utaitika tena siku ingine ukihitaji!!
Swali la mwisho unaosha rungu la husband Leo au no!!
Chao!!
Uzi unasonga....





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na pocket money..YES


Imagine baada ya kutoka ukakutana na mark zuckerberg akafall in love kwa demi najua uko tayari kumuacha mumeo 4 him though he is young compared to you, can you abandon your daughter for him regarding you get anything you need in this piece of shit "earth" .
 
Imagine baada ya kutoka ukakutana na mark zuckerberg akafall in love kwa demi najua uko tayari kumuacha mumeo 4 him, can you abandon your daughter for him regarding you get anything you need in this piece of shit "earth" .
I can abandon anyone in this world but not my daughter! Mark Zuckerberg atuchukue wote
 
Hujanikwaza popote kila kitu kimeenda poa.
.
.
Leo rungu halioshwi ni mpaka kesho.
Thank you!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…