Au nae yule mdau akashambuliwe nini?Tatizo lilianzia pale Wangari alipokuwa upande wa anayesemekana ni tapeli na kwamba watu wajifunze kushukuru kabla ya kuhukumu.
Na kuwa hata yeye amesaidia watu wengi tu lakini hawana shukrani.
All in all haikuwa fair kwa alivyoshambuliwa na yule mdau..alimuaibisha sana hakustahili yale yote.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Asante mtani wewe wanijua vema
Bye motivational speaker.Ningeweza kukujibu pumba kama ulivyooandika..
Ila kwa hii comment yako nimechangua kukupuuza.. Bye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mambo?Hahahaha
Mkuu kwanza kabisa I took no pleasure in it, nilisoma na kuipuuza maana havinihusu.Huu Uzi ulioibua haya yote naukumbuka vyema.. Na ukijaribu kujiuliza kwa lugha nyepesi chanzo cha huyo jamaa kuleta hayo yote ilikuwa ni nini? Na hakuna sehemu alipoulizwa...Wangari alikuwa anachangia kama member wengine kilichomfanya yeye kuandika yote hayo ni kitu gani?
Nadhani ilikuwa ni chuki tu za huyo jamaa.. kaandika mambo kibao kwa Mwanaume anayejielewa asingeweza kuandika au kuleta yote hayo.. Ameonesha kiwango chake cha kufikiri kilivyo..
Binafsi sijawahi kuona shida ya Wangari.?sasa kama anauza au ana mashimo ya dhahabu au hana ilikuwa ni juu yake.. JF inampa uhuru kila mtu kufanya au kujieleza namna anavyotaka ila tu asivunje kanuni..
Ni ME wangapi humu full kujisifia na hakuna mtu anayewa'offend? Kuna ME humu full kupondea gari za Kijapan lakini hakuna mtu anayewanyooshea vidole.. Na sababu hasa ni kuwa JF kila mtu ana uhuru wa kufanya anavyotaka ila tu asivunje kanuni,taratibu na sheria.
Sasa huyo Dada yeye kama alikuwa anajisifia mambo ya Migodi na vitu kama hivyo..Huyo jamaa na wengineo walikuwa wanapata shida gani? Ifike mahali tupunguze kuumia na mambo ya wengine..
NB.. Hii haikuhusu wewe uliye'repost hii comment Mkuu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes alimkamia..Na hata aliyemjibu Wangari hakuwa mlalamikaji.. naye alikuwa mchangiaji tu..
Ndipo ninaposema angeweza kutumia fimbo nyingine kumchapia ila siyo kile alichokifanya..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulipotelea wapi wewe?Mkuu mambo?
Sahihisha hapo Mkuu.."Anguko lake lilifurahiwana wengi."Mkuu kwanza kabisa I took no pleasure in it, nilisoma na kuipuuza maana havinihusu.
Ya pm au nje ya Pm yabaki hukohuko haitakuja kutokea mimi kuanika mtu na nimepatana na wengi tu humu.
Kikubwa ni kwamba Kama una maisa yako ishi maisha yako huko uliko sio uje kujianika humu.
Stay low don't bunk to the guys to have spotlight and attention.
Kama angekua anafanya yake kimya kimya asingekutwa na yaliyo mkuta, kosa kubwa alilolifaya hua ana tabia ya Ku-Attack watu humu. Ndio maana anguko lake lilifurahiwa na wengi.
Again; Stay low, if you build in silence your enemy won't know where to attack
Na wanawake wenzake hapa JF ndio walikua wanafurahia kishenzi alivyochanwa,maana alikuaga anawa outshine kwa kuleta story zake upambanaji wake,sijui independent woman mara ladyboss na blah blah kibao na mara kibao tu walikua wanampiga vijembe vya kutosha tu hapa hapa JF.Mkuu kwanza kabisa I took no pleasure in it, nilisoma na kuipuuza maana havinihusu.
Ya pm au nje ya Pm yabaki hukohuko haitakuja kutokea mimi kuanika mtu na nimepatana na wengi tu humu.
Kikubwa ni kwamba Kama una maisa yako ishi maisha yako huko uliko sio uje kujianika humu.
Stay low don't bunk to the guys to have spotlight and attention.
Kama angekua anafanya yake kimya kimya asingekutwa na yaliyo mkuta, kosa kubwa alilolifaya hua ana tabia ya Ku-Attack watu humu. Ndio maana anguko lake lilifurahiwa na wengi.
Again; Stay low, if you build in silence your enemy won't know where to attack
Duuh[emoji134][emoji38]aaah mods walifuta uzi, kiufupi tu kuna mdau aliweka vyote hapa kuhusu bibie, utapeli, uuzaji 'kipochi manyonya' na kusingizia ana 'mgodi' sjui, na kadhalika
Tupo wote kila mara mkuuUlipotelea wapi wewe?
Amina..[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1534]Tupo wote kila mara mkuu
Dada nakusalimia.Inashangaza sana..
Na wanaoyaleta wengi ni jinsia ya ME ni mara chache sana KE kuleta mambo kama haya humu..
Kuna huyo mpuuzi mmoja huyo nasikia yeye akishamkula Mwanamke humu akafanikiwa kupata mwingine tena JF kazi aliyonayo ni kumpondea au kuwapondea wote aliokuwa nao kwenye mahusiano..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii huwa ni njia ya kutaka tu umbea. Watu wa humu[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Mtafute PM, asipokujibu basi jua hayupo jeiefu au hana time na wewe...sasa ukianzisha uzi ndio utampata??
Marahaba mdogo wangu Kipenzi...Dada nakusalimia.
Wanaume wengi wa humu hawajielewi, nilifuatilia mwanzo mwisho huo uzi. Yaani habari alizoleta huyu duwanzi hazikuwa na mahusiano kabisaa na kilichokuwa kinaongelewa. Ni kama alikuwa ana bifu lake na manengelo akawa anatafuta namna ya kumdhalilisha. Halafu its like Jf mods wanafurahia huu upuuzi wa kudhalilishwa wanawake humu mpaka huwa nawaza au wao ndio wadhalilishaji!!Huu Uzi ulioibua haya yote naukumbuka vyema.. Na ukijaribu kujiuliza kwa lugha nyepesi chanzo cha huyo jamaa kuleta hayo yote ilikuwa ni nini? Na hakuna sehemu alipoulizwa...Wangari alikuwa anachangia kama member wengine kilichomfanya yeye kuandika yote hayo ni kitu gani?
Nadhani ilikuwa ni chuki tu za huyo jamaa.. kaandika mambo kibao kwa Mwanaume anayejielewa asingeweza kuandika au kuleta yote hayo.. Ameonesha kiwango chake cha kufikiri kilivyo..
Binafsi sijawahi kuona shida ya Wangari.?sasa kama anauza au ana mashimo ya dhahabu au hana ilikuwa ni juu yake.. JF inampa uhuru kila mtu kufanya au kujieleza namna anavyotaka ila tu asivunje kanuni..
Ni ME wangapi humu full kujisifia na hakuna mtu anayewa'offend? Kuna ME humu full kupondea gari za Kijapan lakini hakuna mtu anayewanyooshea vidole.. Na sababu hasa ni kuwa JF kila mtu ana uhuru wa kufanya anavyotaka ila tu asivunje kanuni,taratibu na sheria.
Sasa huyo Dada yeye kama alikuwa anajisifia mambo ya Migodi na vitu kama hivyo..Huyo jamaa na wengineo walikuwa wanapata shida gani? Ifike mahali tupunguze kuumia na mambo ya wengine..
NB.. Hii haikuhusu wewe uliye'repost hii comment Mkuu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Alichokuwa anasisitiza wangari ni tapeli kupewa a benefit of a doubt maana kuna wakati mtu anaweza kukusambazia sifa mbaya kumbe tu mlishindwa kuelewana. Nakumbuka hata mimi nilimwambia asimtetee tapeli. Lakini yale yaliyomwagwa yalikuwa yana mahusiano gani na mada?Kwenye huo uzi kuna kijana alikuwa analalamika kuna mtu kamchomesha mahindi kwa kumwambia atafute passport then huyo jamaa ampe kazi sijui ya kwenda na mafuso Zambia huko..Kijana akatafuta passport lakini alipofanikiwa kuipata passport yule aliyemuahidi atampa kazi akatokomea kusiko julikana na akawa hapatikani kabisa hewani..
Kijana akaleta uzi wa kulalamika na kushauri watu kuwa kama huna nia ya kumsaidia mtu basi usimtese huku unajua huwezi kumsaidia..Kina Wangari na wengine wakaanza kumnang'a kijana na hapo ndo watu walichukia kwa kuona ni kama anatetea utapeli na kufikia kudhalilishana kama jamaa alivyofanya hapo juu..
And mind you kijana alisema alitumia savings zake zote kupata hiyo passport ambayo haikuja kumsaidia lolote.