Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Tatizo lilianzia pale Wangari alipokuwa upande wa anayesemekana ni tapeli na kwamba watu wajifunze kushukuru kabla ya kuhukumu.

Na kuwa hata yeye amesaidia watu wengi tu lakini hawana shukrani.

All in all haikuwa fair kwa alivyoshambuliwa na yule mdau..alimuaibisha sana hakustahili yale yote.
Au nae yule mdau akashambuliwe nini?

[emoji2][emoji2][emoji2]

(Utani tuu jamani)
 
Huu Uzi ulioibua haya yote naukumbuka vyema.. Na ukijaribu kujiuliza kwa lugha nyepesi chanzo cha huyo jamaa kuleta hayo yote ilikuwa ni nini? Na hakuna sehemu alipoulizwa...Wangari alikuwa anachangia kama member wengine kilichomfanya yeye kuandika yote hayo ni kitu gani?

Nadhani ilikuwa ni chuki tu za huyo jamaa.. kaandika mambo kibao kwa Mwanaume anayejielewa asingeweza kuandika au kuleta yote hayo.. Ameonesha kiwango chake cha kufikiri kilivyo..

Binafsi sijawahi kuona shida ya Wangari.?sasa kama anauza au ana mashimo ya dhahabu au hana ilikuwa ni juu yake.. JF inampa uhuru kila mtu kufanya au kujieleza namna anavyotaka ila tu asivunje kanuni..

Ni ME wangapi humu full kujisifia na hakuna mtu anayewa'offend? Kuna ME humu full kupondea gari za Kijapan lakini hakuna mtu anayewanyooshea vidole.. Na sababu hasa ni kuwa JF kila mtu ana uhuru wa kufanya anavyotaka ila tu asivunje kanuni,taratibu na sheria.

Sasa huyo Dada yeye kama alikuwa anajisifia mambo ya Migodi na vitu kama hivyo..Huyo jamaa na wengineo walikuwa wanapata shida gani? Ifike mahali tupunguze kuumia na mambo ya wengine..

NB.. Hii haikuhusu wewe uliye'repost hii comment Mkuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwanza kabisa I took no pleasure in it, nilisoma na kuipuuza maana havinihusu.
Ya pm au nje ya Pm yabaki hukohuko haitakuja kutokea mimi kuanika mtu na nimepatana na wengi tu humu.
Kikubwa ni kwamba Kama una maisa yako ishi maisha yako huko uliko sio uje kujianika humu.

Stay low don't bunk to the guys to have spotlight and attention.
Kama angekua anafanya yake kimya kimya asingekutwa na yaliyo mkuta, kosa kubwa alilolifaya hua ana tabia ya Ku-Attack watu humu. Ndio maana anguko lake lilifurahiwa na wengi.
Again; Stay low, if you build in silence your enemy won't know where to attack
 
Mkuu kwanza kabisa I took no pleasure in it, nilisoma na kuipuuza maana havinihusu.
Ya pm au nje ya Pm yabaki hukohuko haitakuja kutokea mimi kuanika mtu na nimepatana na wengi tu humu.
Kikubwa ni kwamba Kama una maisa yako ishi maisha yako huko uliko sio uje kujianika humu.

Stay low don't bunk to the guys to have spotlight and attention.
Kama angekua anafanya yake kimya kimya asingekutwa na yaliyo mkuta, kosa kubwa alilolifaya hua ana tabia ya Ku-Attack watu humu. Ndio maana anguko lake lilifurahiwa na wengi.
Again; Stay low, if you build in silence your enemy won't know where to attack
Sahihisha hapo Mkuu.."Anguko lake lilifurahiwana wengi."

Hivi ki binadamu unaweza kufurahia mabaya yanapompata mwingine? Wakati huo nani amejua yako/yangu?
Nadhani inahitaji moyo wa kishujaa sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwanza kabisa I took no pleasure in it, nilisoma na kuipuuza maana havinihusu.
Ya pm au nje ya Pm yabaki hukohuko haitakuja kutokea mimi kuanika mtu na nimepatana na wengi tu humu.
Kikubwa ni kwamba Kama una maisa yako ishi maisha yako huko uliko sio uje kujianika humu.

Stay low don't bunk to the guys to have spotlight and attention.
Kama angekua anafanya yake kimya kimya asingekutwa na yaliyo mkuta, kosa kubwa alilolifaya hua ana tabia ya Ku-Attack watu humu. Ndio maana anguko lake lilifurahiwa na wengi.
Again; Stay low, if you build in silence your enemy won't know where to attack
Na wanawake wenzake hapa JF ndio walikua wanafurahia kishenzi alivyochanwa,maana alikuaga anawa outshine kwa kuleta story zake upambanaji wake,sijui independent woman mara ladyboss na blah blah kibao na mara kibao tu walikua wanampiga vijembe vya kutosha tu hapa hapa JF.

Leo naona wanazuga eti walisikitika kwa yaliyomkuta, wanawake bana.
 
If you don't control it
Screenshot_20211119-144235.jpg
 
Inashangaza sana..
Na wanaoyaleta wengi ni jinsia ya ME ni mara chache sana KE kuleta mambo kama haya humu..

Kuna huyo mpuuzi mmoja huyo nasikia yeye akishamkula Mwanamke humu akafanikiwa kupata mwingine tena JF kazi aliyonayo ni kumpondea au kuwapondea wote aliokuwa nao kwenye mahusiano..

Sent using Jamii Forums mobile app
Dada nakusalimia.
 
Huu Uzi ulioibua haya yote naukumbuka vyema.. Na ukijaribu kujiuliza kwa lugha nyepesi chanzo cha huyo jamaa kuleta hayo yote ilikuwa ni nini? Na hakuna sehemu alipoulizwa...Wangari alikuwa anachangia kama member wengine kilichomfanya yeye kuandika yote hayo ni kitu gani?

Nadhani ilikuwa ni chuki tu za huyo jamaa.. kaandika mambo kibao kwa Mwanaume anayejielewa asingeweza kuandika au kuleta yote hayo.. Ameonesha kiwango chake cha kufikiri kilivyo..

Binafsi sijawahi kuona shida ya Wangari.?sasa kama anauza au ana mashimo ya dhahabu au hana ilikuwa ni juu yake.. JF inampa uhuru kila mtu kufanya au kujieleza namna anavyotaka ila tu asivunje kanuni..

Ni ME wangapi humu full kujisifia na hakuna mtu anayewa'offend? Kuna ME humu full kupondea gari za Kijapan lakini hakuna mtu anayewanyooshea vidole.. Na sababu hasa ni kuwa JF kila mtu ana uhuru wa kufanya anavyotaka ila tu asivunje kanuni,taratibu na sheria.

Sasa huyo Dada yeye kama alikuwa anajisifia mambo ya Migodi na vitu kama hivyo..Huyo jamaa na wengineo walikuwa wanapata shida gani? Ifike mahali tupunguze kuumia na mambo ya wengine..

NB.. Hii haikuhusu wewe uliye'repost hii comment Mkuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wengi wa humu hawajielewi, nilifuatilia mwanzo mwisho huo uzi. Yaani habari alizoleta huyu duwanzi hazikuwa na mahusiano kabisaa na kilichokuwa kinaongelewa. Ni kama alikuwa ana bifu lake na manengelo akawa anatafuta namna ya kumdhalilisha. Halafu its like Jf mods wanafurahia huu upuuzi wa kudhalilishwa wanawake humu mpaka huwa nawaza au wao ndio wadhalilishaji!!

Yaani from no where mtu anakurupuka sijui ni bifu au chuki tu za kimasikini anakuja anamwaga tu details za mtu humu halafu anachekewa. Tunayo safari ndefu na hawa watoto wetu wa kiume, sijui tunakosea wapi kuwalea walah[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
 
Kwenye huo uzi kuna kijana alikuwa analalamika kuna mtu kamchomesha mahindi kwa kumwambia atafute passport then huyo jamaa ampe kazi sijui ya kwenda na mafuso Zambia huko..Kijana akatafuta passport lakini alipofanikiwa kuipata passport yule aliyemuahidi atampa kazi akatokomea kusiko julikana na akawa hapatikani kabisa hewani..

Kijana akaleta uzi wa kulalamika na kushauri watu kuwa kama huna nia ya kumsaidia mtu basi usimtese huku unajua huwezi kumsaidia..Kina Wangari na wengine wakaanza kumnang'a kijana na hapo ndo watu walichukia kwa kuona ni kama anatetea utapeli na kufikia kudhalilishana kama jamaa alivyofanya hapo juu..

And mind you kijana alisema alitumia savings zake zote kupata hiyo passport ambayo haikuja kumsaidia lolote.
Alichokuwa anasisitiza wangari ni tapeli kupewa a benefit of a doubt maana kuna wakati mtu anaweza kukusambazia sifa mbaya kumbe tu mlishindwa kuelewana. Nakumbuka hata mimi nilimwambia asimtetee tapeli. Lakini yale yaliyomwagwa yalikuwa yana mahusiano gani na mada?
 
Back
Top Bottom