Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Mtani makaburi yangu yanalindwa na mizimu la sivyo ingekuwa leo hii tunaongea mengine.. Kati ya watu waliowindwa sana JF waangushiwe jumba bovu mimi ni mmojawapo[emoji23]
Kuna baadhi ya matukio huwa nikiyakumbuka[emoji848][emoji2827]Nabaki kusema Mungu asante..![emoji1545][emoji1545][emoji1545]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] .. [emoji3577][emoji3577]
 
Daah nlikuaga najua manengelo ni dem fln classy sana na zile pigo za uuzaji madini alizokua nazo ni balaa, Af Kona za machimboni alikua anazijua kweli kama vle alishawahi kuhusika na hizo mambo
Duh!
Muwage mnaficha siri za watu jamani wengine Wana roho nyepesi watajinyonga bure
 
Mtani makaburi yangu yanalindwa na mizimu la sivyo ingekuwa leo hii tunaongea mengine.. Kati ya watu waliowindwa sana JF waangushiwe jumba bovu mimi ni mmojawapo[emoji23]
Kuna baadhi ya matukio huwa nikiyakumbuka[emoji848][emoji2827]Nabaki kusema Mungu asante..![emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Pole Mtani...

Wewe ni mtu wa kuigwa sana humu..kama ndiyo mizimu inafanya kazi namna hii basi fanya namna wengi wafanyiwe hii kitu..

Maana Kuna watu umetustahi/ umewastahi na madhaifu yao/yetu..Pongezi kwako Mtani wangu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chuma alichompiga nacho hiki hapa.
_____
comment yangu,sijataja mtu,ila umejishitukia kuwa hizo ndiyo tabia zako,sasa ngoja nikupe ushaidi!

Wewe binti ni mtu wa ajabu sana! Nikianza kukuanika upuuzi wako hapa tunaweza kukesha!

Mimi nakujua kupitia kwa rafiki yangu mmoja hivi yuko dsm! Mara ya kwanza kabisa mlikutana morogoro sehemu moja inaitwa 88,mara ya pili mlikutana kibaha,mara ya tatu dsm! Huyo jamaa ni polisi lakini ana kazi nyingine, ana gari nyeusi aina ya Kluger, Na alikua anakufatilia kuhusu upuuzi wako wakuitukana serikali,na walipoona your not a threat walikuacha tu! Tena mara ya kwanza walikuita kule nane nane,kwenye majengo ya ufichoni sana,bila kujua na wewe ukaenda kweli! Jamaa alikufirimba na mwisho wa siku,akakuuliza gari umeacha wapi,mara ohh sijui gari imeisha mafuta nimeacha sehemu furani!

Basi yule bwana alipokuona huna maana alikuacha,akampa rafiki yake number zako,wewe si ulikua unatumia line ya tigo ya 0713 inaishia na 96?? Yule jamaa alikupigia simu,mkaongea then ukaomba nauli utumiwe kwamba ukimaliza kufua,utaenda,ukala pesa za watu bila hata ya kwenda! Ukaomba pesa za birthday ya mtoto wako! Ukatumiwa! Leo hii unaleta shobo hapa!

Kila siku unajifanya una maisha ya maana,kumbe choka mbaya tu,unashindwa kulipa hadi pesa za house girl wako,nyumba unaishi hata haijaisha,ndoa yako migogoro kila siku,shule hukumaliza,ulipigwa mimba,huyo kaka alikuacha sababu ya vituko vyako!

Eti nina mashimo ya migodi kakola! Hivi huoni hata aibu kudanganya,watu walishaanza kufatilia nyendo zako toka zamani,huna cha mashimo wala nini,Baba yako alikupa pesa ili walau mtoto wake usipate shida mjini,ukaenda kununua hivyo vifusi vya mchanga huko mgodini,uwe unasaga mawe, biashara haikuenda vizuri,mkafunga na hamkupata pesa hata kidogo,ULIVYO WA HOVYO,ukaenda kudanga kwa jamaa mmoja siwezi mtaja jina,naye biashara ikabuma,ukarudi nyumbani huna hata mia!!

Jamaa yangu juzi kakuona pale stand msamvu,huna mbele wala nyuma! Halafu eti unajitia fyoko fyoko hapa! Huna lolote wapige kamba wasiokujua! Na sasa hivi una number ya Airtel na halotel! Mme wako alishakufumania mara kibao,alishawahi kukupiga nusura ufe! Hebu acha shobo tukutunzie heshima yako! Watu walishaenda hadi kwenu ifakara kwa baba yako Mzee Ben! Naomba niishie hapa!
Mhhhh!
 
Pole Mtani...

Wewe ni mtu wa kuigwa sana humu..kama ndiyo mizimu inafanya kazi namna hii basi fanya namna wengi wafanyiwe hii kitu..

Maana Kuna watu umetustahi/ umewastahi na madhaifu yao/yetu..Pongezi kwako Mtani wangu...

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Asante mtani nina kifua kipana lakini hakina six pack [emoji23]
 
Chuma alichompiga nacho hiki hapa.
_____
comment yangu,sijataja mtu,ila umejishitukia kuwa hizo ndiyo tabia zako,sasa ngoja nikupe ushaidi!

Wewe binti ni mtu wa ajabu sana! Nikianza kukuanika upuuzi wako hapa tunaweza kukesha!

Mimi nakujua kupitia kwa rafiki yangu mmoja hivi yuko dsm! Mara ya kwanza kabisa mlikutana morogoro sehemu moja inaitwa 88,mara ya pili mlikutana kibaha,mara ya tatu dsm! Huyo jamaa ni polisi lakini ana kazi nyingine, ana gari nyeusi aina ya Kluger, Na alikua anakufatilia kuhusu upuuzi wako wakuitukana serikali,na walipoona your not a threat walikuacha tu! Tena mara ya kwanza walikuita kule nane nane,kwenye majengo ya ufichoni sana,bila kujua na wewe ukaenda kweli! Jamaa alikufirimba na mwisho wa siku,akakuuliza gari umeacha wapi,mara ohh sijui gari imeisha mafuta nimeacha sehemu furani!

Basi yule bwana alipokuona huna maana alikuacha,akampa rafiki yake number zako,wewe si ulikua unatumia line ya tigo ya 0713 inaishia na 96?? Yule jamaa alikupigia simu,mkaongea then ukaomba nauli utumiwe kwamba ukimaliza kufua,utaenda,ukala pesa za watu bila hata ya kwenda! Ukaomba pesa za birthday ya mtoto wako! Ukatumiwa! Leo hii unaleta shobo hapa!

Kila siku unajifanya una maisha ya maana,kumbe choka mbaya tu,unashindwa kulipa hadi pesa za house girl wako,nyumba unaishi hata haijaisha,ndoa yako migogoro kila siku,shule hukumaliza,ulipigwa mimba,huyo kaka alikuacha sababu ya vituko vyako!

Eti nina mashimo ya migodi kakola! Hivi huoni hata aibu kudanganya,watu walishaanza kufatilia nyendo zako toka zamani,huna cha mashimo wala nini,Baba yako alikupa pesa ili walau mtoto wake usipate shida mjini,ukaenda kununua hivyo vifusi vya mchanga huko mgodini,uwe unasaga mawe, biashara haikuenda vizuri,mkafunga na hamkupata pesa hata kidogo,ULIVYO WA HOVYO,ukaenda kudanga kwa jamaa mmoja siwezi mtaja jina,naye biashara ikabuma,ukarudi nyumbani huna hata mia!!

Jamaa yangu juzi kakuona pale stand msamvu,huna mbele wala nyuma! Halafu eti unajitia fyoko fyoko hapa! Huna lolote wapige kamba wasiokujua! Na sasa hivi una number ya Airtel na halotel! Mme wako alishakufumania mara kibao,alishawahi kukupiga nusura ufe! Hebu acha shobo tukutunzie heshima yako! Watu walishaenda hadi kwenu ifakara kwa baba yako Mzee Ben! Naomba niishie hapa!
Kheeeeh hii JF mbna inaogopesha lol,
 
Huu Uzi ulioibua haya yote naukumbuka vyema.. Na ukijaribu kujiuliza kwa lugha nyepesi chanzo cha huyo jamaa kuleta hayo yote ilikuwa ni nini? Na hakuna sehemu alipoulizwa...Wangari alikuwa anachangia kama member wengine kilichomfanya yeye kuandika yote hayo ni kitu gani?

Nadhani ilikuwa ni chuki tu za huyo jamaa.. kaandika mambo kibao kwa Mwanaume anayejielewa asingeweza kuandika au kuleta yote hayo.. Ameonesha kiwango chake cha kufikiri kilivyo..

Binafsi sijawahi kuona shida ya Wangari.?sasa kama anauza au ana mashimo ya dhahabu au hana ilikuwa ni juu yake.. JF inampa uhuru kila mtu kufanya au kujieleza namna anavyotaka ila tu asivunje kanuni..

Ni ME wangapi humu full kujisifia na hakuna mtu anayewa'offend? Kuna ME humu full kupondea gari za Kijapan lakini hakuna mtu anayewanyooshea vidole.. Na sababu hasa ni kuwa JF kila mtu ana uhuru wa kufanya anavyotaka ila tu asivunje kanuni,taratibu na sheria.

Sasa huyo Dada yeye kama alikuwa anajisifia mambo ya Migodi na vitu kama hivyo..Huyo jamaa na wengineo walikuwa wanapata shida gani? Ifike mahali tupunguze kuumia na mambo ya wengine..

NB.. Hii haikuhusu wewe uliye'repost hii comment Mkuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lilianzia pale Wangari alipokuwa upande wa anayesemekana ni tapeli na kwamba watu wajifunze kushukuru kabla ya kuhukumu.

Na kuwa hata yeye amesaidia watu wengi tu lakini hawana shukrani.

All in all haikuwa fair kwa alivyoshambuliwa na yule mdau..alimuaibisha sana hakustahili yale yote.
 
Huu Uzi ulioibua haya yote naukumbuka vyema.. Na ukijaribu kujiuliza kwa lugha nyepesi chanzo cha huyo jamaa kuleta hayo yote ilikuwa ni nini? Na hakuna sehemu alipoulizwa...Wangari alikuwa anachangia kama member wengine kilichomfanya yeye kuandika yote hayo ni kitu gani?

Nadhani ilikuwa ni chuki tu za huyo jamaa.. kaandika mambo kibao kwa Mwanaume anayejielewa asingeweza kuandika au kuleta yote hayo.. Ameonesha kiwango chake cha kufikiri kilivyo..

Binafsi sijawahi kuona shida ya Wangari.?sasa kama anauza au ana mashimo ya dhahabu au hana ilikuwa ni juu yake.. JF inampa uhuru kila mtu kufanya au kujieleza namna anavyotaka ila tu asivunje kanuni..

Ni ME wangapi humu full kujisifia na hakuna mtu anayewa'offend? Kuna ME humu full kupondea gari za Kijapan lakini hakuna mtu anayewanyooshea vidole.. Na sababu hasa ni kuwa JF kila mtu ana uhuru wa kufanya anavyotaka ila tu asivunje kanuni,taratibu na sheria.

Sasa huyo Dada yeye kama alikuwa anajisifia mambo ya Migodi na vitu kama hivyo..Huyo jamaa na wengineo walikuwa wanapata shida gani? Ifike mahali tupunguze kuumia na mambo ya wengine..

NB.. Hii haikuhusu wewe uliye'repost hii comment Mkuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona wakina Joyce Kiria mdogo mdogo mmeanza kupiga jaramba.
 
Nasoma kila reply kwa tafakuri kubwa sana[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827] .. Na kila reply inawakilisha kundi mojawapo ya haya
. Wenye vifua na makoromeo
. Wasio na vifua na makoromeo
. Ma introverts
. Ma extroverts
Halafu na hadhira inayosoma na kukaa kimya
Inayosoma na kuchochea kuni na mafuta
Inayoshadadia na kufurahia haya na mengine yote
Inayoshauri, kuonya na kutahadharisha...

Halafu na wanaoogopa![emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom