Demiss amepotelea wapi?

aisee...jamaa hakumfanyia fair nilitaka nijue chanzo ni nini mpaka huyo jamaa akamfanyia hivyo
Ni alimnanga jamaa anajiita saint Murano na uzi wake wa kutapeliwa ndo watu wakachukia wakamtolea povuu [emoji481]

Though pia sikufurahishwa na udhalilishaji kwa huyo dada na nilitumia nguvu kubwa kunyamazisha mtifuano uliokuwa unawaka kama volcano [emoji848]
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787]we nae
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji91][emoji91]

Unaweza kijiuliza mtu mda wa kupata ridhiki anaupata saa ngapi[emoji848]
 
Eti kama Volcano[emoji1787][emoji1787]
 
witty unamkumbuka yule mwamba aliyejiua?? wangari aliplay part kubwa sana kuhusu yule jamaa mpaka mwishoni akakata tamaaa jamaa akajiua
 
This time itakua anatumia ya kiume
 
Unaweza weka huo uzi tukausome
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…