Demiss amepotelea wapi?

Wanakusingizia kumbe😂😂
Tutamshitaki ohoo
😂😂 ana kilanga huyo member. Na hajaanza leo, ni tokea 2019 ila sina hakika kama ni huyo huyo au vipi.

Kumshitaki? Namlia ugali dona na sato tu.
 
Shikamoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na hakuwa na shida na mtu, basi tu waja sijui wana nini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…