Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Wanakusingizia kumbe😂😂
Tutamshitaki ohoo
😂😂 ana kilanga huyo member. Na hajaanza leo, ni tokea 2019 ila sina hakika kama ni huyo huyo au vipi.

Kumshitaki? Namlia ugali dona na sato tu.
 
We mjanja[emoji38][emoji38][emoji1787]

Kuna mmojwapo kapotea humu na ananangwa kweli kwenye huu uzi sasa cha ajabu kwa ID nyingine kakomenti qoute anayochambwa nayy anajichamba tena vibaya mno[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Humu kuna vichaa asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shikamoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Katika wanawake niliokuwa napenda kila siku nisome uzi au comments zake alikuwa mchizi Demiss huyu dada alikuwa na kitu pekee juu ya uwakilishi wa maandishi yake. Niwe mkweli nimemmiss sana huyu dada Demiss la Lara1.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Na hakuwa na shida na mtu, basi tu waja sijui wana nini!
 
Back
Top Bottom