Huyo Mwamba Mama Kubwa Hataki Sanaa Za Kaole[emoji1787][emoji1787]mkome
WeweEndeleeni kushusha comments narudiπ
Mdogo wangu nakutegemea parefuUkishaona unionyeshe na mimi.
Nipo kwenye mataa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una kumbukumbu..mimi I'd ile nilishaisahau..hivi bado ipo? [emoji23][emoji23][emoji23]Ni alimnanga jamaa anajiita saint Murano na uzi wake wa kutapeliwa ndo watu wakachukia wakamtolea povuu [emoji481]
Though pia sikufurahishwa na udhalilishaji kwa huyo dada na nilitumia nguvu kubwa kunyamazisha mtifuano uliokuwa unawaka kama volcano [emoji848]
Ngoja nitafute koneksheni[emoji23][emoji23][emoji23]Mdogo wangu nakutegemea parefu
KhaaaaYes kachange na kwenye huu uzi yupo kajaa tele
Mama Sabrina.Wapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari, maziwa na mito ipo teleeee.
Poleni wale wenye simu changamoto za battery, sisi wa simu original tunapeta tu.
Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje? Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.
Wengine waliopotea humu ni;
1. massai dada
2. mama facebook
n.k
Mbona alikataa akasema hajahusika[emoji848]witty unamkumbuka yule mwamba aliyejiua?? wangari aliplay part kubwa sana kuhusu yule jamaa mpaka mwishoni akakata tamaaa jamaa akajiua
Walikasirishwa na ujuaji wake,utadhani ujuaji ni dhambi vile.Na hakuwa na shida na mtu, basi tu waja sijui wana nini!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naskia alikua mchepoz wako wa kudumu lol, sasa why ulimuumbua mwenzio? Wee hujui kuachwa? Ulikwama wapi?Mjukuu haya yalikuwa makubwa kwako..sikutaka t
Yakukuze kabla ya umri[emoji23]
Hii huwa ni njia ya kutaka tu umbea. Watu wa humu[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kweli wahuni sio watuAlijifanya google kila kitu anajua alaf kila nchi anampango wa kwenda mbaya zaid akawa anajiona mpambanaji kuliko wana JF wote sasa kilicho mkuta tulijua hadi lodge aliyoenda kugegedwa mara ya mwisho kumbe anaishi kwa ujuzi wa katikati ya miguu
Km una kilanga na utaanikwa, [emoji23][emoji23][emoji23] , kuwa mpoleeeh mommy angu kipenziihHaaaaa tunasubiri kuanikwa tyuuuh [emoji3]
Jf nayo ina ma parody ?mbona umejibu kama parody fln hv
Hivi humu kuna viumbe vinaongoza kwa ujuaji kama wanaume!! Mbona hakuna mwenye muda nao? Sasa akiwa mjuaji ujuaji wake unakuathiri nini wewe? Muache na ujuaji wake so long haukuathiri chochote.Walikasirishwa na ujuaji wake,utadhani ujuaji ni dhambi vile.
Wengine wakaenda mbali wakaanza kumwita tapeli ukiwauliza aliwatapeli nini hawasemi,wanaishia tu kuguess.
Wakaenda mbali wakanipachika na mimi kwenye ID yake,eti ni I'd yake nyingine,,kisa tu nilimtetea.
Kuna wapumbavu nilikuwa nawasubiri waendelee na ule upumbavu ili niwalipue.
Yaani! [emoji2297][emoji2297]Yaani huwa wanazingua sana...very low IQ na uswahili at its best...
Nakuja Pm dea, [emoji23][emoji23][emoji23]Yes kachange na kwenye huu uzi yupo kajaa tele
Wanangu mtatuua πππDemis walimlipuaga humu wakaanika picha zake,nadhani ni mwalimu huko dodoma.
Sasa picha zake sura ina pua kubwa" kweri kweri", wana wakawa wanaponda,akaonelea abadili ID ,akajiita muzine,hata hivyo imepoa. Au ana ID nyingine ambayo hatujaigundua.
Kwanza ujuaji siyo dhambi,walimuonea bure.Hivi humu kuna viumbe vinaongoza kwa ujuaji kama wanaume!! Mbona hakuna mwenye muda nao? Sasa akiwa mjuaji ujuaji wake unakuathiri nini wewe? Muache na ujuaji wake so long haukuathiri chochote.
Huo utapeli ndio hakuna hata alothibitisha kuwa ni tapeli, yaani basi tu ilimradi mtu amchafue mtu kwa chuki zake binafsi ambazo hazina miguu wala kichwa.