Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Ni alimnanga jamaa anajiita saint Murano na uzi wake wa kutapeliwa ndo watu wakachukia wakamtolea povuu [emoji481]

Though pia sikufurahishwa na udhalilishaji kwa huyo dada na nilitumia nguvu kubwa kunyamazisha mtifuano uliokuwa unawaka kama volcano [emoji848]
Una kumbukumbu..mimi I'd ile nilishaisahau..hivi bado ipo? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wapendwa poleni kwa giza na kutokuoga kwa siku kadhaa huko mjini wakati bahari, maziwa na mito ipo teleeee.

Poleni wale wenye simu changamoto za battery, sisi wa simu original tunapeta tu.

Nauliza member mwenzetu Demiss amekuwa kimya imekuwaje? Amepotelea wapi? Wanaomfahamu please details tafadhari.

Wengine waliopotea humu ni;
1. massai dada
2. mama facebook
n.k
Mama Sabrina.


Hata mimi hii Id yangu ni kongwe kama ile biashara ya Kimboka

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Na hakuwa na shida na mtu, basi tu waja sijui wana nini!
Walikasirishwa na ujuaji wake,utadhani ujuaji ni dhambi vile.

Wengine wakaenda mbali wakaanza kumwita tapeli ukiwauliza aliwatapeli nini hawasemi,wanaishia tu kuguess.
Wakaenda mbali wakanipachika na mimi kwenye ID yake,eti ni I'd yake nyingine,,kisa tu nilimtetea.

Kuna wapumbavu nilikuwa nawasubiri waendelee na ule upumbavu ili niwalipue.
 
Alijifanya google kila kitu anajua alaf kila nchi anampango wa kwenda mbaya zaid akawa anajiona mpambanaji kuliko wana JF wote sasa kilicho mkuta tulijua hadi lodge aliyoenda kugegedwa mara ya mwisho kumbe anaishi kwa ujuzi wa katikati ya miguu
Kweli wahuni sio watu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Walikasirishwa na ujuaji wake,utadhani ujuaji ni dhambi vile.

Wengine wakaenda mbali wakaanza kumwita tapeli ukiwauliza aliwatapeli nini hawasemi,wanaishia tu kuguess.
Wakaenda mbali wakanipachika na mimi kwenye ID yake,eti ni I'd yake nyingine,,kisa tu nilimtetea.

Kuna wapumbavu nilikuwa nawasubiri waendelee na ule upumbavu ili niwalipue.
Hivi humu kuna viumbe vinaongoza kwa ujuaji kama wanaume!! Mbona hakuna mwenye muda nao? Sasa akiwa mjuaji ujuaji wake unakuathiri nini wewe? Muache na ujuaji wake so long haukuathiri chochote.

Huo utapeli ndio hakuna hata alothibitisha kuwa ni tapeli, yaani basi tu ilimradi mtu amchafue mtu kwa chuki zake binafsi ambazo hazina miguu wala kichwa.
 
Demis walimlipuaga humu wakaanika picha zake,nadhani ni mwalimu huko dodoma.
Sasa picha zake sura ina pua kubwa" kweri kweri", wana wakawa wanaponda,akaonelea abadili ID ,akajiita muzine,hata hivyo imepoa. Au ana ID nyingine ambayo hatujaigundua.
Wanangu mtatuua 😂😂😂
 
Hivi humu kuna viumbe vinaongoza kwa ujuaji kama wanaume!! Mbona hakuna mwenye muda nao? Sasa akiwa mjuaji ujuaji wake unakuathiri nini wewe? Muache na ujuaji wake so long haukuathiri chochote.

Huo utapeli ndio hakuna hata alothibitisha kuwa ni tapeli, yaani basi tu ilimradi mtu amchafue mtu kwa chuki zake binafsi ambazo hazina miguu wala kichwa.
Kwanza ujuaji siyo dhambi,walimuonea bure.
 
Back
Top Bottom