Demiss amepotelea wapi?

Ukiwa mjuaji unatengeneza mazingira ya kufuatiliwa kiundani...
Ila watu mmhhhhh
 
Kumbe sio mpauko maana Wangari ndo alileta habari za msiba wake hapa na pia mpauko alikuwa na I'd mbili.
Hata Mzee Mwanakijiji alikuwa anampango wa kumsaidia katika hatua hiyo na. Kuja kuona. Uzi humu kuwa jamaa kalala zake
Mmechamganya madesa bila shaka, habari za kifo Cha huyo Mpauko zililetwa na mtu tofauti na huyo wangari
 
Hajawahi kuishi kwa wangari huyo Mpauko, hata habari za kifo chake zililetwa na mtu mwingine kabisa, huyo wangari ndio akasema alikuwa anamsaidia sana huyo marehemu na blah blah mob sana, watu tuliojua ukweli tukanyamaza tu, baadae mpaka Mimi akanivagaa kwa kisirani chake, nadhani walimpa majibu wapambe wake huko au pale pale maana alijinasibu Mimi ninamfuatilia eti akanizimia pm yake...
Dada ana kisirani sana Yule Ila kumtolea Siri zake haikuwa poa sana na si Mara ya kwanza coz amebadili I'd Mara kadhaa kwa kashfa mbalimbali.
Anyways tuishi kwa kuheshimiana ndio kikubwa
 
Mmhhhh
Acha hizo...meza mate usitoe habari za mtu za sirini ndugu.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Daah nakumbuka sana asee[emoji22][emoji22][emoji22]

Ile ndo ilikuwa disaster[emoji134][emoji134]
Nani alijiua??!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]napitwa mwenzenu kaahh!sijui nikupe my no?!!uwe unanishtua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…