Demiss amepotelea wapi?

Shoga imepoa siku hizi jf haya mambo yapo mbona...mtu anakukula...kesho unaandikiwa thread kuna mtu alienda kuliwa wako gesti uzi umeweka"namla mdada wa Jf'

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣 duuh mbona inachekesha japo sio mazuri.
Kuna watu wako na ushamba sana na hawajitambui
 
Hebu ngoja kwanza. Yani unataka kunithibitishia pasi na shaka kuwa Manengelo ndio Wangari Maathai?

Kama ni kweli basi leo nimeamini mimi ni bonge la fala sana mamamae zangu na robo tatu.
 
Sasa mbona kakaa kimya milele? Ngoja niendelee kutiririka, nimekuwa mpenzi wa mbuyu(ubuyu), hata sifurahii hii tabia[emoji23][emoji23][emoji125]
[emoji3][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Anachambwa na yeye kwa ID nyingine anachamba ID ya zamani? Ngoja tuendelee kuwa wafuasi wa huu uzi, ubuyu ni kitu kibaya sana kwa mwanaume lakini..[emoji23][emoji23]
 
Kwanza tukipigwa tunakufa??
Maana kuna vizito zaidi ya hivi tumepigwa navyo kichwani live tena juzi tu hapo still tuko strong as nothing happened[emoji23][emoji23]

Sema huku ndani kuna kitu kikubwa sana nimejifunza leo aisee
Listen hizi mambo zipo now and then semaga zinapoa tu!watu wanafanyiwa udambwidambwi wa ajabu sana humu!yaani this jungle we need to tread careful...!!!wadada wengi washadhalilisha wangari sio Mara ya kwanza hiyo though this time nafikiri it was blast a nuclear bomb na tulimteteaga sana that day kipindi anatumia I'd flani hivi mpk nkapigwa ban 3months ikabidi nimfate Max (thanks to him,a humble creature on earth)akanibanua...hvyo wakaka wa jf baadhi wanapendaga sana hizo show...anakuvua chupi kumbe anakupiga picha kwa siri au mnatumiana mambo yenu mwenzio anahifadhi anasubiri siku uingie kwenye 18zake aruke na wewe...kama umewahi meet baadhi ya memba na hawajakulipua shukuru sana Mungu...!!hao ni wanaume wametoka ktk mifupa ya wanawake wa nguvu...!!wamelelewa wakaleleka!!!
 
Ni kweli kabisa hayo, ila mimi hua naumia nikiona mwanamke mwenzangu anadhalilishwa hadharani especialy by men, najiskia vibaya na moja kwa moja najua huyo hajafunzwa kwao na hana adabu.

Shida ya baadhi ya wanaume hata humu wakiona mdada umerespond vizuri let's say PM mkachat mawili matatu akakuzoea basi anakuona umekua cheap anaweza kukufanyia lolote sasa wasijue wala wasifikirie kumbe hayo ni mambo ya kawaida katika kusocialize.
 
Anachambwa na yeye kwa ID nyingine anachamba ID ya zamani? Ngoja tuendelee kuwa wafuasi wa huu uzi, ubuyu ni kitu kibaya sana kwa mwanaume lakini..[emoji23][emoji23]
Ila Eli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…