Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Shoga imepoa siku hizi jf haya mambo yapo mbona...mtu anakukula...kesho unaandikiwa thread kuna mtu alienda kuliwa wako gesti uzi umeweka"namla mdada wa Jf'

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣 duuh mbona inachekesha japo sio mazuri.
Kuna watu wako na ushamba sana na hawajitambui
 
Saint Murano alikuja na hoja kwamba kuna mwamba nadhani ni Fernando Sucre (ambaye baadae members wengine walikuja kutoa ushuhuda juu ya kesi zake za ubabaishaji ambazo walikuwa wanaficha kisa bullying). Murano alileta uzi wa kutafuta kazi, Sucre akamwambia atafute vyeti kadhaa. Murano akatumia savings zake zote kwa shida akapata vielelezo vyote akamtumia Sucre. Jamaa alipopata akaacha kupokea simu wala kujibu PM. Murano akafungua uzi baada ya siku nyingi kutaka watu wasio na uwezo kusaidia wasiwe wanakwamisha watu na kuwaingiza gharama (baadae wajuzi wa mambo ndio walisema zile details na vyeti vitatumika kwenye utapeli na kufoji vielelezo, hivyo sio kwamba Murano kapotezewa muda ni kwamba details zake zitatumika na kuna muda anaweza kamatwa kwa tukio).

Manengelo akaja na kashfa kwa Murano akimuita mzembe, akadai hata yeye huwa anatapeliwa hela nyingi zaidi ila hasemi, akadai huwa anasaidia watu humu JF ila hawana shukrani. Watu wengi walikaa kimya hasa wadada ila mimi na raia wachache tukakomaa nae.

Kila uzi wa matapeli huwa yuko upande wa tapeli, matapeli na ID zao mpya au za zamani wanajuana naye na waliwahi fanya deals nae. Kuna wawili niliowajua PM walikuwa affiliated naye waliwahi taka kunitapeli. Kama mnakumbuka yule jamaa aliyejitangazia kifo kwa ID nyingine alafu Manengelo akaja kutoa huzuni nyingi na kudai anamfahamu wakati mtu mwenyewe hajafa.

Manengelo/Wangari kila kitu anafanya at the same time. Kuuza dagaa, kuchimba madini, mbao, kilimo, samaki, kusafirisha kwenda wapi sijui. Niliichukulia kama mbinu ya kupata watu alafu channel yake ya anaowatetea iingie kazini. Kwa asiyeeelewa atasema wanawake walimuonea wivu ila sio kweli, hakuna uwezekano wa wewe kumiliki mashimo ya madini, wakati huo uko visiwani, wakati huo ushawahi uza nguo, wakati huo una mashamba ya mpunga, wakati huo 24/7 uko JF unachamba watu, na mengine kibao.

Wangari alichofanya ni kuwashika masikio raia humu. Alizoeana kwa lazima na watu maarufu na wasio na rekodi mbaya ila vichwa ngumu kama Kiranga huwezi kuja kizembe hivi lazima wakilushtukie. Kila mtu shosti, bestie, ndugu yangu mpaka watu wakawa wanaogopa kumkosoa. Kwa mazoea yake ya kuogopwa akawa anamzodoa kila anayetapeliwa ila hiyo siku hatukukubali.
Kuna member wanasaidia na hawasemi bali aliyesaidiwa ndio anakuja kusema ila kwa Wangari yeye kila uzi wa msaada lazima aseme anasaidia watu humu, anaosaidia hawajulikani wakijitaja ndio zile ID zenye mushkeli. Ila connection alikuwa nazo kweli.

Hata hivyo sikupendezwa kabisa na yule jamaa aliyeleta mambo yao ya kimasihara. Nilimuomba afute ile comment ila alikomaa nayo
Hebu ngoja kwanza. Yani unataka kunithibitishia pasi na shaka kuwa Manengelo ndio Wangari Maathai?

Kama ni kweli basi leo nimeamini mimi ni bonge la fala sana mamamae zangu na robo tatu.
 
Sasa mbona kakaa kimya milele? Ngoja niendelee kutiririka, nimekuwa mpenzi wa mbuyu(ubuyu), hata sifurahii hii tabia[emoji23][emoji23][emoji125]
[emoji3][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
We mjanja[emoji38][emoji38][emoji1787]

Kuna mmojwapo kapotea humu na ananangwa kweli kwenye huu uzi sasa cha ajabu kwa ID nyingine kakomenti qoute anayochambwa nayy anajichamba tena vibaya mno[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Humu kuna vichaa asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anachambwa na yeye kwa ID nyingine anachamba ID ya zamani? Ngoja tuendelee kuwa wafuasi wa huu uzi, ubuyu ni kitu kibaya sana kwa mwanaume lakini..[emoji23][emoji23]
 
Kwanza tukipigwa tunakufa??
Maana kuna vizito zaidi ya hivi tumepigwa navyo kichwani live tena juzi tu hapo still tuko strong as nothing happened[emoji23][emoji23]

Sema huku ndani kuna kitu kikubwa sana nimejifunza leo aisee
Listen hizi mambo zipo now and then semaga zinapoa tu!watu wanafanyiwa udambwidambwi wa ajabu sana humu!yaani this jungle we need to tread careful...!!!wadada wengi washadhalilisha wangari sio Mara ya kwanza hiyo though this time nafikiri it was blast a nuclear bomb na tulimteteaga sana that day kipindi anatumia I'd flani hivi mpk nkapigwa ban 3months ikabidi nimfate Max (thanks to him,a humble creature on earth)akanibanua...hvyo wakaka wa jf baadhi wanapendaga sana hizo show...anakuvua chupi kumbe anakupiga picha kwa siri au mnatumiana mambo yenu mwenzio anahifadhi anasubiri siku uingie kwenye 18zake aruke na wewe...kama umewahi meet baadhi ya memba na hawajakulipua shukuru sana Mungu...!!hao ni wanaume wametoka ktk mifupa ya wanawake wa nguvu...!!wamelelewa wakaleleka!!!
 
Listen hizi mambo zipo now and then semaga zinapoa tu!watu wanafanyiwa udambwidambwi wa ajabu sana humu!yaani this jungle we need to tread careful...!!!wadada wengi washadhalilisha wangari sio Mara ya kwanza hiyo though this time nafikiri it was blast a nuclear bomb na tulimteteaga sana that day kipindi anatumia I'd flani hivi mpk nkapigwa ban 3months ikabidi nimfate Max (thanks to him,a humble creature on earth)akanibanua...hvyo wakaka wa jf baadhi wanapendaga sana hizo show...anakuvua chupi kumbe anakupiga picha kwa siri au mnatumiana mambo yenu mwenzio anahifadhi anasubiri siku uingie kwenye 18zake aruke na wewe...kama umewahi meet baadhi ya memba na hawajakulipua shukuru sana Mungu...!!hao ni wanaume wametoka ktk mifupa ya wanawake wa nguvu...!!wamelelewa wakaleleka!!!
Ni kweli kabisa hayo, ila mimi hua naumia nikiona mwanamke mwenzangu anadhalilishwa hadharani especialy by men, najiskia vibaya na moja kwa moja najua huyo hajafunzwa kwao na hana adabu.

Shida ya baadhi ya wanaume hata humu wakiona mdada umerespond vizuri let's say PM mkachat mawili matatu akakuzoea basi anakuona umekua cheap anaweza kukufanyia lolote sasa wasijue wala wasifikirie kumbe hayo ni mambo ya kawaida katika kusocialize.
 
Anachambwa na yeye kwa ID nyingine anachamba ID ya zamani? Ngoja tuendelee kuwa wafuasi wa huu uzi, ubuyu ni kitu kibaya sana kwa mwanaume lakini..[emoji23][emoji23]
Ila Eli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom