[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hivi kumbe sikubadilisha ID ni username tu, ndio maana nilikamatika hivi kirahisi![emoji38]
ID ni ileile ila imebadilika tu username.
Eli naona umeamkia hukuhuku[emoji1787][emoji1787]
Lord have mercy@manengelo
@mbitiyanza
@mangari wathai
Manengelo, mbitiyanza, mangai waathari ni mtu mmoja anaebadili I'd kila akipata janga humu.
Humu watu wabaya sana aisee!
Ngoja aje na I'd yake nyingine anichambeeee maana binti ana kisirani yule na mjuaji balaa, Ila mpambanaji kwa namna anavyoelezea hustle zake......
Na bahati nzuri au mbaya wengine kujibizana kwa mambo ya kijinga hatuwezi so unabaki unacheka zako tu unampa ushindi wake huyo mtabiri ID afurahi naye japo😂😂Duh[emoji38]
Unaweza amka asubuhi huna hili wala lile,unakuja kuona baadaye umebambikiwa ID[emoji23][emoji23][emoji23].
Ni kama mimi nilivyobadili Avatar.ID inakuwaje ile ile waka
ti mtu alisomeka Espy na sasa ni Habun?
[emoji1787][emoji1787]Na bahati nzuri au mbaya wengine kujibizana kwa mambo ya kijinga hatuwezi so unabaki unacheka zako tu unampa ushindi wake huyo mtabiri ID afurahi naye japo[emoji23][emoji23]
Sawa sawa sasa hapo unasema ni kubadili username! Kubadili ID lazma ufungue ID mpya new accountNi kama mimi nilivyobadili Avatar.
Mwanzo niliweka yangu,sasa nimeweka ya JPM ila ni mimi yuleyule.
Ninaweza kuamua sasahivi nijiite Anne,nitoe hiyo Saint...ID yangu inakuwa ni ile ile na kila kitu changu kinabaki kama kilivyo.
Hata username inabadilika,,
Huyo Habun ni yuleyule ila amebadili tu jina .
Ukiangalia kila kitu chake cha nyuma kipo vilevile kuanzia nyuzi zake na comments zake.
Kubadili ID ni kufungua ID mpya,yaani unajisajili upya.
Yaani unakuwa nazo zaidi ya moja.
Kwa mfano tuseme mimi S Anne,,nimefungua tena ID nyingine yenyewe ni Karma ama Khantwe.
Kubadili jina(username),ID yako inabaki palepale.
Umeona tofauti iliyopo hapo?
Jf ina option ya kubadili Avatar na username.
Mwanzo kubadili username ilibidi mod ahusike lakini sasahivi wametupa huo uhuru sisi member kujibadilishia vyote,,iwe Avatar au username
Ndiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hivi kumbe sikubadilisha ID ni username tu, ndio maana nilikamatika hivi kirahisi!
Ndiyo.Sawa sawa sasa hapo unasema ni kubadili username! Kubadili ID lazma ufungue ID mpya new account
Nakuja upya[emoji1787][emoji1787]Ndiyo
Ungetaka kubadili ID ungejiregister upya.
Ulichokifanya wewe ni kubadili tu Jina katika identity yako ile ile.
Kuanza na ID mpya ni kipaji[emoji16]Nakuja upya[emoji1787][emoji1787]
Yes exactly ndivyo ilivyokuwaKama sijasahau yule kijana hakutapeliwa fedha zake, ila alizitumia katika kutafuta vibali kwa bahati mbaya mdau aliyempa maelekezo atampa mchongo akapotea katika mawasiliano
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lord have mercy
Mbitiyanza ni Manengelo kumbe?
Hivi mimi nimelogwa au naota?
Mwanaume unatakiwa uwe real kama nyeusi unasema nyeusi kama nyeupe unasema nyeupe na kama hutaki kusema unakausha kabisaWanaume sifa Yao kuu ni kifua kipana chenye kuhifadhi mambo, acahana na habari za kutoleana Siri utakutana na karma.
Nilivyoona tu Habun anasema sema furushi this furushi that nikajua tu huyu ni Espy..Atoto ndio Espy, ndio Jael na ndio Habun.
Kudhalilishana sio kabisaa yaani hawa baadhi wanaume wanakosa utu kabisa...Ni kweli kabisa hayo, ila mimi hua naumia nikiona mwanamke mwenzangu anadhalilishwa hadharani especialy by men, najiskia vibaya na moja kwa moja najua huyo hajafunzwa kwao na hana adabu.
Shida ya baadhi ya wanaume hata humu wakiona mdada umerespond vizuri let's say PM mkachat mawili matatu akakuzoea basi anakuona umekua cheap anaweza kukufanyia lolote sasa wasijue wala wasifikirie kumbe hayo ni mambo ya kawaida katika kusocialize.