Demiss amepotelea wapi?

Mimi nataka id ya mutamu mutamu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nikupe basi elf 20 uniambie, usinibanie meriiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
20k?? Wee una utani, hiyo hata haifikii bei ya ile pensi aliyotupia, hapo hujaweka mguu wa bia + maudambwi udambwi mengine.
Ongeza dau best nitakuachia tena mazima maana saivi naishi kwa hofu nishatishiwa maisha🀣🀣🀣
 
Baada ya kujipost nilihuzunika ujue? Sikutaka iwe story asee maana ni huzuni

Bwana jeiefu alikuwa na haki ya kufall kwa kina Meri na kunogewa.
Serious mbavu zangu zinauma sana sana saivi, nahitaji break nitoke huku kwa muda nirudi jioni nikiwa nimepona🀣🀣🀣
 
20k?? Wee una utani, hiyo hata haifikii bei ya ile pensi aliyotupia, hapo hujaweka mguu wa bia + maudambwi udambwi mengine.
Ongeza dau best nitakuachia tena mazima maana saivi naishi kwa hofu nishatishiwa maisha🀣🀣🀣
Ngoja niombe witty anikopeshe nije, kuomba tena 😁
 
Baada ya kujipost nilihuzunika ujue? Sikutaka iwe story asee maana ni huzuni

Bwana jeiefu alikuwa na haki ya kufall kwa kina Meri na kunogewa.

maskini ndiyo maana alikua hajiamini
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
.w
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…