Niko blocked huko pm[emoji134][emoji134]Hujibu sms why[emoji51]
Ooohh....? Basi sawa. HongeraKwanini yasiwemo? Wakati sisi ndio sisi sisi wambea wa huku mitaani
Chaaaaa!Ulikuwa fellowship dia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamenMwanamke wa bwana mwenye mguu mzuri
Tunateseka jamaniChaaaaa!
Nihadithie kidogo basi.
Maana naona uzi,sijui miguu mizuri selfika,,,yaani hakuna kitu kinauma kama kupitwa na mambo na upo hapohapo.
Haikua na haja ya kuandika hayo yote hapa mkuu, msitiri japo kidogo pls[emoji120]
Mimi tena🤳🏽Hukuscreenshot? 😂😂
Fungua kwa ajili yangu mara moja😬Niko blocked huko pm[emoji134][emoji134]
Si ya kucheka ujue ![emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi tena🤳🏽
Fungua kwa ajili yangu mara moja😬
Chaaaaa!
Nihadithie kidogo basi.
Maana naona uzi,sijui miguu mizuri selfika,,,yaani hakuna kitu kinauma kama kupitwa na mambo na upo hapohapo.
Karoho kanaumaTunateseka jamani
Hongera kwa ajili ya nini mpendwa???Ooohh....? Basi sawa. Hongera
apa au pm ila nikianzishiwa uzi unipambanie😬😀😀😀Naiomba kidogo 🤣🤣
Aiseee!Asante code nimeielewa[emoji23][emoji23][emoji23]
Embu nipiem huko..hivi unajua Niko na Hali gani kukosa ubuyu..😂😂Naiomba kidogo 🤣🤣
Mimi hata uzi sikuona.[emoji1787][emoji1787] nami nimeachwa ule uzi nilisoma lakin bwana sijamjua
Inauma mno[emoji1787][emoji1787]Karoho kanauma
Hahahahahahahaha [emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]na wewe futa sababu tunasoma hapo bado kupitia ulivyomquote
Unataka kujua nini 😂Inauma mno[emoji1787][emoji1787]
Hadi muda huu sijaelewa chochote.