Demiss amepotelea wapi?

HAPA SIKUPINGI MKUU,NI MANZI KISU HASWA..Kumbe wengi tunamfahamu 😂😂
 
Eehhh najua mnajikumbuka nyote.

Mliniponda ponda sana kweli kweli .
[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]halafu sasa hivi tumekua sana!
Nimechoka mnoo kukutana hili lingine mweeehhh!!!
Nampa pole!!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Wangari kuna Haja ya Kutumwa Picha zake humu aisee maana kawagonganisha vijana humu... JF watu mnakulana malayaaa nyiee yani khaaaa mnajuana nje ndani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
😂😂😂😂😂😂
 
Mi umeniweka kundi gani sasa🤣🤣🤣
 
Nakumbuka aisee! Palikua pamoto humu!!
 
Ni mzuri kweli yule dada hilo halipingiki[emoji177][emoji177]
 
Mkuu watu wanakulanaa aiseee
Tunakulanaaa mnoooo!!!!hivi mnategema jinsia ke na me zikimeet wasitiane?!!![emoji16][emoji23][emoji23][emoji2]kwa utakatifu gani sasa?sema balaa linakuja ukiliwa na watoto wa mbwaa....utaomba poo mbona!!wahuni sio watu!!!
Ila kuliwa tunaliwa bwana wee! Sio siri humu watu wazima sote!Nile kibingwa jikatae....!!!iwe kimasihara au ya kupangwa ila mechi zinapigwa..viwanja vyote home and away!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…