Haswaa.......
Mimi iliwahi nikuta hiii, kupitia huyu Bidada .... Waangari maathai a.k.a Manengelo ...a.k.a Mbityaza ,kabla ,akijiita Mrs Air.
Wakat huo najiita Vladmirovich Putin
mambo yakawa motoo mpaka kuweka miadi ya Kuzaa mtoto wakike , wakati huo akiishi Jiran na Dar.
Ila baada ya muda, tulipishana Kwa mambo Fulani ivi ambayo AKILI YANGU Ilishtuka.
Ebwanaaaa nikaja kupishana naye kwenye UZI mmoja hivi.....
Demu alinitapikiaa, demu akaanza kunichomeaaa maneno, mashost zake wakaunganaaa wee kunishambuliaaaa
BAD THING akaamua kutumia KILE alichokijua Kwa wakat ule wa motomoto , kunihukumu humu JF.
NikamPM...plz achaaa...wapiii
Plz...achaaa.....wapiiiiiiiii
Plz ..acha....wapiii..
Plzz sio vzuri kuandika hayooo..wapiiii
Weee akaungana na Mashost zake , mashambulizi yakawa ya makombora ya masafa marefuu..
UONGOO akaufanya ukawa mwingiii juuu yangu..
Kuna njemba ziko kama wanawake nazo zikashabikiaaa...
DEMU AKAANZA KUTOA DETAILS ZA NDANI NDANI KABISA...
NILIPOONA UONGO NA UCHAFUZI UNAZIDI...
NIKAAMUA KUPIGA SCREENSHOTS PM, NIKAZIMWAGA WAZIIIIIII
ILI WATU WAJUE ,NANI MKWELI .... ( HILI JAMBO NILILITENDA NA SIKUWAHI KABISA KUJUTIA )
NDIO MAANA SIKUBADILI ID YANGU WALA SIKUKIMBIA .
IKAWA MWISHO !!!!
[emoji101][emoji101][emoji101] BAHAT MBAYA, ALIYEZOEA KUNYONGA, KUCHINJA HAWEZI...... ALIKUJA KUJICHANGANYA KWA WAHUNI...WAHUNI,WASOTAKA UJINGAAA ,WAKAMFANYA MABAYA, NAO WAKAMWAGAAA.....