Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Wangari ni Mwanamke mzuri, HAPA SIWEZI KUWEKA UNAFIKI.


Ni mwanamke Mwenye mwonekano mzuri, Umbo lake nzuri, Sura nzuri ,Rangi nzuri .


Ni aina ya wanawake ambao akipita Mbele yako lazima akuturn on !!!.


Shida Yake, nihizo ambazo zimeelezwa sana Kwa nyuzi .


BUT DEEP DOWN FROM MY HEART, SHE IS SO BEAUTIFUL. SEXY AND HOT , SHE IS LIKE AN ANGEL ALIYEPOTEA TOKA MBINGUNI.
HAPA SIKUPINGI MKUU,NI MANZI KISU HASWA..Kumbe wengi tunamfahamu 😂😂
 
Eehhh najua mnajikumbuka nyote.

Mliniponda ponda sana kweli kweli .
[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]halafu sasa hivi tumekua sana!
Nimechoka mnoo kukutana hili lingine mweeehhh!!!
Nampa pole!!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Wangari kuna Haja ya Kutumwa Picha zake humu aisee maana kawagonganisha vijana humu... JF watu mnakulana malayaaa nyiee yani khaaaa mnajuana nje ndani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
😂😂😂😂😂😂
 
Nasoma kila reply kwa tafakuri kubwa sana[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827] .. Na kila reply inawakilisha kundi mojawapo ya haya
. Wenye vifua na makoromeo
. Wasio na vifua na makoromeo
. Ma introverts
. Ma extroverts
Halafu na hadhira inayosoma na kukaa kimya
Inayosoma na kuchochea kuni na mafuta
Inayoshadadia na kufurahia haya na mengine yote
Inayoshauri, kuonya na kutahadharisha...

Halafu na wanaoogopa![emoji23]
Mi umeniweka kundi gani sasa🤣🤣🤣
 
Haswaa.......


Mimi iliwahi nikuta hiii, kupitia huyu Bidada .... Waangari maathai a.k.a Manengelo ...a.k.a Mbityaza ,kabla ,akijiita Mrs Air.


Wakat huo najiita Vladmirovich Putin



mambo yakawa motoo mpaka kuweka miadi ya Kuzaa mtoto wakike , wakati huo akiishi Jiran na Dar.
Ila baada ya muda, tulipishana Kwa mambo Fulani ivi ambayo AKILI YANGU Ilishtuka.

Ebwanaaaa nikaja kupishana naye kwenye UZI mmoja hivi.....


Demu alinitapikiaa, demu akaanza kunichomeaaa maneno, mashost zake wakaunganaaa wee kunishambuliaaaa
BAD THING akaamua kutumia KILE alichokijua Kwa wakat ule wa motomoto , kunihukumu humu JF.


NikamPM...plz achaaa...wapiii

Plz...achaaa.....wapiiiiiiiii


Plz ..acha....wapiii..


Plzz sio vzuri kuandika hayooo..wapiiii

Weee akaungana na Mashost zake , mashambulizi yakawa ya makombora ya masafa marefuu..


UONGOO akaufanya ukawa mwingiii juuu yangu..

Kuna njemba ziko kama wanawake nazo zikashabikiaaa...


DEMU AKAANZA KUTOA DETAILS ZA NDANI NDANI KABISA...



NILIPOONA UONGO NA UCHAFUZI UNAZIDI...

NIKAAMUA KUPIGA SCREENSHOTS PM, NIKAZIMWAGA WAZIIIIIII

ILI WATU WAJUE ,NANI MKWELI .... ( HILI JAMBO NILILITENDA NA SIKUWAHI KABISA KUJUTIA )
NDIO MAANA SIKUBADILI ID YANGU WALA SIKUKIMBIA .


IKAWA MWISHO !!!!


[emoji101][emoji101][emoji101] BAHAT MBAYA, ALIYEZOEA KUNYONGA, KUCHINJA HAWEZI...... ALIKUJA KUJICHANGANYA KWA WAHUNI...WAHUNI,WASOTAKA UJINGAAA ,WAKAMFANYA MABAYA, NAO WAKAMWAGAAA.....
Nakumbuka aisee! Palikua pamoto humu!!
 
Wangari ni Mwanamke mzuri, HAPA SIWEZI KUWEKA UNAFIKI.


Ni mwanamke Mwenye mwonekano mzuri, Umbo lake nzuri, Sura nzuri ,Rangi nzuri .


Ni aina ya wanawake ambao akipita Mbele yako lazima akuturn on !!!.


Shida Yake, nihizo ambazo zimeelezwa sana Kwa nyuzi .


BUT DEEP DOWN FROM MY HEART, SHE IS SO BEAUTIFUL. SEXY AND HOT , SHE IS LIKE AN ANGEL ALIYEPOTEA TOKA MBINGUNI.
Ni mzuri kweli yule dada hilo halipingiki[emoji177][emoji177]
 
Mkuu watu wanakulanaa aiseee
Tunakulanaaa mnoooo!!!!hivi mnategema jinsia ke na me zikimeet wasitiane?!!![emoji16][emoji23][emoji23][emoji2]kwa utakatifu gani sasa?sema balaa linakuja ukiliwa na watoto wa mbwaa....utaomba poo mbona!!wahuni sio watu!!!
Ila kuliwa tunaliwa bwana wee! Sio siri humu watu wazima sote!Nile kibingwa jikatae....!!!iwe kimasihara au ya kupangwa ila mechi zinapigwa..viwanja vyote home and away!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom