Demiss amepotelea wapi?

Kujuana sio mbaya. Ila mtakayoendeleza baada ya kujuana ndo ya kuwa makini nayo.
Ndo hvyo wengine washenzi tu!akikujua anataka akuletee ujinga..ishantokea Mimi hii!akawa anatishia kuleta picha zangu humu nkamuambia ,Mimi sitakua wa kwanza kudhalilika yataisha tu!!we Fanya unachohisi nafsi yako itakupa furaha nikamblok Jf baasi maisha yanaenda..
Ila sitaki tena ukaribu wake!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Embu mtaje jamani anifanyie muamala mkweo nimefulia.
Mkwe tafadhali mkwe[emoji3][emoji3][emoji3]tena anatokea huko hukoo ulikokua waishi mwanzo...baba yule Mungu ambariki sana najua anasoma hapa ajue tu namheshinu na namuombea dua Mungu ampe zaidi ya alivyo navyo!!M wewe ni dhahabu aseeh!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
[emoji125][emoji16][emoji16][emoji16]kaja jibu unalo we kausha tuu...mgeni gani anajua choo kilipo,[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23]!!!!!mpk sahani za wali anakomba

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app

ila dada umenifanya na mimi kichwa kiume kujiuliza wewe ni nani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mngejua nyie ndomnaotafutwa humu usingejipromo hivyo,tatizo vitoto vingi ndovinaleta feedback humu baada ya kuonjeshwa mbususu
Kwa hiyo nimejipa promo unforgettable? Sisi tunakula na kunawa kimya si eti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Weeeeee ![emoji848][emoji848]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eeeeh kitaumana, af usiowategemea ndo wanao haribu, kuwa mpolee usiogope.
 
[emoji125][emoji16][emoji16][emoji16]kaja jibu unalo we kausha tuu...mgeni gani anajua choo kilipo,[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23]!!!!!mpk sahani za wali anakomba

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekubamba tayar, na nlijua tyuuh wee n Geni, au ile nyngne inaanzia na hilo hapo ila iwe "a" katkat........., hahaha nlkumuc sana dea.

Sjawah kukosea kuhisi. Weuweeeeeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…