[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Asante mtani nina kifua kipana lakini hakina six pack [emoji23]
Gusa unate binti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nichek kwa offer ya GYM Mtani...Utataka kufanyia wapi?[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Andiko bora na lenye mashiko, nimependa hapo.Huu Uzi ulioibua haya yote naukumbuka vyema.. Na ukijaribu kujiuliza kwa lugha nyepesi chanzo cha huyo jamaa kuleta hayo yote ilikuwa ni nini? Na hakuna sehemu alipoulizwa...Wangari alikuwa anachangia kama member wengine kilichomfanya yeye kuandika yote hayo ni kitu gani?
Nadhani ilikuwa ni chuki tu za huyo jamaa.. kaandika mambo kibao kwa Mwanaume anayejielewa asingeweza kuandika au kuleta yote hayo.. Ameonesha kiwango chake cha kufikiri kilivyo..
Binafsi sijawahi kuona shida ya Wangari.?sasa kama anauza au ana mashimo ya dhahabu au hana ilikuwa ni juu yake.. JF inampa uhuru kila mtu kufanya au kujieleza namna anavyotaka ila tu asivunje kanuni..
Ni ME wangapi humu full kujisifia na hakuna mtu anayewa'offend? Kuna ME humu full kupondea gari za Kijapan lakini hakuna mtu anayewanyooshea vidole.. Na sababu hasa ni kuwa JF kila mtu ana uhuru wa kufanya anavyotaka ila tu asivunje kanuni,taratibu na sheria.
Sasa huyo Dada yeye kama alikuwa anajisifia mambo ya Migodi na vitu kama hivyo..Huyo jamaa na wengineo walikuwa wanapata shida gani? Ifike mahali tupunguze kuumia na mambo ya wengine..
NB.. Hii haikuhusu wewe uliye'repost hii comment Mkuu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ule uzi wengi Walimshambulia mleta mada.. Ila Yule member akaamua kumfanyia vile Wangari.. sasa kama siyo chuki Binafsi ni nini?Tatizo lilianzia pale Wangari alipokuwa upande wa anayesemekana ni tapeli na kwamba watu wajifunze kushukuru kabla ya kuhukumu.
Na kuwa hata yeye amesaidia watu wengi tu lakini hawana shukrani.
All in all haikuwa fair kwa alivyoshambuliwa na yule mdau..alimuaibisha sana hakustahili yale yote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasoma kila reply kwa tafakuri kubwa sana[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827] .. Na kila reply inawakilisha kundi mojawapo ya haya
. Wenye vifua na makoromeo
. Wasio na vifua na makoromeo
. Ma introverts
. Ma extroverts
Halafu na hadhira inayosoma na kukaa kimya
Inayosoma na kuchochea kuni na mafuta
Inayoshadadia na kufurahia haya na mengine yote
Inayoshauri, kuonya na kutahadharisha...
Halafu na wanaoogopa![emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gusa unate binti[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namimi ngoja kuna baadhi ya watu details zao ninazo siku nikiamka vibaya tu wanalo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shida yako ni nini kwani?Naona wakina Joyce Kiria mdogo mdogo mmeanza kupiga jaramba.
Na hapo kwenye wengi ndipo Wangari aliingia mkenge sababu huyo mdau alitoa comment ya jumla kwa watetezi ila Wangari akaijibu na ndio akamshushia gazetiNa ule uzi wengi Walimshambulia mleta mada.. Ila Yule member akaamua kumfanyia vile Wangari.. sasa kama siyo chuki Binafsi ni nini?
Maana angeweza kujibizana naye kwa namna nyingine ila kuanza kumtolea mambo yake ya nje pale.. haukuwa Uanaume ule..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa bhana ntajuaje hayo mimi hata nipinge?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hana madhara huyu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hata aliyemjibu Wangari hakuwa mlalamikaji.. naye alikuwa mchangiaji tu..Na hapo kwenye wengi ndipo Wangari aliingia mkenge sababu huyo mdau alitoa comment ya jumla kwa watetezi ila Wangari akaijibu na ndio akamshushia gazeti
Mavuzih.
[emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1545]Huo no uanaume mkuu
Mjukuu haya yalikuwa makubwa kwako..sikutaka tBabuuh mbna hujawahi nambia hicho kisa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ningeweza kukujibu pumba kama ulivyooandika..Mavuzih.
Sema kweli mtani[emoji323][emoji322][emoji322][emoji323][emoji898]Nitafanyia home [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nichek kwa offer ya GYM Mtani...Utataka kufanyia wapi?[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema kweli mtani[emoji323][emoji322][emoji322][emoji323][emoji898]Nitafanyia home [emoji23]
Asante mtani wewe wanijua vema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hana madhara huyu..
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahaSawa bhana ntajuaje hayo mimi hata nipinge?