Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,950
- 5,378
Mzee ulimixiwa si bure!!!!!Lord have mercy
Mbitiyanza ni Manengelo kumbe?
Hivi mimi nimelogwa au naota?
Nimecheka Kama nakuona vile meku....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee ulimixiwa si bure!!!!!Lord have mercy
Mbitiyanza ni Manengelo kumbe?
Hivi mimi nimelogwa au naota?
Aongeze dau nimuachie ile kifaa😂😂Hahahaha...Meri nimemuita mara tatu[emoji16][emoji16]
Nilijibu mpendwa labla hukuiona moyoni nikasema hii vita kama ya paula na Fay mwenye mtoto na asiekuwa naeSijui kwanini nilikuita 😂 hakutujibu comments zetu ujue na tulimpa hongera.
Asije tu kunichamba maana nguvu za kutelekeza ID ndio sina
Asante code nimeielewa[emoji23][emoji23][emoji23]Yule ulimpongeza kwa katoto.
Siku kadhaa nyuma alileta jam MMU [emoji23][emoji23] Ila Uzi ulifutwa
Hujibu sms why😬Hahahaha...Meri nimemuita mara tatu[emoji16][emoji16]
Sasa hataki kunipa ubuyu wa alivyokua anatongozwa na wamama eti anaogopa wewe mumewe utachukia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] mbona ghafla sana
Nyie akina Depal haiwezekani mniache mwenzenu kwenye mataa.
Hebu fafanueni jamani tuende sambamba.
Tusitengane jamani.
Aisee kumbe uzi ulifutwaYule ulimpongeza kwa katoto.
Siku kadhaa nyuma alileta jam MMU 😂😂 Ila Uzi ulifutwa
Labda aliifinyia ndani 😂😂😂Ina maana huyo truesay mvutoless alimloga bwana jf? Hahahaaha
Sasa hataki kunipa ubuyu wa alivyokua anatongozwa na wamama eti anaogopa wewe mumewe utachukia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Bwana hajajulikana bado[emoji1787][emoji1787] nami nimeachwa ule uzi nilisoma lakin bwana sijamjua
D una dhambii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Labda aliifinyia ndani 😂😂😂
Na alivyokauka kama Depal hapa sijui kwanini hajamuogopa meri na nyama zake.
Ulifutwa. Na yeye akapotea mpaka alivyokuja selfikaAisee kumbe uzi ulifutwa
Mi mwenyewe hata sielewi naona wanafunguliana code tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Tuendelee kusoma labda tutaokotaKuna kaubuyu hapa kanaendelea napitwa jamani nisimulie basi hata kule
Aisee kumbe uzi ulifutwa
Alorusha mguu mzuri naniBwana hajajulikana bado
Tuondoke hebu 😂😂😂D una dhambii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwanamke wa bwana mwenye mguu mzuriAlorusha mguu mzuri nani
Siku hizi napitwa