Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Sio kwamba nilikua na utoto.. Sema nilikua MD5!!

Mbishiiiii , ila nn, ukweli nikwamba Nanyie hampendi ukweli , kile kipindi alikua mnachukia sana mada zangu.


Nakumbuka nilifunguaga Uzi, kwenye ule Uzi nikasema " Hawa ndio wanawake naowakubali JF"


Aiseeee mlikuja mkanishambuliaaaaa balaaa


Kuna ule Uzi, nilikuaga natuma vipi cha vya katuni, naandika najina... Huyu ni Kapeace... Huyu ni Jjes ,huyu nani...


Maninaaa ,mkaja mkauvalia njugu ule Uzi, mlinipondaaaa vibayaaaa ,ndo hizo hizo wiki ,Mbityaza akaliamsha.
Mkuu@Carlos The Jackal Mimi nahisi humu ndani una ugomvi nae hizi Hasira unazozionyesha humu Ni wazi u
Hapana, Watu mlishashindwa kunielewa.humu.

Mimi huwa sionei MTU , kwanza Nina huruma naivo huwa sipendi kua mnafiki.


Wangari , kwenye ule Uzi alouchafua, SIKUWAH KUMSEMA VIBAYA JUU YA MWILI WAKE ..

Kwa sababu najua, nitakua mnafiki ukiwa nitamfunua kinywa changu kusema hata nukuta moja ya mwili wake.


YULE NI NI MWANAMKE AMBAYE, KILA INCHI MOJA YA MWILI WAKE IT WORTH !!!.


Alijaaliwa Kuumbwa, Alijaaliwa Sura, Alijaaliwa Umbo.


God was really showing off when he created HER !,

she is very definition of irresistible , so smart ,a Living, breathing sexual fantasy !!





Yeye ana mapungufu Yake mengine hayooo !!
Mkuu@Carlos The Jackal Mimi nahisi hizi Hasira zako zimeficha Jambo...
Kwa summary tu...
Huenda umechapiwa..
Umesalitiwa...
Umekimbiwa..
Umeliwa na ya kutolea..

Consequences ninazotarajia
Una dalili za kujiua..
Ulevi wa ki PGO...
Hupati usingizi sawasawa..
Una dalili za Uchidi Benz Sobering man.

Aiseee Mapenzi hayana Chama..
 
Umeongea kwa uchungu sana aisee
Inauma kweli maana humu kuna watu wanajuana nje ya jf,au unapomuumbua mtu kwa kutaja habari zake huwezi jua may b ana ndugu zake humu...marafiki,hujui hao watu watamchukuliaje!?halafu sasa ujue hizo I'd fake lakini nafsi ,haiba na moyo ni vya halisi,ukisemwa ,kutukanwa kudhalilishwa inauma sanaa!asikuambie mtu!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Hulagi???

Tutunziane siri tu jamani 😂👌 kwa kila namna tunavyokwazana huko PMs na nje
Tatizo nanyi hamu Angalii watu wa kuwavulia nguo. Unategemea nini under 30 yrs halafu mnawachuna kiroho mbaya. Ataitangaza k yako na pengine umemuachia hadi anaingiza ulimi, kumbe mwenzako anaichora tu
 
Humu ndani ni ku lay low tu kama una Moyo mdogo,
Mambo ya Umaarufu tuwaachie Celebrities wa Bongo, maana wao washazoea michambo na mitusi kwa Watanganyika....

Yote kwa Yote tabia za kinyanyasaji na utapeli hazitafumbiwa macho.

"Yote kwa Yote tabia za kinyanyasaji na utapeli hazitafumbiwa macho."
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usjar shos angu, na siku ya kulipuliwa wee, JF itazizima mbnaa.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]...Mungu anilinde Mimi mwenzenu kaahh!!yaani nawaza wa kunilipua Mimi kati ya wale ni nani?!![emoji2][emoji2][emoji2]siongezi watu tena wanaonijua wanatosha naogopa balaa...!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Mimi nilikutanaga na mtu nikampenda kabisa (sijui kama na yeye alinipenda) ila maisha yana fumbo zake basi tukaachana na maisha yakaendelea.
Daahh!haya mambo yapo sana mbona humu...!!Mimi nishakutana na watu wengine washkaji sasa hivi,kuna mmoja ndo amekua km ndugu yangu baba ana moyo wa dhahabu ht papuchi hataki mwaka sasa na nusu[emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]na hajawahi ht kuomba ila sasa nikifulia muamala twitwii....!!!simtaji wajuba wasije wakamzamia bureeee!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Chief mbona kinyonge sana
emoji3.png
Ha ha ha hamna chief ...humu ndani unaweza ukakuta Depal mahondaw@Evelyn Salt mpk Lara 1 reymage na wengine wakiwa na ID zaidi ya moja na zote za kugawia papuchu...
 
Back
Top Bottom