Cha ajabu wao wanamlaumu D kuleta mambo yake personal humu ndani wakati wao wameleta mambo yao personal humu ndani, akili zao zina walakini.Mkuu hata wewe unaruhusiwa kupost mambo yako ya chumbani, acheni kumuonea mtoto wa watu, angekua anaposti vitu vyake akakosa wachangiaji ..angeacha, kuna watu wanapenda mada zake hivyo hivyo...sema una ishu nyingine binafsi, Kama kakudanga ...pole
Ila ulichokifanya una tofauti gani na hyo D unaemlaumu? Au nyani haoni kundule!!!!!!am not insane, ila kama kwako unaona ni sawa unaweza weka uzi ukijiachia ukiwa chumbani mkuu....
Na nikijiachia sitaki kuona watu waliojivika kofia ya kurekebisha watu.. wakinipigia kelele! Na kama kumfundisha ungemPM kistaarabu... mwambie sipendi hiki na hiki,,,,sio kum bully mtoto wa watu huku mmejificha kwenye kofia ya maudhui ya mada zake ..,
Anapata wapi nguvu ya kufanya hivyo unadhani? Ni kwasababu kuna wapuuzi kama nyie mnaofika bei.location anapoenda kuliwa si ndio?? na si mara moja kuna nyuzi zake nyingi anajisifia anajiuza...
hawa ndio wanafanya wadada wadharaulike, hana soni ya umama kabisa...
Kunywa soda emolo bili kwangu.Kama nilivyokuambia angekuwa hapati followers..character yake humu ingeshakufa naturally...jifunze kuwa tolerant..humu kuna watu mbalimbali...usi espect wote tuimbe hallelujah humu...na kama genuinely unaona anakosea..ungemfata kistaarabu,
Keshaonywa tatizo ana mdomo mchafu sana...
Ila kwa kuwa huwa mnawasiliana ni vyema ukamkanya mdogo wako, vitu anavyofanya sio poa kabisa..
Mkuu naomba picha ya DemissWewe nae unajikuta ni mzazi wa binti fulani huko, pole sana kwa mwanao kupata mama dizani yako maana nyie ndio mnaendelea kuzalisha malaya wanaojiuza kutwa nzima...
Mtoto wa nyoka ni nyoka isitoshe hata mzazi wako mmoja wapo alikuwa anajiuza ukapatikana wewe na bado unaendeleza itikadi binti yako ataendelea kazi yako ya kujiuza...
Pole sana...
Mkuu usinisahau na mmNimeku PM mkuu..
Wewe nae unajikuta ni mzazi wa binti fulani huko, pole sana kwa mwanao kupata mama dizani yako maana nyie ndio mnaendelea kuzalisha malaya wanaojiuza kutwa nzima...
Mtoto wa nyoka ni nyoka isitoshe hata mzazi wako mmoja wapo alikuwa anajiuza ukapatikana wewe na bado unaendeleza itikadi binti yako ataendelea kazi yako ya kujiuza...
Pole sana...
Njoo uuchukue jamani handosmeMkono wako mzuri sana eti kigori.
Pengine ndio huyo cardiovascular [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijamuona Mshana Jr. Kwenye huu uzi. Atakuwa anasoma kimya kimya.[emoji5][emoji5]
Huwezi kuhubiri A halafu wewe unafanya C. Anza wewe kubadilika, si mnamshobokea wenyewe kwani aliwashikia bunduki? Tena nyuzi zake huwa mnajazana kama nzi, vipi leo?Mnajuana kwa vilemba ndio maana unashubaza shingo kumtetea hapa kwa upuuzi wake anaofanya humu ndani...
Siwezi kupoteza muda wangu kubishana na malaya, maana mko kama mmelaaniwa...
Take your time miss..
Keep dreaming
Ni pm bas mkuuNimeipata picha ya demiss ila nisingekuwa na connection hapa mjini nisingeipata
Hata majina yao yana aksi uongo. Tmu akijiita Miss jua ni bonge la mtu.
Kama Miss Natafuta
Demiss
Miss Chaga etc